Dar: Raia wa China wageuka machinga, Wananchi washitushwa

Dar: Raia wa China wageuka machinga, Wananchi washitushwa

Wabongo wanawaza umeneja tuu kwenye kampuni za watu
yaani mimi nihangaike kuunda kampuni, nimetoka china, nimekuja TIC hangaika na maburokrasi kibao, agiza mzigo toka china hata faida sijapata, mimi kama mchina nitamweka mbongo kweli sehemu ya juu?mbonbo? wengi ni wavivu, wezi, wanachelewa kufika kazini na kuwahi kutoka, muda mwingi wanawaza wanawake tu, ulevi n.k ufanisi utatoka wapi hapo, si lazima mtajikuta mnapewa nafasi za chini huko saidia fundi, atakayejirekebisha na kuonyesha ubora ndio huwa anapewa nafasi za juu.
 
yaani mimi nihangaike kuunda kampuni, nimetoka china, nimekuja TIC hangaika na maburokrasi kibao, agiza mzigo toka china hata faida sijapata, mimi kama mchina nitamweka mbongo kweli sehemu ya juu?mbonbo? wengi ni wavivu, wezi, wanachelewa kufika kazini na kuwahi kutoka, muda mwingi wanawaza wanawake tu, ulevi n.k ufanisi utatoka wapi hapo, si lazima mtajikuta mnapewa nafasi za chini huko saidia fundi, atakayejirekebisha na kuonyesha ubora ndio huwa anapewa nafasi za juu.
Kweli mbongo akipata kazi tu kipaumbele chake kinageuka kuwa uzinzi na pombe.
Mengine yatafata
 
Wawekezaji kutoka China wakiendelea na shughuli za uwekezaji wa biashara zao Jijini Dar.

Pia soma Samia: Msiruhusu Wageni Kufanya Biashara za Wenyeji

====

UNAPOTEMBEA katika Mitaa ya Agrey, Nyamwezi, Livingstone, Swahili na Congo jijini Dar es Salaam, ni kawaida kuona raia wa kigeni wakifanya kazi ambazo zinapaswa kufanywa na Watanzania na wao kufanya kazi za kitaalamu na uwekezaji.

Hawa wageni wanapaswa kuwapo katika kazi za kitaalam na uwekezaji mkubwa, huku wakitakiwa kutekeleza majukumu yao katika kazi za kitaaluma.

Raia hao wenye asili ya China hutumia mbinu mbalimbali zikiwamo kuwa na maduka ambayo huonyesha wanauza bidhaa kwa jumla, lakini hugeuka kuwa wauzaji wa rejareja na wakati mwingine huchuuza bidhaa kutoka eneo moja hadi jingine la jiji la Dar Es Salaam.

Hivi karibuni, palizuka mgogoro baina ya raia wa China na Mtanzania wakigombea eneo la kupanga bidhaa zao.

Picha jongefu za tukio hilo zilisambaa kwa kasi kubwa kwenye mitaandao ya kijamii hatua iliyomshtua Rais Samia Suluhu Hassan, ambaye aliagiza mamlaka za serikali kuhakikisha raia wa kigeni wanafanyakazi kwa mujibu wa vibali vyao, huku akitaka kazi za Watanzania kulindwa.

Aidha, alitoa maelekezo kwa Waziri wa Viwanda na Biashara, Seleman Jafo, “Nimeona video Mchina akipigana na mwenyeji tena mwanamke, mchina mwanaume na mwenyeji mwanamke, ngumu za kweli kweli, nilipouliza kulikoni nikaambiwa yule Mchina naye anauza mitumba, biashara ya wenyeji, tena wenyeji vijana wetu. Hilo nalo kalitizame”.

“Kama biashara haifai kufanywa na watu wa nje wasifanye, sababu ni nini mpaka wanapewa leseni ya kufanyabiashara za aina ile, na kama hawapewi leseni kwanini wanafanyabiashara za aina ile.”

Waacheni wapige pesa,nyie mapimbi akina Lucas MWASHAMBWA mbaki na UCHAWA wenu JF
 
king lion ni kampuni ya kichina, wameumiza kichwa wakaunda pikipiki na guta. wameweka branch hapa, unategemea wawaweke wabongo hawa longo longo kwenye sekta za juu? wewe ukienda china na kampuni yako ya kuuza maandazi au viazi mviringo (manake ndio uwezo wetu wa innovations ulipoishia) utamweka mchina juu? hukumu kwa haki.

wabongo wengi wezi, wavivu. kuna maeneo hata kwenye ujenzi huko wachina hadi huwa wanachapa watu viboko kwa uvivu, kuchelewa kazini, mademu nk. wakati mchina anawaza kazi muda wote na anafuata muda. ungekuwa wewe ndio mchina, ungemweka nani nafasi ya juu na yenye mshahara mnono.
Wabongo sahv wao kukata mauno tu

Ova
 
Tuwaache wanaleta ushindani mzuri wa kibiashara,watanzania ni wavivu sana acha watumwe kabisa..mbona wahindi wapo huku mpaka wengine ni mama ntilie kwa nini hofu inakuja kwa mchina?mbona waarabu wamejaa Zanzibar...kama wafuata sheria waacheni watu watafute maisha..
Kwanza tuzaliane nao tupate race zenye akili ndani ya jamii zetu
 
Wawekezaji kutoka China wakiendelea na shughuli za uwekezaji wa biashara zao Jijini Dar.

Pia soma Samia: Msiruhusu Wageni Kufanya Biashara za Wenyeji

====

UNAPOTEMBEA katika Mitaa ya Agrey, Nyamwezi, Livingstone, Swahili na Congo jijini Dar es Salaam, ni kawaida kuona raia wa kigeni wakifanya kazi ambazo zinapaswa kufanywa na Watanzania na wao kufanya kazi za kitaalamu na uwekezaji.

