Ushaandamana?Mbona wewe unakula na gongo unakunywa? Wacha unafiq
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ushaandamana?Mbona wewe unakula na gongo unakunywa? Wacha unafiq
Upo sahihi ufisadi mkubwa huwa awamu za waislam wq pwani.Badala muandamane, Hamas iwaachie ndugu zetu nyie mnawasupport magaidi.
Bandari imeuzwa, tunawaambia huu mkataba ni mbaya ila mwisho mnakuja kulalamika wakristo wanairudisha nchi nyuma.
Ufisadi mkubwa unafanywa na maraisi wa kiislamu.
- Kikwete aliuza gesi mtwara
- Samia ameuza Loliondo na Bandari.
Hawa wavaa kobazi, hawana akili kbsa
Sasa nyinyi si andamaneni? Mkiona nguo ya polisi tu mnakimbiaUpo sahihi ufisadi mkubwa huwa awamu za waislam wq pwani.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣....sasa nani atachakazwa? Wakati polisi wameshasema taratibu zifuatweKuna watu watachakazwa soon
Tangu lini maandamano yenu yanazaa tija? Israel hajabadilika na hata badilika kama akili za kijinga ndio msukumo wa kupeleka mbele ajendaSasa nyinyi si andamaneni? Mkiona nguo ya polisi tu mnakimbia
Utaumia sana tu. Nyinyi mkiona sare ya polisi unaimkia kwa woga.Tangu lini maandamano yenu yanazaa tija? Israel hajabadilika na hata badilika kama akili za kijinga ndio msukumo wa kupeleka mbele ajenda
Niko njiani kuelekea GazaUshaandamana?
Kwa MwambukusiNiko njiani kuelekea Gaza
hizo nchi 14 nyingi ni nchi za kiarabu na kiislam, Tanzani imefuata mkumbo tu hapo, bora ingebaki neutral. Israel isikate tamaa iendelee kuomba uanachama mshirikiNchi 14 barani Afrika zimeikataa Israel kujiunga na jumuiya hiyo.
Mojawapo ya nchi hizo,ni Tz.
Policcm ni useless kabisa.Lakini wapuuzi wakisema wanaandamana kumpokea yule vuvuzela Bashite ziro brain ni ruksa!
Kweli mtu akikuambia akili zako kama manjagu wa TZ jifungie ndani ulie maana ni dharau kubwa
BALOZI wa Palestina nchini Tanzania, Hamdi Mansour Abuali amewashukuru Watanzania wanaoendelea kupaza sauti zao kulaani mashambulizi ya makombora yanayofanya na Taifa la Israel katika Ukanda wa Gaza eneo la Palestina.
Balozi Abuali,ametoa shukrani hizo leo Jijini Dar es Salaam mbele ya Waumini mara baada ya swala ya kuombea amani katika nchi ya Palestina .
Aidha,Balozi Abuali,amesema mashambulizi hayo yamekuwa yakitoa roho za watu wasiokuwa na hatia.
Kwa upande wake Kaimu Mkoa wa Dar es Salaam,Shekh Walid Alhad Omar,amesema uhusiano wa Tanzania na Palestina ni wa siku nyingi hivyo na kuwataka watanzania kulaani kile kinachoendelea Palestina.
Hayo ni mambo ya watanzania, yanafanyikia hapa hapa. Sio kutuletea mambo ya gaza hapa tzNasikia TEC kupitia Mdude maandamano yao wameyakimbia. Wamejificha mvunguni na milango wamefunga
TEC wameandamana 9/11/2023?Hayo ni mambo ya watanzania, yanafanyikia hapa hapa. Sio kutuletea mambo ya gaza hapa tz