Dar: Ofisi za MangeKimambi App zavamiwa, wafanyakazi wake wakamatwa

Dar: Ofisi za MangeKimambi App zavamiwa, wafanyakazi wake wakamatwa

shangaa na wewe mkuu, video wala haina ubaya ila watu hapa wanajifanya wameguswa kama wameona mtu akiuawa, wanawaka na kufoka kama wamekutana na jini.

Sent from my vivo X6D using JamiiForums mobile app
Aweke na ile video ya baba yake akifumuliwa rinda..., hakuna ubaya kupost watu bila ridhaa yao na kuwaondolea faragha. Au aweke video ya mama yake wa kufikia Dr.Mwele alipokuwa ICU..., si hakuna ubaya...
 
Well.... Mange alivyopost ile video sio kosa ni watu tu hapa wamevimbiwa na mandondo wanachanganya privacy na confidentiality ya mgonjwa. Kumchukua mgonjwa video haijavunjwa sheria yoyote nyie pimbi, angetoa details za kilichomo mle kilichoandikwa na daktari hilo lingekua kosa lakini sio video maana kuna wagonjwa wako ICU uwa tunaoneshwa kwa TV na hamna tatizo. Wabongo huyo mgonjwa wenu kurushwa ndio mmeona issue??? mbona JPM alirushwa pia haikua issue??? Double standard!!! wanawaonea hao watoto tu waajiriwa wa Mange ila ukweli utabaki pale pale hamna sheria yoyote iliovunjwa hapo: na eti hio kesi muilete huku US ndio watawacheka haswaaaa kwa hilo. Kuhusu kufungia App napo utakua ujinga wa hali ya juu kuna apps za porno hazijafungiwa ije ifungiwe app ya umbea ???Really??? Tulieni dawa iiingie sasa hivi Mange ongeza moto ili washenzi,wazinzi,wauaji washike adabu zao.
Samahani mkuu unajifanya mjuaji kumbe ni ujuaji wa kijinga sana
 
Ukiangalia nyuzi pembe ndo utamuona aliyechukua video? Nieleweshe tafadhali mkuu.
Mgonjwa anaonwa na watu wengi
Uchokozi huo ha ha haaaaa!! Kuna wataalamu wa mambo hayo ya uchunguzi.
 
Samahani mkuu unajifanya mjuaji kumbe ni ujuaji wa kijinga sana
Sema kosa lake ni lipi???? hajachunguza kutoka kwa dr. mgonjwa anaumwa nini???, ni video tu!!hilo sio kosa na hio app haitafungiwa kamwe eti shauri ya video. Angekua ameweka documents za mgonjwa mtandaoni zinazohusu ugonjwa wake hilo lingekua kosa. Mnalalamika hapa mnajifurahisha tu hata hao polisi watawaachia hao madogo bila mashtaka yoyote.
 
Kwenda huko bwana, mnajifanya mnamakasiliko for nothing, pia tunatetea sio kwa sababu tunajuana na huyo mange ila.kwa sababu wengi wenu hapa wanafki tu, amlaanie binadamu mwenzake nae amelaaniwa vile vile, watu wanajifanya hapa kumlaani Mange na kutanka maneno mabaya na yatawarudia wote sababu asie na dhambi awe wa kwanza kumyooshea kidole. Anahabarisha tu, au kisa aljazerra, BBC , CNN wanagumia lugha nzuri ndio sio big deal? because wao pia huspost maudhui ya wagonjwa, vifo, vita ect huko hamuumii ila la prof J imewauma sana.... kajsvejsjssos.sj[emoji34]

Sent from my vivo X6D using JamiiForums mobile app
We jamaa sijui huelewi nn, Ni kosa kisheria kumpiga picha na kumpost mgonjwa au hata majibu ya vipimo vya hospitali bila kupata ruksa ya mhusika. Sasa wew hpo huoni tatizo?
 
Kabisa bwashe........kichwa chake inaonekana ni box tupu, innate zake zishakufa siku nyingi, haiwezekani mtu uonage
uhalifu ni jambo la kawaida, tena uone uhalifu ni pride hadi useme 'nimekunja 4 US'.

Daah! Sasa Hawa madogo ambao wameajiriwa kwa siri kwenye kampuni ya kihalifu wanatakiwa waadhibiwe vikali ili wajue na jamii ijifunze kuwa kuna na connection na mhalifu kwa namna yoyote ile ni kosa hata kama wao hawajahusika moja Kwa moja.
wameajiriwa vipi kwa Siri na wana ofisi kabisa?
 
Baba yake alibakwa na watu 11, akaamua kujipiga risasi.

Mama yake aliugua uchizi

Mtoto ndio huyo sasa.

Kuna watu wa kuwafanyia mambo ya ajabu Ila sio Jay, Jay ni mtu ambae hana noma na mtu kabisa.

Mambo Kama hayo awafanyie kina Bashite
Bashite nae ni ntu.
 
