Dar: Polisi yazima maandamano, yakiri kumshikiliwa Sheikh Ponda kwa mahojiano

Dar: Polisi yazima maandamano, yakiri kumshikiliwa Sheikh Ponda kwa mahojiano

Nyakati zimebadilika sana.
Nimeandika makala hiyo fupi hapo chini niliposikia maandamano ya kuwaunha mkono Wapalestina yamezuiwa na Sheikh Ponda amekamatwa.

TANGANYIKA 1940s WAKIWAUNGA MKONO WAPALESTINA SIKWAMBII ZANZIBAR
Ndugu zangu iwe iwavyo.

Kweli Tanzania ni ya kuwazuia wananchi wake kufanya maandamano ya amani kuwaunga mkono Wapalestina?

In Shaa Allah nitaweka katika Jukwaa la Historia, historia ya Wapalestina na Tanganyika kuanzia miaka ya 1940 hadi uhuru unapatikana 1961 na msimamo wa Nyerere katika kuwaunga mkono Wapalestina.

View attachment 2809829
Picha ya zamani inamuonyesha Sheikh Ponda akizungumza
na Vyombo Vya Habari

Mzee said heshima Yako mkuu
Samahani Mzee wangu labda unaweza kunisaidia jambo hili kunifafanulia

1) Nini umuhimu wa hayo maandamano Kwetu sisi WaTanzania pia kama wa Afrika?

2) vip na upande wa pili wa wagaratia nao wakaamua kuandamana na mabango makubwaaa I STAND WITH ISRAEL una zani hakutakua na mgongano hapo katikati wa kimtazamo? Na kuhatarisha usalama wa nchi

3) Kuna guarantee Gani kwamba hayo maandamano hayawezi kuzua taharuki na fujo maana kumbuka katika hili watu tunatofautiana mitazamo.

4) Lakini Babu kumbuka pia Moja wa wahanga ni WaTanzania pia Kuna ndugu zetu wawili ambao familia zao zinakesha kuomba watoke huko salama Kwa watu ambao tunataka kuungana kuandamana Kwa ajili yao unaona ni sawa

Kumbuka hii nchi haiongozwi na misingi ya kidini japo inatambua Raia wake Wana dini mbalimbali
 
Wa kumuonea huruma ni mama yako kwa kukuleta duniani bila sababu za msingi na kuchezea hewa ya Oxygen..Kuandamana ni haki ya kila raia ingawa siungi mkono hoja zao za maandamano.
We ni ng'ombe, unashindwa kuandamana kwa ajiri ya nchi yako... Unapeleka m*tak* kizembe, Nashauri PONDA akatwe MBUPU.
 
Tena hao wapumbavu watandikwe viboko akili ziwakae sawa😡😡 kama wanaona wanauchungu Sana na hao waarabu waende wakaungane nao kule 😡😡😡😡 shenziiiiiiiiiiii kabisa hao 😡😡😡
Haya majama ya MAKOBAS, hayajawahi kumiliki akili hata siku moja..
 
Mpaka leo sijajua ni kwa nini 'wakubwa' wetu wanahofia maandamano.
 
Mpaka leo sijajua ni kwa nini 'wakubwa' wetu wanahofia maandamano.
Pana nchi flani iliwahi Fanya maandamano ya amani na Askari wakatoa ulinzi WA kutosha Kwa waandamanaji.Sniper WA kiisraeli wakaanza kuwaua wale Askari wanaotoa ulinzi.wale Askari walipoona wanakufa wakaanza kuwaua waandamanaji WA kutosha.

Uchunguzi ulipofanyika,serikali ya nchi Ile ikajutia kuua raia wake kimakosa ambapo wahusika walikua ni Waisrael.
 
11 November 2023
Riyadh, Saudi Arabia


Nchi za Umoja wa Kiislamu (OIC) na wa Jumuiya ya Nchi za Kiarabu, waandaa mkutano wa dharura


Waarabu waamua kutumia mikutano rasmi ya viongozi badala ya kuhamasisha maandamano katika nchi zao

Saudi Arabia inaandaa mkutano maalum siku ya leo Jumamosi, unaoleta pamoja nchi za ulimwengu wa Kiislamu na Kiarabu kujadili hali inayozidi kuwa mbaya huko Gaza.

