Dar: Polisi wafanya mazoezi ya utayari wa kupambana na uhalifu wowote. RCP Muliro asema hawataruhusu kikundi cha watu kutengeneza hofu

Dar: Polisi wafanya mazoezi ya utayari wa kupambana na uhalifu wowote. RCP Muliro asema hawataruhusu kikundi cha watu kutengeneza hofu

Sio kwamba hapendi uonevu, bali anajihusisha na siasa za kishenzi. Ndio maana anatumia fedha za umma kwenda kupambana na kesi ya kubambikizia, huku mambo ya msingi yakimshinda. Anashindwa kumkamata aliyekuwa anaitia serikali hasara, halafu anatumia hovyo pesa za serikali kwa kuendekeza siasa za kitoto, kisha unashanglia huo utoto kama zwazwa. Hapo wazungu wataacha kutuita manyani kweli?
Si ulisema mama siyo dhalimu?
 
Si ulisema mama siyo dhalimu?
Sio dhalimu, bali anamuiga dhalimu, lakini wala hapatii. Ndio maana nakuambia ni vyema ukamshauri aache siasa za kitoto na matumizi mabovu ya pesa za umma. Amkamate aliyekuwa anaitia nchi hasara, sio kutengeneza kesi za kubambikia, kisha atumie pesa kwa mambo ya kipuuzi.
 
Siku zinakuja ambapo police watakipata wanachokitafuta, huwez leta habar za ugaidi kwenye nchi isiyo na hata harufu ya ugaidi, one day watakuja magaidi wenyewe ndio wenye ulinz wao watauona mziki wao!
Mwenye masikio na asikie neno hili la onyo kutoka kwa Bwana. Mie naongezea tu " Laiti ungeyajua yapasayo amani ewe CCM,lakini yamefichwa machoni mwako maana Bwana amekutia upofu ili uangamie na kiti chako kisikumbukwe milele maana uovu wako umewapita hata wakoloni na umefika hata maskani ya BWANA"
 
Wandugu taarifa zilizopo ni kuwa vyombo vya ulinzi na usalama vimejiandaa kwelikweli kuharibu sura ya yeyote atakayejaribu kuweka mguu wake Kisutu.

Naambiwa kila kona wamejipanga. Kwa wale wanaopenda kuendelea kupumua hewa ya dunia hii nawashauri usikanyage Kisutu Kesho. Ona tu kipande kidogo kwa hisani ya watu wa Tanzania.

Msisahau kunywa balimi kabla hamjahamrishwa na vibaraka wenu.
 
Ulisifia Mama anaweza, vipi hapo utasema nini?
 
Sio dhalimu, bali anamuiga dhalimu, lakini wala hapatii. Ndio maana nakuambia ni vyema ukamshauri aache siasa za kitoto na matumizi mabovu ya pesa za umma. Amkamate aliyekuwa anaitia nchi hasara, sio kutengeneza kesi za kubambikia, kisha atumie pesa kwa mambo ya kipuuzi.
Sio dhalimu ila anaiga mdhalimu!

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Najua roho inakuuma sana mkuu! Tatizo ulimdemkia mapema mno.
 
Hao makada wanazidiwa weledi hata na police wa nchi ndogo tu kama malawi huwezi kuta wanatumwa kukijibia hoja chama tawala
 
Wandugu taarifa zilizopo ni kuwa vyombo vya ulinzi na usalama vimejiandaa kwelikweli kuharibu sura ya yeyote atakayejaribu kuweka mguu wake Kisutu.

Naambiwa kila kona wamejipanga. Kwa wale wanaopenda kuendelea kupumua hewa ya dunia hii nawashauri usikanyage Kisutu Kesho. Ona tu kipande kidogo kwa hisani ya watu wa Tanzania.

1628106389577.png
 
Wandugu taarifa zilizopo ni kuwa vyombo vya ulinzi na usalama vimejiandaa kwelikweli kuharibu sura ya yeyote atakayejaribu kuweka mguu wake Kisutu.

Naambiwa kila kona wamejipanga. Kwa wale wanaopenda kuendelea kupumua hewa ya dunia hii nawashauri usikanyage Kisutu Kesho. Ona tu kipande kidogo kwa hisani ya watu wa Tanzania.

View attachment 1880252
 
Wanachama wa chadema wamegoma kufanya maandamano yao kesho baada ya kugundua kuwa viongozi wakubwa wa chama hicho hawatokuwepo maandamanoni. Ukweli ni kwamba hakuna mtu atakaekuwa tayar kuweka maisha yake hatarini kwa sababu ya maisha ya mtu mungine. Kesho viongozi wa chadema wakishiriki maandamano kama wanavyomaanisha nyumbu wao hapa jukwaani, basi mi nitachoma nyumba yangu moto live afu niwatumie video muione inavyoteketea.
Uchume nyumba gani wakati unaishi kwa shemeji akoo?
 
Back
Top Bottom