Dar: Polisi yazima maandamano, yakiri kumshikiliwa Sheikh Ponda kwa mahojiano

Dar: Polisi yazima maandamano, yakiri kumshikiliwa Sheikh Ponda kwa mahojiano

Badala muandamane, Hamas iwaachie ndugu zetu nyie mnawasupport magaidi.
Bandari imeuzwa, tunawaambia huu mkataba ni mbaya ila mwisho mnakuja kulalamika wakristo wanairudisha nchi nyuma.
  • Kikwete aliuza gesi mtwara
  • Samia ameuza Loliondo na Bandari.
Ufisadi mkubwa unafanywa na maraisi wa kiislamu.
Hawa wavaa kobazi, hawana akili kbsa
Upo sahihi ufisadi mkubwa huwa awamu za waislam wq pwani.
 
Huyu mwamba nilidhani kazeeka kumbe bado yupo ngangari.

Sheikh Ponda ni mtu hatari sana hajapata wafuasi wa kutosha tu. Anaweza kuangusha kabati.
 
Lakini wapuuzi wakisema wanaandamana kumpokea yule vuvuzela Bashite ziro brain ni ruksa!
Kweli mtu akikuambia akili zako kama manjagu wa TZ jifungie ndani ulie maana ni dharau kubwa
Policcm ni useless kabisa.
 
19 January 2023
Dar es Salaam, Tanzania

SHEIKH ABUU - HATARI INAKUJA TUSIPOTOA TAHADHARI KWA HAYA YANAYOENDELEA



Sheikh Abuu Iddi ambaye ni Msaidizi wa Mufti wa Tanzania ametoa tahadhari hiyo kwa kuwa inaweza kupelekea amani kuvunjika nchini Tanzania.

Sheikh Abuu Iddi CV (wasifu) yake imesheheni nyadhifa kadha wa kadha ktk utumishi kwa dini na jamii kwani yeye ni imamu mkuu msikiti wa Masjid Mnyamani Buguruni jijini Dar es Salaam. Pia kwa miaka 16 amekuwa akiendesha kipindi ktk kituo cha televisheni cha Channel Ten kutoa daawa na darsa, mratibu Al Risala Foundation, Mratibu wa Kudumisha Amani katika mkoa wa Dar es Salaam, Mwandishi wa kitabu kinachokwenda kwa jina Misingi 15 ya amani, mwandishi wa makala katika gazeti kubwa la Mwananchi pia ni Mshauri wa dini na jamii wa Mufti Mkuu wa Tanzania.

Sheikh Abuu Iddi ameelekeza tahadhari hii hususan kwa madhehebu ya Sunni Saudia na Shia linaloegamia Iran yanayo shambuliana kupitia propaganda kutoka maeneo mbalimbali ya dunia ya mitandao ya kijamii wakiongozwa na viongozi wao wa ndani na nje ya nchi kuchochea misuguano
 
Balozi wa Palestine nchini Tanzania Mh. Hamdi Mansour Abuali alimwe barau mara moja na kutimuliwa kama persona non grata

Balozi wa Palestina badala ya kwenda wizara ya mambo ya nje kutafuta kuungwa mkono na Tanzania anaamua kuugawa umma wa waTanzania kwa kwenda msikitini kuomba kuungwa mkono na sehemu ya jamii inayounda Tanzania.

Video hapa chini ikionesha Mh. Balozi Hamdi Mansour Abuali akiwa anafanya shughuli zinazohatarisha usalama wq nchi kinyume na mikataba ya Vienna protocol kuhusu kazi za balozi

View: https://m.youtube.com/watch?v=auOKnvgArZ8&pp=ygUSQmFsb3ppIHdhIHBhbGVzaW5h

Waarabu wanawachukulia kwa tahadhari kubwa wapalestina, lakini sisi waswahili tuna fuata mkumbo

BALOZI wa Palestina nchini Tanzania, Hamdi Mansour Abuali amewashukuru Watanzania wanaoendelea kupaza sauti zao kulaani mashambulizi ya makombora yanayofanya na Taifa la Israel katika Ukanda wa Gaza eneo la Palestina.
Balozi Abuali,ametoa shukrani hizo leo Jijini Dar es Salaam mbele ya Waumini mara baada ya swala ya kuombea amani katika nchi ya Palestina .

Aidha,Balozi Abuali,amesema mashambulizi hayo yamekuwa yakitoa roho za watu wasiokuwa na hatia.


Kwa upande wake Kaimu Mkoa wa Dar es Salaam,Shekh Walid Alhad Omar,amesema uhusiano wa Tanzania na Palestina ni wa siku nyingi hivyo na kuwataka watanzania kulaani kile kinachoendelea Palestina.

Huyu balozi aitwe wizara ya mambo ya nje kuonywa kuacha kukosoa sera za mahusiano kimataifa za Tanzania kutoingilia upande wowote, aache kutaka kuchochea maandamano.