Wizara ya Mambo ya Nje ya Ufalme huo ilitangaza habari hiyo mwishoni mwa Ijumaa, ikisema Saudi Arabia kuwa mwenyeji wa mikutano miwili ya kilele, mmoja wa Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu (OIC) na mmoja wa Jumuiya ya Nchi za Kiarabu, Jumamosi. Mkutano huo wa pamoja uliibuka kama mbadala baada ya Saudi kushauriana na wanachama wa mashirika yote makubwa.

Kwa mujibu wa wizara hiyo, mkutano huo wa pamoja "utafanyika kujibu mazingira ya kipekee yanayoendelea katika Ukanda wa Gaza wa Palestina huku nchi zikiona haja ya kuunganisha juhudi na kutoka na msimamo mmoja wa pamoja".


LIVE : Mkutano Maalum wa Wakuu wa Nchi Za Kiarabu kuhusu Gaza


View: https://m.youtube.com/watch?v=Jhz46OsAG1Q

Riyadh, Saudia

Wakuu wa nchi kiislamu za Kiarabu wakutana

1699703613468.png



Njia sahihi za kidiplomasia kutafuta suluhu kupitia protokali za nchi na nchi badala ya mashindikizo ya Palestine kuandaa maandamano katika nchi za kiarabu zafuatwa

1699703739340.png

Mwana wa mfalme wa Saudi Crown Prince Mohammed Bin Salman akichagiza njia za kidiplomasia kuhusu suala la Gaza [Saudi Press Agency/Handout via Reuters]
 
Tanzania almanusura iwe mwanachama wa OIC na leo ingekuwepo katika mkutano huu unaofanyika Riyadh Saudi Arabia.

Shukrani kwa viongozi wetu walio ona mbali Umoja huu wa OIC tukichukulia ukweli wa upekee wa nchi yetu kutotaka kujiingiza kama dola inayoegemee imani fulani ingeleta matatizo, mgawanyiko, mihemuko, jazba na giliba katika jamii
1699708159023.png
 
Kwa hili polisi wamefanya vyema

Yaliyopo nchini mwenu mnashindwa kuyatatua mnataka kubeba magumu ya wengine.

Udini usiwapelekepeleke
Ya ngoswe mwachieni ngoswe
 
Haya ni aina ya maandamano yanastahi kuruhusiwa na kupewa ulinzi. Wako wapi leo vijana wa ccm. Enzi ya mwalimu nyerere sio kina shekh ponda ndio wangeandaa maandamano kuiunga mkono palistina na kulaani israel. Wangekua vijana wa ccm ndio wangepanga maandamano hayo.
Hivi leo tunajidai eti diplomasia ya kiuchumi. Vijana wetu wasomi wanaenda israel kufanya umanamba kutumikishwa mashambani kwa ujira mdogo halafu taifa linakubali kuzibwa mdomo kuhusu dhuluma wanayofanyiwa wapalestina na israeli. Israel inasaidia nini cha msingi tanzania. Hawa hata ukikaribisha wawekezaji watakuibia na kukudhulumu tu. Ni nchi ya kukaa nao mbali kwa ubaya wa mioyo yao.

Ulitaka waende palestina wakati hakuna hiyo nchi ulimwenguni.
 
Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam SACP. Muliro amepiga marufuku maandamano yaliyopangwa kufanyika leo Novemba 10, 2023 Dar es Salaam, pia amewatahadharisha wananchi kutoshiriki maandamano hayo.


=====

Polisi Dar wazima maandamano, Sheikh Ponda akamatwa
Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limezima maandamano yaliyokuwa yamepangwa kufanyika kuanzia viwanja vya Mnazi Mmoja hadi Manzese, huku likikamata baadhi ya viongozi wanaodaiwa kuyandaa akiwemo Katibu wa Shura ya Maimamu Tanzania, Sheikh Ponda Issa Ponda.

Taarifa za maandamano hayo inayoandikwa kuwa imetolewa na Shura ya Maimamu Tanzania, zilianza kusambaa kwenye mitandao ya kijamii leo Novemba 10, zikieleza kuwa ni maandamano ya kutetea Mamlaka ya Palestina ambayo yalipangwa kufanyika leo saa 7:30 mchana kuanzia Mnazimmoja hadi Manzese.

Kufuatia taarifa hiyo, Kamanda wa Polisi wa kanda hiyo, Jumanne Muliro alitoa taarifa kupitia video kwenye mitandao ya jamii akipiga marufuku maandamano hayo.

