Well.... Mange alivyopost ile video sio kosa ni watu tu hapa wamevimbiwa na mandondo wanachanganya privacy na confidentiality ya mgonjwa. Kumchukua mgonjwa video haijavunjwa sheria yoyote nyie pimbi, angetoa details za kilichomo mle kilichoandikwa na daktari hilo lingekua kosa lakini sio video maana kuna wagonjwa wako ICU uwa tunaoneshwa kwa TV na hamna tatizo. Wabongo huyo mgonjwa wenu kurushwa ndio mmeona issue??? mbona JPM alirushwa pia haikua issue??? Double standard!!! wanawaonea hao watoto tu waajiriwa wa Mange ila ukweli utabaki pale pale hamna sheria yoyote iliovunjwa hapo: na eti hio kesi muilete huku US ndio watawacheka haswaaaa kwa hilo. Kuhusu kufungia App napo utakua ujinga wa hali ya juu kuna apps za porno hazijafungiwa ije ifungiwe app ya umbea ???Really??? Tulieni dawa iiingie sasa hivi Mange ongeza moto ili washenzi,wazinzi,wauaji washike adabu zao.