Hawa wageni wanapaswa kuwapo katika kazi za kitaalam na uwekezaji mkubwa, huku wakitakiwa kutekeleza majukumu yao katika kazi za kitaaluma.

Raia hao wenye asili ya China hutumia mbinu mbalimbali zikiwamo kuwa na maduka ambayo huonyesha wanauza bidhaa kwa jumla, lakini hugeuka kuwa wauzaji wa rejareja na wakati mwingine huchuuza bidhaa kutoka eneo moja hadi jingine la jiji la Dar Es Salaam.

Hivi karibuni, palizuka mgogoro baina ya raia wa China na Mtanzania wakigombea eneo la kupanga bidhaa zao.

Picha jongefu za tukio hilo zilisambaa kwa kasi kubwa kwenye mitaandao ya kijamii hatua iliyomshtua Rais Samia Suluhu Hassan, ambaye aliagiza mamlaka za serikali kuhakikisha raia wa kigeni wanafanyakazi kwa mujibu wa vibali vyao, huku akitaka kazi za Watanzania kulindwa.

Aidha, alitoa maelekezo kwa Waziri wa Viwanda na Biashara, Seleman Jafo, “Nimeona video Mchina akipigana na mwenyeji tena mwanamke, mchina mwanaume na mwenyeji mwanamke, ngumu za kweli kweli, nilipouliza kulikoni nikaambiwa yule Mchina naye anauza mitumba, biashara ya wenyeji, tena wenyeji vijana wetu. Hilo nalo kalitizame”.

“Kama biashara haifai kufanywa na watu wa nje wasifanye, sababu ni nini mpaka wanapewa leseni ya kufanyabiashara za aina ile, na kama hawapewi leseni kwanini wanafanyabiashara za aina ile.”

Eti WANANCHI WASHITUSHWA,hakuna Mwananchi mwenye akili timamu atakayeshtushwa,machawa kama wewe na wenzako kina Lucas MWASHAMBWA ndio mnaoshtushwa maana hakuna mnachokijua zaidi ya kulamba makalio ya watawala kwenye mitandao
 
Wawekezaji kutoka China wakiendelea na shughuli za uwekezaji wa biashara zao Jijini Dar.

Pia soma Samia: Msiruhusu Wageni Kufanya Biashara za Wenyeji

====

UNAPOTEMBEA katika Mitaa ya Agrey, Nyamwezi, Livingstone, Swahili na Congo jijini Dar es Salaam, ni kawaida kuona raia wa kigeni wakifanya kazi ambazo zinapaswa kufanywa na Watanzania na wao kufanya kazi za kitaalamu na uwekezaji.

Hawa wageni wanapaswa kuwapo katika kazi za kitaalam na uwekezaji mkubwa, huku wakitakiwa kutekeleza majukumu yao katika kazi za kitaaluma.

Raia hao wenye asili ya China hutumia mbinu mbalimbali zikiwamo kuwa na maduka ambayo huonyesha wanauza bidhaa kwa jumla, lakini hugeuka kuwa wauzaji wa rejareja na wakati mwingine huchuuza bidhaa kutoka eneo moja hadi jingine la jiji la Dar Es Salaam.

Hivi karibuni, palizuka mgogoro baina ya raia wa China na Mtanzania wakigombea eneo la kupanga bidhaa zao.

Picha jongefu za tukio hilo zilisambaa kwa kasi kubwa kwenye mitaandao ya kijamii hatua iliyomshtua Rais Samia Suluhu Hassan, ambaye aliagiza mamlaka za serikali kuhakikisha raia wa kigeni wanafanyakazi kwa mujibu wa vibali vyao, huku akitaka kazi za Watanzania kulindwa.

Aidha, alitoa maelekezo kwa Waziri wa Viwanda na Biashara, Seleman Jafo, “Nimeona video Mchina akipigana na mwenyeji tena mwanamke, mchina mwanaume na mwenyeji mwanamke, ngumu za kweli kweli, nilipouliza kulikoni nikaambiwa yule Mchina naye anauza mitumba, biashara ya wenyeji, tena wenyeji vijana wetu. Hilo nalo kalitizame”.

“Kama biashara haifai kufanywa na watu wa nje wasifanye, sababu ni nini mpaka wanapewa leseni ya kufanyabiashara za aina ile, na kama hawapewi leseni kwanini wanafanyabiashara za aina ile.”

Sijauona umachinga kwenye hizo picha.
 
binafsi sioni shida yeyote mchina akiuza hata chips.
Mkuu na kuunga mkono kwa mtazamo huu, serikali ilitakiwa Kuboresha maslahi ya watumishi wake na kuweka mazingira rafiki kwa sekta binafsi kutoboa na wenyeji kutoka ili kila mtanzania awe na shughuli inayomuingizia kipato cha kizuri.

Infact umachinga ulitakiwa ufanywe na wageni. Sisi tunafanya kinyume chake, watanzania tuna shida mahali.
 
Nchi imekuwa shamba la Bwana heri 😄😄😄
Mkuu huku Kanda ya Ziwa wakenya,wanyarwanda na waganda wanatufikia Hadi mashambani kijijini wakinunua nyanya,vitunguu,na dengu!! Najiuliza ukienda Rwanda unaweza ingia Hadi kijijini kweli kufuata mazao? Wazawa watafanya issue Gani Sasa. Mimi nalima nyanya na wateja wangu wanyarwanda wanakuja kijijini wanalala mashambani huko Bila wasiwasi. Chato yote wateja ni kutoka Uganda. Wanunua dengu maeneo sarawe nk wateja wao ni wakenya!
 
Back
Top Bottom