My brother it is not about ubongo, its moral issue, kama kwenu hamna morals HIYO NI KWENU huwezi kulazimisha na wengine wawe kama wewe, Privacy ya mgonjwa lazima ieshimiwe na ndio maana hata madakitari hawapendi mgonjwa atembelewe na makundi ya watu.Wenye Ubongo mzuri tunakuelewa sana Mkuu na tunazielewa mno Hoja zako tofauti na Fools wengi Wasiokuelewa na Wanaokushambulia.
Unaweza isaidia serikali unajua mengiSwali langu ni kwamba IT wetu, TCRA kampuni nzima hawawezi pata details za video? Basi tuko nyuma sana.
Kwa akili yangu ndogo ninavyowaza video inaweza kukupatia taarifa zifuatazo
1. Sehemu ilipochukuliwa nyuzi za latitude na longitudes
2. Aina ya simu/camera iliyotumika
3. Muda iliyochukuliwa
4. Ikishatumwa au kuwa shared itaonesha aina ya line (network) na namba iliyotumika (Source)
Wapo we pita kwenye page yake IG uone wanavyoisifia appHivi kuna wanaume kabisa wana app ya Mange kwenye simu?
Ngoja wa kupiga naye picha aende marekani atasema tu tena bila kulazimishwa.Ofisi za Mange zilizopo Kinondoni jijini Dar zimevamiwa na wafanyakazi wake kukamatwa.
Kweli kujipendekeza hakulipi.
Niliumia sana kuona anamdhalilisha prof J. Hivyo hii ni furaha kwangu.
Prof Jay Mungu aendelee kukupigania.
========
Mange kaandika:
Yes, mlichosikia ni kweli kabisa.
ofisi nzima watu zaidi ya 10 wako central toka jana asubuhi.
Nna mengi ya kusema, yani nataka kuharisha haswa ila sasa inabidi nitumie akili.
Wamefunguliwa kesi ya matumizi mabaya ya mitandao kutokana na ile clip ya Professor Jay. Wanataka kujua nani alienipa ile clip. Tatizo ni kwamba hao wafanyakazi hata wawachape viboko hakuna hata mmoja wao ataewapa jibu. Hata wawaeke ndani mwaka hakuna wa kuwapa jibu maana hawajuiiii. Mimi peke yangu ndo nina uwezo wa kuwaambia clip imetokea wapi ila mimi huwa nafuta chats zangu soon as nikifanyia kazi kuepusha sources zangu kujulikana iwapo ntapoteza simu
It’s seems wanawashikilia wafanyakazi wangu kama kunikomesha mimi, ila tatizo ni kwamba mimi niko marekani nimeweka nne wanaokoma ni watoto wadogo, watoto ambao hawana hata impact yoyote na app, hao watoto wako ndani toka jana asubuhi na Mange Kimambi App onaendelea kama kawaida kilichokuwa affected kwenye App ni hard news na sports. Mpaka hapo ilibidi wajue wamewashikilia innocent people.
So it seems wanataka mimi niwaambie nani kanitumia ile clip ndo hii kesi iishe ili waweze kudili na huyo mtu. Tatizo ni moja.
1. Siwezi kumjua huyo mtu maana nilishadelete chats zetu.
2. Hata ningekuwa sijadelete chat bado nisingetaja nani kaniambia. Yani hata waifunge App , siwezi kusema sources zangu, nini kuwakamata wafanyakazi, hata nifanywe nini nisingemtaja aliesema. Bora nife kuliko kusema nani ndo aliniambia nini. Yani niko tayari app ifungwe nirudi kuwa jobless ila siwezi kumwaribia mtu mwingine maisha yake kwa kumtaja ili nijiokoea mimi. I ain’t no snitch!!
3. Na hao Muhimbili wanajipa headache bure wafanyakazi wao wamuhimbili wako innocent. Sikutumiwa ile clip na nurse, wala doctor wala mfanyakazi.
