Dar ni mji wa ajabu sana, mtu anaweza vaa nguo/viatu hazijakauka lakini zika kauka akiwa amevaaa

Dar ni mji wa ajabu sana, mtu anaweza vaa nguo/viatu hazijakauka lakini zika kauka akiwa amevaaa

Walaaaaaahiii mtumeewww 5 moko , kimoko tuuu chaliii wanaumeeee tukapiga vitano vya afyaa boraaa hahhhahahhhgh




Ebana heeeeeh ndo ikawa hivyo ...mvua hii people zinavaa nguo hazijakauka na life linasongaa kibabere



Karibuni kwa makasiriko...
Wanaume or wanawake?
 
Ina maana hamna nguo za kutosha , mpaka munaamua kuvaa nguo mbichi, Sasa simtapata fungus
 
Kama minshangazi yako umenikosea adabu huombi msamaha...

Toto huna adabu wewe [emoji1787][emoji1787]
Wewe shangazi tena?😅

Mmheshimu please...! Usimuite "demu"
Kama mimi ninavyomheshimu na kumpenda hadi kumfanyia surprise ya kumfulia asinuke ki "Daslam elnino"
 
Back
Top Bottom