Akilindogosana
JF-Expert Member
- Jan 12, 2020
- 4,303
- 12,679
š¤£Moto wa kibongo hawauwezi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
š¤£Moto wa kibongo hawauwezi
Mwandiko huu wa mwanaumeNasubiri Makahaba wa kichina watavyojaa Sinza
Mamlaka za serikali idhibiti ubora wa bidhaa zinazoingia kutoka China.Wachina watageuza Tz kuwa jalala la kutupia bidhaa zao zinazokataliwa ulaya na Marekani
na mbuzi wa Bwana Heri, ambao wamekula mahindi ya shamba la Bwana HeriNchi imekuwa shamba la Bwana heri ššš
Mwandiko huu wa mwanaume
[/QUOTE š¤£š¤£š¤£š¤£š
Una upeo mdogo sanabinafsi napenda hata lile soko la wachina pale Ubungo stand ya zamani liishe haraka ili ninyi watu wa kariakoo mshike adabu na muache umungumtu.biashara huru sio kuwa na syndicates, ni competition. msiogope competition kama ninyi huwa hamnyonyi raia.
Ndo maana ninemwambia ana upeo mdogoWewe ni mtumishi wa umma hujui hustling huku mtaani unadhani mchina akija eneo lako na akiuza bidhaa kama unayouza wewe utatoboa?
Mwenzako anaongea kichina na bidhaa zinatoka kwao bei yk anakuja nayo ya chini kabisa sasa huwezi kumzidi kwa chochote.
Wewe unaakili nyingi sana, utoroshaji uzuiliwe, wapewe access yenye wepesi ili faida yao waiwekeze hapa!, that s all bright men did!, sijui kama hawa maprofesa wetu wana akili za upeo wa kiasi hiki.Hivi idadi ya wachina nchini ikifika robo ya idadi ya watanzania kiuchumi nchi itakuwaje?
Pia nashauri mamlaka izibe mianya ya wachina kutorosha pesa nje. Wanachokipata waendelee kukiwekeza hapa hapa kwenye kujenga viwanda n.k. Hope miaka 10 ijayo Tanzania tutakuwa wazalishaji wakubwa kwenye viwanda.
ila watu wote wenye akili huwa hawaogopi competition, jitafakari upo kapu lipi.Una upeo mdogo sana
Utoroshaji utazuiliwaje hibi unajua kuna magari mangapi ya gharama yananunuliwa ? Watu wananunua magari ya mabilioni ya shilingi. Hio hela wangewekeza kwenye viwanda hapa nyumbani uchumi ungekua. Kuwepo na kodi maalumu ya maari ya luxuri ikiwezekana iwe mara kumi ya bei kama singapore.Wewe unaakili nyingi sana, utoroshaji uzuiliwe, wapewe access yenye wepesi ili faida yao waiwekeze hapa!, that s all bright men did!, sijui kama hawa maprofesa wetu wana akili za upeo wa kiasi hiki.
Wewe hizo biashara kubwa za kuwalipa watanzania wenzako mishahara minono unazo ngapi ?Nilienda ofisi za kinglion pale mwenge kununua guta iliniuma watanzania kuona wameajiliwa kwenye ajira za kutumwa tumwa na nzito zenye ujira mdogo wakati huo wachina wameshika nafasi zenye pesa nono na ambazo siyo za manguvu.Nikamuona mkurugenzi anaendeshwa kwenye V8GXR nikawaza hivi watanzania tunashindwa Nini kufanya biashara kama wenzetu?
Walifanya hivyo kenya sema wakenya sio wajinga kama sisibinafsi napenda hata lile soko la wachina pale Ubungo stand ya zamani liishe haraka ili ninyi watu wa kariakoo mshike adabu na muache umungumtu.biashara huru sio kuwa na syndicates, ni competition. msiogope competition kama ninyi huwa hamnyonyi raia.