Polisi Kesi ya vijana wangu ina dhamana ila toka jana mnawanyima dhamana why??? Dhamana ni haki yao. Tanzania tulishapita hiyo stage ya kufanyia ubabe na kwenda kinyume na sheria. Wapeni vijana haki yao ya dhamana.
Yani ni hivi hao vijana wangu hata muwabane pumbu na spana hakuna atakaewaambia chochote, coz HAWAJUIIII!!
Ndio hapo sasa, eti utetezi wake ni kwamba yeye haposti uongo, kwani sisi tumesema anaposti uongo? Mfano wakati baba yake anafumuliwa ri-nda, je angepost kisa ni kweli?!!My brother it is not about ubongo, its moral issue, kama kwenu hamna morals HIYO NI KWENU huwezi kulazimisha na wengine wawe kama wewe, Privacy ya mgonjwa lazima ieshimiwe na ndio maana hata mdakitari hawapendi mgonjwa atembelewe na makundi ya watu.
Unataka kuniambia kuwa Baba mange baada ya ku... rwa na njemba kibao Mange angeposti kwenye app yake kwa sababu tu ni tukio la kweli?
Angemposti baba yake?
Eh Genta leo huijui TISS ndugu yangu maajabu haya....Hivi TISS ndiyo nini?
Unafurahia Tanzania kuacha kwenda kinyume cha sheria wakati wewe umeenda kinyume cha sheria kwakupost faragha za mgonjwa anayepigania uhai wake ICU. Idiot!!Polisi Kesi ya vijana wangu ina dhamana ila toka jana mnawanyima dhamana why??? Dhamana ni haki yao. Tanzania tulishapita hiyo stage ya kufanyia ubabe na kwenda kinyume na sheria. Wapeni vijana haki yao ya dhamana.
Unaweza ukawa mmoja wao😃😃, wanaume mnaponda lkn tunajua mnafatilia mange app mnayo kwenye simu zenuWapo we pita kwenye page yake IG uone wanavyoisifia app
Cleveland mkuu..TISS huwa hawadeal na watu wapuuzi kama hawa..sio threat kwa taifa ni vile tu ni chizi,Hapo OHIO upo mji gani?
Hivi unafanya mchezo na wanaume wa daslamHivi kuna wanaume kabisa wana app ya Mange kwenye simu?
New member mwengine katumwaHeshimu Maoni ya Wenzako kama ambavyo yako yanaheshimiwa. You must be a Psychopath Case nakushauri wahi Hospitali ukatibiwe kabla hali haijawa mbaya Kwako. Zingatia sana huu Ushauri wangu tafadhali.
Ila kuna watu hapa wanadai tuheshimu uhuru wa mtu!Kum post mgonjwa katika hali ile ni kukosa utu
Halina akili linataka tu support maujinga yake eti anajifananisha na Millard ayo! Shwaini.Ndo Mange mwenyewe huyo.
Skiliza mangeYawezekana ukawa na tatizo Kubwa la Ugonjwa wa Akili ila bado hujaligundua au Watu wako wa karibu hawajakugundua. Tafuta Tiba ya haraka uweze Kupona tafadhali.
Angalia mwandiko mzee pancho utamjua tu huyu mtu..ID's kibao😃New member mwengine katumwa
Kwahiyo alichofanya bosi wenu ni sawa?
Huyo na wewe nendeni milembe mkatibiwe mnafanya ujinga mnaita mawazo ya mtu..
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Unaweza ukawa mmoja wao[emoji2][emoji2], wanaume mnaponda lkn tunajua mnafatilia mange app mnayo kwenye simu zenu
Hata wa huku mikoani tunawaona wanayo[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Wanazo Si ndio hao wa dar
Tofautisha wanaume na wavulana,wanaume hatuna muda na huo upuuzi,wanaofuatilia huo upuuzi watakua ni wavulana tu.Unaweza ukawa mmoja wao😃😃, wanaume mnaponda lkn tunajua mnafatilia mange app mnayo kwenye simu zenu