Balozi huyu wa Palestina hajui mipaka yake ya kidiplomasia, muda mwingi anataka kutuamrisha kufanya mambo yasiyokwenda na sera za nchi yetu kimataifa za diplomasia ya kiuchumi, watalii waje wengi kupitia Tanzania Royal Tour, wawekezaji,

Anaweza kutimuliwa kutokana na mienendo yake isiyokuwa ya cheo cha balozi . Kule Chad balozi alitimuliwa kwa kufanya kazi sizizo za kibalozi.

Gov't of Chad orders Gordon Kricke to leave country within 48 hours for 'non-respect of diplomatic customs', ministry says.
Le Monde.fr
https://www.lemonde.fr › 2023/04/10
Chad expels German ambassador, blaming 'impolite attitude'

10 Apr 2023 — The German ambassador to Chad, declared persona non grata by the government for his "impolite attitude", was
 
ASILI YA WAPALESTINA KUTOUNGWA MKONO, PIA KUOGOPWA SANA NA MATAIFA YA KIARABU

Dr Edward SAID professor wa chuo cha The College de France jijini Paris Ufaransa, mpalestina aliyewasili miaka ya 1950 katika jiji hili tajwa la ulaya Magharibi


View: https://m.youtube.com/watch?v=7g1ooTNkMQ4

Akiwa na kiu ya kujiendeleza kimasomo baada ya kuwasili akiwa kijana asiye na certificate wala diploma yoyote amezaliwa 1935 katika familia tajiri hivyo kusomeshwa shule nzuri na baadaye kwenda ngambo kusoma katika vyuo tajwa duniani nchini Marekani vya Princeton na Harvard kisha kuwa professor University of Columbia New York US.

Akiwa ngambo masomoni alizungukwa na marafiki wengi wa karibu wa kimagharibi na kiyahudi pia ingawa nje ya kundi hilo alionekana kama adui mkubwa kwa kukumbatia ugaidi wa wapalestina.

Wazazi wake Prof. Edward Said yaani mama yake alizaliwa Nazareth huku baba mzaliwa wa Jerusalem. Baadaye wazazi wake walihamia Lebanon na kuwa raia wa huko Lebanon ingawa vyeti vyao vinaonesha walizaliwa Palestine nchini Israel.

Prof. Edward Said mpalestina mkristo anaendelea kuelezea uaina wa watu waliozaliwa eneo hilo la Mashariki ya Kati wenye mchanganyiko mwingi wa kihistoria, kijamii na muingiliano wa mataifa mengi kutokana na mambo mengi yaliyojitokeza.

Prof. Edward Said katika maandiko yake kuhusu mtizamo wa Magharibi kuhusu Mashariki uwe katika vitabu, michoro, picha, simulizi, aina ya fikra za Mashariki kuwa yanafanana na kuweza kuiva katika chungu kimoja bila kutibua ladha ni mtizamo usio onesha hali halisi.

Prof. Edward Said anasema mwenyeji wa Egypt ana tabia tofauti na sema mwenyeji wa Syria vile vile wa kutoka Jordan wana mtizamo tofauti na wa kutoka Tunisia au Saudia.

Prof. Edward Said katika mihadhara yake na uandishi umeleta malumbano mengi moto na kuvutia wengi kusikiliza pia kusoma.

Prof. Edward Said kuhusu kuwepo vitabu vingi vya jiografia na historia vipya ambavyo vimejaribu kufuta ya zamani na kuandika vitu vingi vipya kwa sababu maalumu zenye manufaa kwa ....

Prof. Edward Said anaikumbuka Beirut ya miaka 1970s na 1980s iliyowakaribisha kwa mikono miwili siyo wapalestina tu bali waarabu kutoka nchi za Egypt, Syria, Jordan, Iraq, Sudan n.k wote walikimbilia Beirut Lebanon lakini baadaye wote walifurushwa kutokana na majeshi ya mgambo ya wenyeji wa KiShiite na Kikristo kuwazunguka na kuwatimua

Na baada ya hapo hasahasa wapalestina hawatakiwi tena katika mataifa ya kiarabu kufuatia nchi zilizowapa ukimbizi kwa wingi kama Jordan na Lebanon kuwaona wapalestina ni wakorofi na wakiwa wakimbizi huamua kujiingiza ktk siasa za wenyeji wao.

Mataifa ya kiarabu kuingia woga kwa imani ya Wapalestina kwenda mbali zaidi kuchukua upande wa moja wa wenyeji wao na kushiriki kwa kutumia silaha kujaribu kupindua serikali za wenyeji wao.

Kwa wapalestina kuamini itapatikana serikali mpya ya kiarabu iliyo majimuni Pan Arabian itakayounga mkono, harakati ya umoja mpya wa Kiarabu kuishambilia Israel, na ifutike ili wapalestina warudi ktk nchi wanayoamini yakwao pekee siyo ya mataifa mawili ya Palestine na Israel yanayoishi sambamba kwa kutambua uwepo wa mataifa mawili kiasili ....
 
Back
Top Bottom