Dar: Ofisi za MangeKimambi App zavamiwa, wafanyakazi wake wakamatwa

Dar: Ofisi za MangeKimambi App zavamiwa, wafanyakazi wake wakamatwa

Mbona haya mambo alianza kudhalilisha watu zamani tu,tuseme Prof Jay ndiyo binadamu kuliko wengine? Mbona watu mlikuwa mnashangilia na matarumbeta kabisa Mange akiwatusi watu......apewe ulinzi kabisa na aendelee maana anawafurahisha walio wengi sana.......kwani nini Cha tofauti mbona watu mnatoa mapovu sana
Kakufurahisha? Good download na app yake.
Alikuwa anawafanyia watu lakini sio mambo serious sana mfano kibamia cha lemutuz sijui takataka zingine hayo yana nini sasa?

Mtu yupo anapigania uhai wake tena ICU halafu family yake imeamua kuweka private halafu wewe unachukua Clip unasambaza wewe unachekelea.!

Ngoja siku tumfanyie baba yako au ndugu hata kaka ndio utaona.
 
Kakufurahisha? Good download na app yake.
Alikuwa anawafanyia watu lakini sio mambo serious sana mfano kibamia cha lemutuz sijui takataka zingine hayo yana nini sasa?

Mtu yupo anapigania uhai wake tena ICU halafu family yake imeamua kuweka private halafu wewe unachukua Clip unasambaza wewe unachekelea.!

Ngoja siku tumfanyie baba yako au ndugu hata kaka ndio utaona.
Hayo ya kudhalilisha watu ameanza Leo? Huyu si mlikuwa mnashangilia akitukana na kudhalilisha watu? Pro Jay ndiyo binadamu bora kuliko aliowatukana na kuwadhalilisha na familia zao? Mange huyu ndiyo yule yule tu ambaye aliwatendea ubaya wengine na mkashangilia,why now anaonekana SI mtu mwema? Aendelee tu hivyo hivyo maana mlimshangilia tangu mwanzo na matarumbeta kabisa........na apewe na ulinzi kabisa.Hakuna haja ya kulalamika kisa clip ya Jay,maana tangu mwanzo wengine humu tulipinga tabia yake tukatukanwa sana eti uhuru wake,acha aendelee pale alipoishia.......
 
Hayo ya kudhalilisha watu ameanza Leo? Huyu si mlikuwa mnashangilia akitukana na kudhalilisha watu? Pro Jay ndiyo binadamu bora kuliko aliowatukana na kuwadhalilisha na familia zao? Mange huyu ndiyo yule yule tu ambaye aliwatendea ubaya wengine na mkashangilia,why now anaonekana SI mtu mwema? Aendelee tu hivyo hivyo maana mlimshangilia tangu mwanzo na matarumbeta kabisa........na apewe na ulinzi kabisa.Hakuna haja ya kulalamika kisa clip ya Jay,maana tangu mwanzo wengine humu tulipinga tabia yake tukatukanwa sana eti uhuru wake,acha aendelee pale alipoishia.......
Mbona unarudia maneno yale yale ikiwa nimekujibu?
Haya nani alishangilia kuhusu huyo mange?

Inaonekana umefurahi Sana wewe ni yanga mwenzangu lakini hapa unaniangusha mzee.
 
Mbona unarudia maneno yale yale ikiwa nimekujibu?
Haya nani alishangilia kuhusu huyo mange?

Inaonekana umefurahi Sana wewe ni yanga mwenzangu lakini hapa unaniangusha mzee.
Sioni kipya maana anachokifanya ni muendelezo wa namna ya kuwafurahisha mazombi wake,kwahiyo hayo mapovu mnayomtolea mnamkosea maana anafanya kilekile anachokifanya kila siku
 
Hayo ya kudhalilisha watu ameanza Leo? Huyu si mlikuwa mnashangilia akitukana na kudhalilisha watu? Pro Jay ndiyo binadamu bora kuliko aliowatukana na kuwadhalilisha na familia zao? Mange huyu ndiyo yule yule tu ambaye aliwatendea ubaya wengine na mkashangilia,why now anaonekana SI mtu mwema? Aendelee tu hivyo hivyo maana mlimshangilia tangu mwanzo na matarumbeta kabisa........na apewe na ulinzi kabisa.Hakuna haja ya kulalamika kisa clip ya Jay,maana tangu mwanzo wengine humu tulipinga tabia yake tukatukanwa sana eti uhuru wake,acha aendelee pale alipoishia.......

Nani huyo alimshangilia Mange?. Kumshangilia mange hakuhalalishi ndio aendelee kidhalilisha watu mitandaoni.
 
Nadhani mi ni miongoni mwa wa hache ambao hata nembo ya app yake hatuifahamu

Sent from my SM-A405FN using JamiiForums mobile app
Haya ndio hiyo Logo yake,muione Wewe na wanafki wengine kujitia hawamfatilii kumbe mnajua mambo yake yote yanajojili[emoji19][emoji19]View attachment 2155265
1000x2000bb.jpg


Sent from my vivo X6D using JamiiForums mobile app
 
Nani huyo alimshangilia Mange?. Kumshangilia mange hakuhalalishi ndio aendelee kidhalilisha watu mitandaoni.
Hajaanza Leo kudhalilisha watu.......kujulikana kwake na umaarufu wake nikwasababu alikuwa anatukana na kuondoa utu wa watu ......... anachokifanya ndiyo kile kile Cha kila siku.......why Kwa Jay imeonekana ni sensitive saaana?
 
Hajaanza Leo kudhalilisha watu.......kujulikana kwake na umaarufu wake nikwasababu alikuwa anatukana na kuondoa utu wa watu ......... anachokifanya ndiyo kile kile Cha kila siku.......why Kwa Jay imeonekana ni sensitive saaana?
Na mie ndio nashangaa hivi huyo Prof J ndio binadamu sana au kuna mengine yanakuja watu wanaogopa. Huyu mtu katukana sana na watu walimshangilia iweje leo mapovu mengi?? Hadi Chief Hangaya alishikana mikono na kupeana hongera nyingi alovoenda US, kuna nini wanachoogopa sasa?? mie naunga mkono kazi na iendeleee Mange akazie hapo hapo mpaka wanafiki waumbuliwe na App. Kazi iendelee.
 
Ile iko wazi mbona... kuingia kule ni elfu moja kila mtu. Jana server ilizidiwa. Zaidi ya watu milion 2 walikuwa online. Hapo ni hesabu rahisi tu 1000 × 2000000+ = zaidi ya 2b mkuu.
Kweli anafanya vibaya hasa ishu ya Jay na yule jamaa ambaye majibu yake ya hiv positive yalipostiwa pale. Ila ukweli hela anapiga mnooooo
2bn sio masihara basi max melo angekua bilionea wa kutisha,hizo hesabu futa
 
Back
Top Bottom