saadeque
JF-Expert Member
- Feb 23, 2015
- 2,169
- 1,356
Dar Kuna CBD kweli?Cbd ya dar ni kubwa kuliko ya nairobi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dar Kuna CBD kweli?Cbd ya dar ni kubwa kuliko ya nairobi
90% of competition based threads on this section of the forum are opened by Tanzanians. As I type this, there are 7 competition based threads on this front page and 5 of them are by Tanzanians. Unaumwa sababu zetu huwa ukweli mtupu, zenu ni ubishi tu.The fact that Kenyans are busy opening these kinds of threads kila wakati ni dhahiri sasa they are not confident enough with their shitty slumy tiny town ,
Dar has been built from the Scratch by 100% Tanzanians. and it has been transformed in just 20years ,
Na sasa it is under construction with huge potentials.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] baba Levo anawaambia ubungo interchange zimejaa kila kona Kenya tena zinapitia kote juu, chini na katikatiEti taa za chini za UREMBO za daraja la Tanzanite ziliwaka jana kwa mara ya kwanza. Tanzania tuko sawa! [emoji849] Hizo ndio huwa hojaless za kawaida za wale mataga sampuli ya kina joto la jiwe . [emoji1] Bure kabisa!
Umeongea kwa maumivu kaka, ukweli unabaki pale pale, maoni yako ni null and void 😂 😂 tulia ni weekend,The fact that Kenyans are busy opening these kinds of threads kila wakati ni dhahiri sasa they are not confident enough with their shitty slumy tiny town ,
Dar has been built from the Scratch by 100% Tanzanians. and it has been transformed in just 20years ,
Na sasa it is under construction with huge potentials.
Najua ni wakati mgumu kua mdanganyika especially after hilo bonge la expose kutoka kwa Baba Levo[emoji23][emoji23]Mnaeleta taarifa za udaku. Kutoka kwa chawa [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
wameteseka kweli, mtanzania na ukweli ni kama maji na mafuta, walizoeshwa propaganda, sasa ona wamefinywa pabaya 😂 😂 😂 😂Najua ni wakati mgumu kua mdanganyika especially after hilo bonge la expose kutoka kwa Baba Levo[emoji23][emoji23]
endeleeni kujimwagia matopeAlifika Nairobi Akarudi na Ushuhuda [emoji23]. Nairobi ni kama ulaya tu.
Yaani tujadili na watu ambao hata kunya tu ni shida wanajisaidia kwenye flyingNajua ni wakati mgumu kua mdanganyika especially after hilo bonge la expose kutoka kwa Baba Levo[emoji23][emoji23]
baba level hapo TANZANIA ni kama kichaa, endeleeni kujisifu kwa kusifiwa na kichaa mwenzenu hahahahahahahahahahahahaJamaa kasifia Nairobi akiwa nyumbani Dar., 😂😂😂😂😂., hii point yako ni zero tayari.wasafi fm studio haipo Nairobi., alikua anasimulia wenzake aliyo yashuhudia., amewaumiza sana huyu Levo.., nenda mkanyonge sio mzalendo yeye😂😂😂😂😂.,
Alikiri ukweli kama vile huyu hapa 👇 👇, na yeye ni kicha pia naona 😂 😂 😂 😂 , mnateseka sana aise! kubali yaishe mbona ufe na stress?baba level hapo TANZANIA ni kama kichaa, endeleeni kujisifu kwa kusifiwa na kichaa mwenzenu hahahahahahahahahahahaha
baba Levo kasema we nani?Yaani tujadili na watu ambao hata kunya tu ni shida wanajisaidia kwenye flying
Ubatuletea stories za udaku. We are talking serious issues with evidences
Nairobi ni mji mdogo huwez fananisha na dar , Dar cbd ni kubwa sana 3× compared to Nairobi , kiukwel Nairobi ni ndogo Sema wew Bado hujafika dar es salaam hata south Africa hujafika , wakenya tembea muoneWewe na huyo mtangazaji hamna tofauti. Low IQ tu ndo zenu.
Asanti kwa kucompare Nai na South Africa maana Dar iko chini.
Dar cbd ni kubwa sana compared to NairobiAnaongelea Dar na Nairobi, sio Afrika Kusini.
Mnaeleta taarifa za udaku. Kutoka kwa chawa [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
tuanze kumwaga mipicha ama?Jamaa wako desperate saana kiasi cha kufungua thread kwa kusifiwa na baba levo [emoji3][emoji3][emoji3]
Dodoma ni kubwa kushinda Nairobi, Johannesburg, Lagos, Kampala, Mombasa etc..Nairobi ni mji mdogo huwez fananisha na dar , Dar cbd ni kubwa sana 3× compared to Nairobi , kiukwel Nairobi ni ndogo Sema wew Bado hujafika dar es salaam hata south Africa hujafika , wakenya tembea muone