Dar: Polisi yazima maandamano, yakiri kumshikiliwa Sheikh Ponda kwa mahojiano

Hapo umeweka aya ya kile nilichokizungumza nafikiri umeelewa
O
 
Sheikh Issa Ponda amekamatwa. na Polisi kwa kosa la Kuandaa Maandamano ya Kuwaunga Mkono Wa-Palestina.


Your browser is not able to display this video.
 
Mtabaki hivyo kutegemea wengine wakuleteni ukombozi
Unamkumbuka John Okelo?
Bila huyu shujaa Zanzibar bado ingekuwa chini ya Mwaarabu.
Kwanini mliwafukuza waarabu Zanzibar kipindi cha Zanzibar revolution km ni ndugu zenu katika imani?
 
Waminye hizo korodani, mpaka zipasuke..
Wa kumuonea huruma ni mama yako kwa kukuleta duniani bila sababu za msingi na kuchezea hewa ya Oxygen..Kuandamana ni haki ya kila raia ingawa siungi mkono hoja zao za maandamano.
 
Kama Sheikh kaandamana kisa Vita ya Gaza, kwa hili kachemka kiukweli. Japo polisi siwaamini wenda Sheikh ana jambo lake sio hilo. Ngoja apate dhamana tumsikie. 😁
 
Wamshughulikie huyu mzee mapema Sana maana anataka kuleta uchochezi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…