Dar: Polisi yazima maandamano, yakiri kumshikiliwa Sheikh Ponda kwa mahojiano

Dar: Polisi yazima maandamano, yakiri kumshikiliwa Sheikh Ponda kwa mahojiano

Hawa ndg zetu hawana weledi ktk masuala mtambuka yenye afya kwao.

Ndg zetu halisia ni weusi wenzetu lakini hauwezi sikia wakilaani madhira yanayowasibu weusi hata siku moja, wamekuwa weupe vichwani kwa kudhani ngozi nyekundu ni ndg zao wakati wao weusi mithili ya kiwi.

Saafi sana Jeshi la Polisi, ikiwapendeza washughulikieni hadi wageuke rangi wawe wekundu kama ndg zao wa mchongo waarabu.
Mimi huwa nashangaa sana sijui watu weupe walitufanyaje hadi tunajidharau kiasi hiki.
 
Mimi huwa nashangaa sana sijui watu weupe walitufanyaje hadi tunajidharau kiasi hiki.
Leo Nimekukamilishieni Dini yenu, na kukutimizieni neema Yangu, na Nimekupendeleeni Uislamu uwe Dini yenu…” [Quran 5:3]

“Na anayetaka dini isiyokuwa ya Kiislamu basi haitakubaliwa kwake…” [Quran 3:83]
 
Enyi watu! Kwa hakika tumekuumbeni (nyote) kwa (yule) mwanamume (mmoja, Adamu) na yule mwanamke (mmoja, Hawwa). Na tumekufanyeni mataifa na makabila (mbalimbali) ili mjuane. Hakika ahishimiwaye sana miongoni mwenu mbele ya Mwenyezi Mungu ni yule amchaye Mungu zaidi katika nyinyi..." (49:13)
 
Jummanne mliro sisi waislamu wa DAR es salaam tunaomba masheikh Wetu waachiwe mara moja
 
Lakini wapuuzi wakisema wanaandamana kumpokea yule vuvuzela Bashite ziro brain ni ruksa!
Kweli mtu akikuambia akili zako kama manjagu wa TZ jifungie ndani ulie maana ni dharau kubwa

Chadema, ACT, CUF na wengineo wangefanya utaratibu kama wa ccm. Leo Mbowe dar, watu waandamane kwa mapokezi, kule kigoma zito wanaandamana kumpokea, Mbeya nae sugu, Lema nae Arusha, Lisu dodoma pale. Mwisho wa siku nchi nzima inamaandamano

Ccm wao kagera na makonda, joket songea huko, chongolo nae Iringa, ikawa jamaa amekuwa kimya sana tokea uteuzi wa bob.
 
Lakini wapuuzi wakisema wanaandamana kumpokea yule vuvuzela Bashite ziro brain ni ruksa!
Kweli mtu akikuambia akili zako kama manjagu wa TZ jifungie ndani ulie maana ni dharau kubwa
Manjagu wanafuata maelekezo kutoka juu. Hawana ubavu wa kuzuia au kuruhusu chochote labda kiwe kitu chenye maslahi na CCM
 
Back
Top Bottom