Dar: Ofisi za MangeKimambi App zavamiwa, wafanyakazi wake wakamatwa

Dar: Ofisi za MangeKimambi App zavamiwa, wafanyakazi wake wakamatwa

Hata hivyo mvujisha video huko alipo nafikiri akiskia mlango unagongwa anajificha uvunguni hawez kuwa na aman muda huu kwa kinacho endelea
Na utakuta ni mwanaume shabiki wa da mange Ana mpka app yake aliamua kumrushia video ili aonyeshe kumkubali yeye na app yake
 
Well.... Mange alivyopost ile video sio kosa ni watu tu hapa wamevimbiwa na mandondo wanachanganya privacy na confidentiality ya mgonjwa. Kumchukua mgonjwa video haijavunjwa sheria yoyote nyie pimbi, angetoa details za kilichomo mle kilichoandikwa na daktari hilo lingekua kosa lakini sio video maana kuna wagonjwa wako ICU uwa tunaoneshwa kwa TV na hamna tatizo. Wabongo huyo mgonjwa wenu kurushwa ndio mmeona issue??? mbona JPM alirushwa pia haikua issue??? Double standard!!! wanawaonea hao watoto tu waajiriwa wa Mange ila ukweli utabaki pale pale hamna sheria yoyote iliovunjwa hapo: na eti hio kesi muilete huku US ndio watawacheka haswaaaa kwa hilo. Kuhusu kufungia App napo utakua ujinga wa hali ya juu kuna apps za porno hazijafungiwa ije ifungiwe app ya umbea ???Really??? Tulieni dawa iiingie sasa hivi Mange ongeza moto ili washenzi,wazinzi,wauaji washike adabu zao.
Are you into drugs?
 
Baba yake alibakwa na watu 11, akaamua kujipiga risasi.

Mama yake aliugua uchizi

Mtoto ndio huyo sasa.

Kuna watu wa kuwafanyia mambo ya ajabu Ila sio Jay, Jay ni mtu ambae hana noma na mtu kabisa.

Mambo Kama hayo awafanyie kina Bashite
Kumbe baba yake mzazi alibakwa na watu 11 na mama yake nae ni chizi! Ndo maana na yeye mwehu
 
Mange Leo (kwa mwezi huu tu) amepata zaidi ya billion 2 maana more than 2milion users were online. Huyu hata akifungiwa mpunga alokusanya unamtosha kufanya chochote cha maana
Yule hata 100m sijui kama anazo ogopa mtu ambae anapigia picha mitaani,yani kwake hata sebuleni hajawahi piga....kwa njaa aliyonayo ungeona kufuru ya hiyo pesa
 
Ni rahisi Sana kwa mwenzio siku likimfika ndio ataelewa... Kuna kipindi mnaweza tu kuwa na mgonjwa nyumbani na sio ICU Ila sio kila mgeni atayekuja atamuona mgonjwa ,mama atajibu mgonjwa kapumzika alihangaika Sana usiku!sembuse mtu yupo ICU anapambana halafu mtu mmoja ana sema ni kawaida.. tumetofautiana sana
Acha kabisa ndugu yangu ukijua haya mambo utaelewa tuu... Ndio sio kila mtu kuja kumwona mgonjwa labda awe ni yule anaejiweza na kuongea na kupiga story za hapa na pale sio kila mgonjwa wa kutembelea nadhani. labda wa majeruhi wa miguu mikono hivyo.
Tena nadhani utaratibu wa kuona wagonjwa uwe kwa limit tena ya familia wa karibu........... kuna jambo nimejifunza sana. Mtu anakwenda ona mgonjwa ili aweze pata la kusema. Mungu atupe nguvu.
 
Yule hata 100m sijui kama anazo ogopa mtu ambae anapigia picha mitaani,yani kwake hata sebuleni hajawahi piga....kwa njaa aliyonayo ungeona kufuru ya hiyo pesa
Ile iko wazi mbona... kuingia kule ni elfu moja kila mtu. Jana server ilizidiwa. Zaidi ya watu milion 2 walikuwa online. Hapo ni hesabu rahisi tu 1000 × 2000000+ = zaidi ya 2b mkuu.
Kweli anafanya vibaya hasa ishu ya Jay na yule jamaa ambaye majibu yake ya hiv positive yalipostiwa pale. Ila ukweli hela anapiga mnooooo
 
Ile iko wazi mbona... kuingia kule ni elfu moja kila mtu. Jana server ilizidiwa. Zaidi ya watu milion 2 walikuwa online. Hapo ni hesabu rahisi tu 1000 × 2000000+ = zaidi ya 2b mkuu.
Kweli anafanya vibaya hasa ishu ya Jay na yule jamaa ambaye majibu yake ya hiv positive yalipostiwa pale. Ila ukweli hela anapiga mnooooo

Sio jana tu kila mara server inazidiwa na watz katukamata kwa kupenda umbea
 
Baba yake alibakwa na watu 11, akaamua kujipiga risasi.

Mama yake aliugua uchizi

Mtoto ndio huyo sasa.

Kuna watu wa kuwafanyia mambo ya ajabu Ila sio Jay, Jay ni mtu ambae hana noma na mtu kabisa.

Mambo Kama hayo awafanyie kina Bashite

Haya yanaweza semwa na mtu yeyote hakuna ushahidi
 
Huu ndo unaitwa ujinga sasa. Huu UTOTO gani unaandika.

Kwa mfano mimi najua kabisa wewe jamaa sio mchungaji, wala sio dreva boda boda, wala sio mtaalamu wa sheria. Hivyo nina uhakika navyo.

Kwaio inamaanisha kana kwamba nakujua? Tumia akili acha ufala
Unajuaje kwamba mimi sio mchungaji au dreva au sio mtaalam wa sheria? Kuna tofauti ya kujua na kuhisi, wewe unahisi tu ila hujui. Once ukijua, means unanijua identity yangu
 
Vipi wale waliokuwa wanamtetea akidhalilisha watu huko kwenu bado wapo? Nashauri waachiwe tu na aendelee kama kawaida kupost ujinga uleule uliompa umaarufu na mazombi yakamshangilia nchi nzima.........
 
Safi Sana polisi

Huyu dada anajikuta nani hivi?

Hana utu kabisa na ugonjwa wa mtu halafu ety ngwe ngwe ngwe!.

Kwanza hilo li app walio download nawaona hawana akili.
Mbona haya mambo alianza kudhalilisha watu zamani tu,tuseme Prof Jay ndiyo binadamu kuliko wengine? Mbona watu mlikuwa mnashangilia na matarumbeta kabisa Mange akiwatusi watu......apewe ulinzi kabisa na aendelee maana anawafurahisha walio wengi sana.......kwani nini Cha tofauti mbona watu mnatoa mapovu sana
 
Acha kabisa ndugu yangu ukijua haya mambo utaelewa tuu... Ndio sio kila mtu kuja kumwona mgonjwa labda awe ni yule anaejiweza na kuongea na kupiga story za hapa na pale sio kila mgonjwa wa kutembelea nadhani. labda wa majeruhi wa miguu mikono hivyo.
Tena nadhani utaratibu wa kuona wagonjwa uwe kwa limit tena ya familia wa karibu........... kuna jambo nimejifunza sana. Mtu anakwenda ona mgonjwa ili aweze pata la kusema. Mungu atupe nguvu.
Kuna watu kuona mgonjwa kwake Ni kuzoa la kwenda kusimulia mbele...kweli tuwe makini
 
Back
Top Bottom