China wenyewe wanawekea ngumu makampuni ya marekani na ulaya kufanyabiashara china wanafanya hivyo kulinda makampuni yao sembuse Tanzaniaila watu wote wenye akili huwa hawaogopi competition, jitafakari upo kapu lipi.
Sidhani kama upo Sawa katika hili. Hao wanasindikiza mizigo yao kuelekea dukani. Wasipofanya hivyo wabongo wengi huwa mzigo wanatokomea nao. Sasa ili kudhibiti hilo,mchina anaamua kukomaa na mzigo wake jino kwa jino.Wawekezaji kutoka China wakiendelea na shughuli za uwekezaji wa biashara zao Jijini Dar.
Pia soma Samia: Msiruhusu Wageni Kufanya Biashara za Wenyeji
====
UNAPOTEMBEA katika Mitaa ya Agrey, Nyamwezi, Livingstone, Swahili na Congo jijini Dar es Salaam, ni kawaida kuona raia wa kigeni wakifanya kazi ambazo zinapaswa kufanywa na Watanzania na wao kufanya kazi za kitaalamu na uwekezaji.
Hawa wageni wanapaswa kuwapo katika kazi za kitaalam na uwekezaji mkubwa, huku wakitakiwa kutekeleza majukumu yao katika kazi za kitaaluma.
Raia hao wenye asili ya China hutumia mbinu mbalimbali zikiwamo kuwa na maduka ambayo huonyesha wanauza bidhaa kwa jumla, lakini hugeuka kuwa wauzaji wa rejareja na wakati mwingine huchuuza bidhaa kutoka eneo moja hadi jingine la jiji la Dar Es Salaam.
Hivi karibuni, palizuka mgogoro baina ya raia wa China na Mtanzania wakigombea eneo la kupanga bidhaa zao.
Picha jongefu za tukio hilo zilisambaa kwa kasi kubwa kwenye mitaandao ya kijamii hatua iliyomshtua Rais Samia Suluhu Hassan, ambaye aliagiza mamlaka za serikali kuhakikisha raia wa kigeni wanafanyakazi kwa mujibu wa vibali vyao, huku akitaka kazi za Watanzania kulindwa.
Aidha, alitoa maelekezo kwa Waziri wa Viwanda na Biashara, Seleman Jafo, āNimeona video Mchina akipigana na mwenyeji tena mwanamke, mchina mwanaume na mwenyeji mwanamke, ngumu za kweli kweli, nilipouliza kulikoni nikaambiwa yule Mchina naye anauza mitumba, biashara ya wenyeji, tena wenyeji vijana wetu. Hilo nalo kalitizameā.
āKama biashara haifai kufanywa na watu wa nje wasifanye, sababu ni nini mpaka wanapewa leseni ya kufanyabiashara za aina ile, na kama hawapewi leseni kwanini wanafanyabiashara za aina ile.ā
->Tener cuidado!Walifanya hivyo kenya sema wakenya sio wajinga kama sisi
View attachment 3143283
https://www.theafricareport.com/289...-square-shop-as-local-traders-feel-the-pinch/
Wachina ni wajanja mno ,inabidi serikali ilazimishe kwa nguvu.Mamlaka za serikali idhibiti ubora wa bidhaa zinazoingia kutoka China.
Pia serikali itenge eneo ndani ya nchi liitwe China Town kwa ajili ya makazi yao rasmi, biashara, waishi kwa tamaduni zao kama China.
Hiyo kauli ya nwisho ndo inamfelisha Sa100.Aidha, alitoa maelekezo kwa Waziri wa Viwanda na Biashara, Seleman Jafo, āNimeona video Mchina akipigana na mwenyeji tena mwanamke, mchina mwanaume na mwenyeji mwanamke, ngumu za kweli kweli, nilipouliza kulikoni nikaambiwa yule Mchina naye anauza mitumba, biashara ya wenyeji, tena wenyeji vijana wetu. Hilo nalo kalitizameā.