Acheni kuwa bully watu ambao hao hao mnaona wanabully wengine na mnawasema, that makes you the same, mko hapa kupiga makelele mala kalaaniwa mala sjui mpuuzi mala sjui anavunja sheria,

Kesho tena mtakuja hapa hapa kukemea serikali kufungia vyombo vya habari, hamueleweki mwataka nini Watanzania, kujifanya maadili, maadili gani wengi wenu wahuni wahuni mmejaa humu walevi wazinzi, wenye roho mbaya, wauaji, ila mkisemwa huko kwa Mange mnakuja huku kujifanya manahasira.

Sent from my vivo X6D using JamiiForums mobile app
Mange hivi huwa a huwezi kuongea bila matusi??
 
We jamaa sijui huelewi nn, Ni kosa kisheria kumpiga picha na kumpost mgonjwa au hata majibu ya vipimo vya hospitali bila kupata ruksa ya mhusika. Sasa wew hpo huoni tatizo?
Majibu ya vipimo pia infornation za mgonjwa ndio kosa kuzitoa hilo linajulikana sababu ipo.katika category ya confidenciality, pia kumpiga picha mgonjwa au mtu yoyote akiwa mtupu bila kufunikwa ama kua na.nguo yoyoye pia ni kosa sababu hiyo ipo kwenye category ya privacy, but that video haikua na hivyo vyote, na thats why video kama hizo hizo alozopost mange hupostiwa hata na watu mitandaoni ama vyombo vikubwa vya habari bila shida tena zingine ni even worse. Sasa hapa watu wanatype ujinga tu kujidai wameumia na kulaani as if hawajawahi ona ngonjwa akiwa ICU

Sent from my vivo X6D using JamiiForums mobile app
 
Watu waongelee hilo sasa, pia kwa example ya lemutuz, kumbuka walikua na ugomvi and you canmot choose silaha soft ya kumpigia adui, you take the one which hurts the most.

Hata hiyo ya prof J, still haikua iwe big deal like how you guys preaching here. Picha za watu kulazwa ICU mbona ziko nyingi hata watu hupost za ndugu zao ili watu wamuombee mgonjwa, how comes iwe big deal?

Angekua amepost video ya mgonjwa hajavaa nguo ingemake sense, ama angeandika madharau kwa mgonjwa hapo sawa, ila video tu watu.mnang'aka kama ameua, mnazidiwa bwana sio kweli.

Sent from my vivo X6D using JamiiForums mobile app
basi kunywa maji upunguze hasira
 
wameajiriwa vipi kwa Siri na wana ofisi kabisa?
imagine , watu wanaongea ongea tu hapa kama hawajielewi, hao watu wamekua recruited very openly, nafasi.zilitangazwa watu wakaapply, pia sio kosa kufanya na mange kazi, job is a job , kama kuna mahali wamevunja sheria wapelekwe mahakamani. Eti "aibu kufanya kazi na mange au kujitambulisha wafanya kazi mangekimambi App" hii sentensi only stupid person can say it.

Sent from my vivo X6D using JamiiForums mobile app
 
Majibu ya vipimo pia infornation za mgonjwa ndio kosa kuzitoa hilo linajulikana sababu ipo.katika category ya confidenciality, pia kumpiga picha mgonjwa au mtu yoyote akiwa mtupu bila kufunikwa ama kua na.nguo yoyoye pia ni kosa sababu hiyo ipo kwenye category ya privacy, but that video haikua na hivyo vyote, na thats why video kama hizo hizo alozopost mange hupostiwa hata na watu mitandaoni ama vyombo vikubwa vya habari bila shida tena zingine ni even worse. Sasa hapa watu wanatype ujinga tu kujidai wameumia na kulaani as if hawajawahi ona ngonjwa akiwa ICU

Sent from my vivo X6D using JamiiForums mobile app
Hairuhusiwi kumpiga picha mgonjwa hata kama sio mahututi na yupo tu pale mapokezi ukapost bila ridhaa yake. Ukiona mtu kapostiwa hata wale wanaochangia damu ujue wameombwa wakaridhia. So ishu sio kupost tu ishu ni ridhaa ya mgonjwa.
 
basi kunywa maji upunguze hasira
nishakunywa tayari Mkuu, wanantia hasira tu watu wa humu ndani kujifanya wameguswa kinafki kumbe shida yao App ya mange ifungwe ili wawe safe wasijepostiwa one day, App iendelee kuwepo ili iwakomeshe wapuuzi wote , waongo waongo, wazinzi, wanaocheat, wanaotesa wenzao, wanaokula rushwa, wanaoiba , wanaotapeli, wanaoiza madawa, wanaofanya ujinga wote.

Sent from my vivo X6D using JamiiForums mobile app
 
nishakunywa tayari Mkuu, wanantia hasira tu watu wa humu ndani kujifanya wamegiswa kinafki kumbe shida yao App ya mange ifungwe ili wawe safe wasijepostowa one day, App iendelee kuwepo ili iwakomeshe wapuuzi wote , waongo waongo, wazinzi, wanaocheat, wanaotesa wenzao, wanaokula rushwa, wanaoiba , wanaotapeli, wanaoiza madawa, wanaofanya ujinga wote.

Sent from my vivo X6D using JamiiForums mobile app
Atawamaliza wote hao...?
 
Back
Top Bottom