covid 19
JF-Expert Member
- May 9, 2014
- 6,967
- 17,452
Wewe ni mtumishi wa umma hujui hustling huku mtaani unadhani mchina akija eneo lako na akiuza bidhaa kama unayouza wewe utatoboa?wachache sana waliowahi kuishi nje wakabaguliwa kwenye fursa ndio watakuwa na uelewa kwamba mchina akifanya kazi yeyote hapa, kama haingilii maslahi yako na hakudhuru, hakuna shida. mwacheni afanye biashara. au wanataka tuwe kama wasouth, wavivu, wakiona wabongo na wasomali wanafanya biashara, wanawauwa ati wanafaidikia kwenye nchi yao, kwani wewe bongo wa kariakoo ukiona mchina anfanya biashara, na wewe si ufanye? anakuzuia nini? weka service nzuri mshindane, kwani tukija kwenye duka lako bila uwepo wa wachina unatupatia bidhaa bure? wapambane wawashinde wachina. pia wajue na wao kuna sikuw ataenda china, watazuiwa, wataenda ufaransa watazuiwa, wataenda ulaya watazuiwa, watajisikiaje wakati wanatafuta kipato?
Mwenzako anaongea kichina na bidhaa zinatoka kwao bei yk anakuja nayo ya chini kabisa sasa huwezi kumzidi kwa chochote.