Mwananchi Digital ilifika Mnazimmoja na kukuta umati wa watu, huku askari Polisi wenye sare wakiwa wameimarisha ulinzi kuzunguka viwanja hivyo.
Chanzo: Mwananchi

===========

UPDATES: TAARIFA YA JESHI LA POLISI


Akizungumza na JamiiForums kuhusu taarifa hiyo, Kamanda wa Polisi wa Kanda Maalum, Jumanne Muliro amesema:

"Tulimueleza taarifa zinazohusiana na mikutano au makusanyiko, taarifa zake anatakiwa kupeleka kwa Mkuu wa Polisi wa Wilaya kwa mujibu wa Katiba na Sheria, na Mkuu wa Polisi wa Wilaya anatakiwa kutoa mwongozo wa kiusalama, yeye (Ponda) hakufanya hivyo.

"Baada ya kuelezwa hivyo, hakufanya chochote, akawa anahamasisha kwenye mitandao kuhusu, akaanza kukusanya watu, hakufuata utaratibu kama anakubaliwa au la.

"Kinachofanyika anahojiwa, tunataka kujua kuna nini kinachoendelea kuhusu mipango iliyopo.

"Baadaye tutaangalia mazingira, tutaangalia hiki kinachochunguzwa kama kinadhaminika au tofauti, baada ya mahojiano tutaangalia dhamana kwa mujibu wa Sheria na anatoa ushirikiano mzuri katika mahojiano."
Polisi wa tanzania ni zaidi ya mbwa koko. Wamuaxhie shehe mara moja. Wapuuzi wakubwa!
 
11 November 2023

SHURA YA MAIMAMU TULITAKA KUANDAMANA KWA NIABA YA WATANZANIA WOTE


View: https://m.youtube.com/watch?v=D6RmVEIEt1g
Shura ya maimamu yafafanua kuwa waliandaa maadamano lengo lake kupaza sauti kama watanzania wote kutokana na makanisa, misikiti, hospitali, pia raia Gaza kupata dhoruba ya kijeshi .

Shura ya maimamu walaumu mabeberu kuingilia maandamano na pia watoa kauli kukamatwa kwa sheikh Ponda

Shura ya maimamu inashangaa serikali kukaa kimya kwa kutolaumu kinachoendelea Gaza na kutoa msimamo kama nchi, msemaji wa Shura ya Maimamu auliza na kushangaa alipokuwa akizungumza na waanfishi wa habari hii leo.
 
11 November 2023

SHURA YA MAIMAMU TULITAKA KUANDAMANA KWA NIABA YA WATANZANIA WOTE


View: https://m.youtube.com/watch?v=D6RmVEIEt1g
Shura ya maimamu yafafanua kuwa waliandaa maadamano lengo lake kupaza sauti kama watanzania wote kutokana na makanisa, misikiti, hospitali, pia raia Gaza kupata dhoruba ya kijeshi .

Shura ya maimamu walaumu mabeberu kuingilia maandamano na pia watoa kauli kukamatwa kwa sheikh Ponda

Shura ya maimamu inashangaa serikali kukaa kimya kwa kutolaumu kinachoendelea Gaza na kutoa msimamo kama nchi, msemaji wa Shura ya Maimamu auliza na kushangaa alipokuwa akizungumza na waanfishi wa habari hii leo.



1 2 November 2023
Cape Town, Republic of South Africa

Vurugu Zazuka Katika Maandamano, Polisi Yatumia Mizinga ya Maji Kutawanya watu Katika Maandamano ya Suala la Palestine



View: https://m.youtube.com/watch?v=hGHvN2BqZcM
Police in Cape Town have fired water cannons and stun grenades as chaos unfolded on the Sea Point Promenade following the confrontation between the Pro-Israeli and Pro-Palestine supporters.
Source : SABC News
 
Safi Sasa kuzua taharuki kwa Mambo ya kipumbavu et oooh ndugu zetu wanaonewa pumbavu kabisa hawa

Kongo ndugu zetu wa Afrika wenzetu jilani zetu weusi wenzetu Ila Kila MTU yupo kimya Leo uandamane ufunge barabara kisa mwalabu ambae hakusaidi chochote

Bibi yetu mfia dini Faiza hakua uko kwenye maandamano?
Hata hazungumzii vijana wetu walioshikiliwa wa waarabu wenzao
 
Back
Top Bottom