Dar: Mwandishi Bollen Ngetti adaiwa kutekwa tena na watu wasiojulikana; apatikana

Dar: Mwandishi Bollen Ngetti adaiwa kutekwa tena na watu wasiojulikana; apatikana

Watz tuna maneno mengi vitendo zero. Haya mambo tulitakiwa kuyakataa tokea zamani siyo sasa. Watu kama tundu lissu walipigwa lisasi zaidi ya 30. Tena ndani ya sensitive government areas, watu kimya. Watu wamepotea, wamepigwa lisasi hadharani kama mwangosi na akwilina watu kimya. Leo hii tumejificha nyuma ya id fake tunapekecha maneno yasiyo na tija. Bora tukubali wajanja waendelee kufanya watakayo, tukubali hatuna uwezo wa kufanya chochote hivy tuache kelele.

Namii nakuunga mkono kwa FAKE id,
Ila itokee siku yale yoote ya sirini tunayoongea mitandaoni yawekwe wazi na watu waliotuma.
Nadhani siku hiyo itakuwa kama siku ya kufunguliwa akili zetu na kugundua kila kitu ambacho mwingine anawaza.
 
Namii nakuunga mkono kwa FAKE id,
Ila itokee siku yale yoote ya sirini tunayoongea mitandaoni yawekwe wazi na watu waliotuma.
Nadhani siku hiyo itakuwa kama siku ya kufunguliwa akili zetu na kugundua kila kitu ambacho mwingine anawaza.
Watu wengi tutazikana id zetu humu ukweli ukiwekwa wazi. Usicheze na ukweli mkuu, maana humu kuna wanaume wamejivika uanamke na kinyume chake ni kweli. Kuna wengine physically ni watu wana status na reputations za hali ya juu lakini humu nyuma ya id fake wanaandika upuuzi hivyo hawatapenda ukweli uwekwe wazi.
 
huyu jamaa nimemshangaa alivyokuwa anahojiwa anasema hii ni mara ya 4 kutekwa kisha anaachiwa, daah
 
Watu wengi tutazikana id zetu humu ukweli ukiwekwa wazi. Usicheze na ukweli mkuu, maana humu kuna wanaume wamejivika uanamke na kinyume chake ni kweli. Kuna wengine physically ni watu wana status na reputations za hali ya juu lakini humu nyuma ya id fake wanaandika upuuzi hivyo hawatapenda ukweli uwekwe wazi.

Teh te he heee,
Hili nalo naona siku ya mwisho litaangaliwa. Litafumuliwa liwe waazi kabisa kila mtu na bango la Id yake.
😁😀🤣😎
 
Teh te he heee,
Hili nalo naona siku ya mwisho litaangaliwa. Litafumuliwa liwe waazi kabisa kila mtu na bango la Id yake.
😁😀🤣😎
Hahahahaaa
Mkuu hii itakuwa sawa kabisa na kumfumania mtu na mke/mme wa mtu. Kuna watu watakuwa wapole kama Nape alivyokuwa mdogo baada ya sauti yake ku- leak akimteta magufuli. Nyuma ya pazia watu tunafanya mambo ya ajabu sana. Ndiyo maana mimi huwa najiuliza kiimani kwa kuwa Mungu anaona kila kitu afanyacho mwanadamu uenda hakuna mtu anaendaga kwa Mungu kabisa labda kama zile sheria zake atahamua kuzipotezea, asizitumie kabisa.
 
Hahahahaaa
Mkuu hii itakuwa sawa kabisa na kumfumania mtu na mke/mme wa mtu. Kuna watu watakuwa wapole kama Nape alivyokuwa mdogo baada ya sauti yake ku- leak akimteta magufuli. Nyuma ya pazia watu tunafanya mambo ya ajabu sana. Ndiyo maana mimi huwa najiuliza kiimani kwa kuwa Mungu anaona kila kitu afanyacho mwanadamu uenda hakuna mtu anaendaga kwa Mungu kabisa labda kama zile sheria zake atahamua kuzipotezea, asizitumie kabisa.

Aha ha ha
Fumanizi.
Mtu anabaki mh, mh.
Ila kusema ule ukweli, mitandao imeongeza sana dhambi. Kwenye Id watu wanafanya sana dhambi kuliko katika maisha ya kawaida. Mpaka mtu na binti yake wanaoneshana mahaba kwenye id fake bila kujuana.
Ni shidaa.
 
Back
Top Bottom