BICHWA KOMWE -
JF-Expert Member
- Jul 21, 2022
- 6,373
- 16,073
Sukuma gang wanakomeshwaNchi ngumu sana hii...
Tukifanikiwa kwenda mbinguni tutapewa kazi ya kudeki vyoo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sukuma gang wanakomeshwaNchi ngumu sana hii...
Tukifanikiwa kwenda mbinguni tutapewa kazi ya kudeki vyoo
Hamna hoja. Kuku mnamshinda kwa wogaAnatafuta wafadhili.
Nchi ngumu sana hii...
Tukifanikiwa kwenda mbinguni tutapewa kazi ya kudeki vyoo
Mimi huwa nashangaa sana sijui watu weupe walitufanyaje hadi tunajidharau kiasi hiki.Hawa ndg zetu hawana weledi ktk masuala mtambuka yenye afya kwao.
Ndg zetu halisia ni weusi wenzetu lakini hauwezi sikia wakilaani madhira yanayowasibu weusi hata siku moja, wamekuwa weupe vichwani kwa kudhani ngozi nyekundu ni ndg zao wakati wao weusi mithili ya kiwi.
Saafi sana Jeshi la Polisi, ikiwapendeza washughulikieni hadi wageuke rangi wawe wekundu kama ndg zao wa mchongo waarabu.
Leo Nimekukamilishieni Dini yenu, na kukutimizieni neema Yangu, na Nimekupendeleeni Uislamu uwe Dini yenu…” [Quran 5:3]Mimi huwa nashangaa sana sijui watu weupe walitufanyaje hadi tunajidharau kiasi hiki.
Hayo ni ya watanzania sio wapalestinaTEC wameandamana 9/11/2023?
Lakini wapuuzi wakisema wanaandamana kumpokea yule vuvuzela Bashite ziro brain ni ruksa!
Kweli mtu akikuambia akili zako kama manjagu wa TZ jifungie ndani ulie maana ni dharau kubwa
TEC wameandamana? Jibu swali? Au baada ya kuona nguo za askari wakajifungia makabatini?Hayo ni ya watanzania sio wapalestina
Huoni jibu? Nimekwambia hayo ni mambo ya watanzania sio ya wapalestina.TEC wameandamana? Jibu swali? Au baada ya kuona nguo za askari wakajifungia makabatini?
TEC wameadamana ?Huoni jibu? Nimekwambia hayo ni mambo ya watanzania sio ya wapalestina.
Kwani ni maandamano ya nnMisikiti mbalimbali kuelekea Manzese?
Ni mambo ya watanzania.TEC wameadamana ?
Manjagu wanafuata maelekezo kutoka juu. Hawana ubavu wa kuzuia au kuruhusu chochote labda kiwe kitu chenye maslahi na CCMLakini wapuuzi wakisema wanaandamana kumpokea yule vuvuzela Bashite ziro brain ni ruksa!
Kweli mtu akikuambia akili zako kama manjagu wa TZ jifungie ndani ulie maana ni dharau kubwa
Kwani yanahusu nn ?Polisi wamefanya la maana sana. Hatutaki nchi yetu ionekane ipo upande gani. Hayo maandamano wakayafanyie ndani ya misikiti yao
🤣🤣🤣Waminye hizo korodani, mpaka zipasuke..
Wanaogopa majiniTEC wakiona hijab wanapagawa