ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
- Thread starter
- #41
Hao sio wawekezaji ni machinga.Sera ya nyie Wapinzani ni ipi?Sera ya ccm....wawwkwzaji wameongezeka
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hao sio wawekezaji ni machinga.Sera ya nyie Wapinzani ni ipi?Sera ya ccm....wawwkwzaji wameongezeka
Hiyo idadi ya wachina machinga utaikuta imejumlishwa kama wawekezaji.Hao sio wawekezaji ni machinga.Sera ya nyie Wapinzani ni ipi?
yaani mimi nihangaike kuunda kampuni, nimetoka china, nimekuja TIC hangaika na maburokrasi kibao, agiza mzigo toka china hata faida sijapata, mimi kama mchina nitamweka mbongo kweli sehemu ya juu?mbonbo? wengi ni wavivu, wezi, wanachelewa kufika kazini na kuwahi kutoka, muda mwingi wanawaza wanawake tu, ulevi n.k ufanisi utatoka wapi hapo, si lazima mtajikuta mnapewa nafasi za chini huko saidia fundi, atakayejirekebisha na kuonyesha ubora ndio huwa anapewa nafasi za juu.Wabongo wanawaza umeneja tuu kwenye kampuni za watu
Kweli mbongo akipata kazi tu kipaumbele chake kinageuka kuwa uzinzi na pombe.yaani mimi nihangaike kuunda kampuni, nimetoka china, nimekuja TIC hangaika na maburokrasi kibao, agiza mzigo toka china hata faida sijapata, mimi kama mchina nitamweka mbongo kweli sehemu ya juu?mbonbo? wengi ni wavivu, wezi, wanachelewa kufika kazini na kuwahi kutoka, muda mwingi wanawaza wanawake tu, ulevi n.k ufanisi utatoka wapi hapo, si lazima mtajikuta mnapewa nafasi za chini huko saidia fundi, atakayejirekebisha na kuonyesha ubora ndio huwa anapewa nafasi za juu.
We jidanganye kuwa mchina ni mwenzako. Nionyeshe shule, hospital au miradi ya maji ili jengwa kwa msaada wa WACHINA ili iwasaidie wazawa.Hao ni hustlers wenzetu,sio sawa na Hawa weupe
Waacheni wapige pesa,nyie mapimbi akina Lucas MWASHAMBWA mbaki na UCHAWA wenu JFWawekezaji kutoka China wakiendelea na shughuli za uwekezaji wa biashara zao Jijini Dar.
Pia soma Samia: Msiruhusu Wageni Kufanya Biashara za Wenyeji
====
UNAPOTEMBEA katika Mitaa ya Agrey, Nyamwezi, Livingstone, Swahili na Congo jijini Dar es Salaam, ni kawaida kuona raia wa kigeni wakifanya kazi ambazo zinapaswa kufanywa na Watanzania na wao kufanya kazi za kitaalamu na uwekezaji.
Hawa wageni wanapaswa kuwapo katika kazi za kitaalam na uwekezaji mkubwa, huku wakitakiwa kutekeleza majukumu yao katika kazi za kitaaluma.
Raia hao wenye asili ya China hutumia mbinu mbalimbali zikiwamo kuwa na maduka ambayo huonyesha wanauza bidhaa kwa jumla, lakini hugeuka kuwa wauzaji wa rejareja na wakati mwingine huchuuza bidhaa kutoka eneo moja hadi jingine la jiji la Dar Es Salaam.
Hivi karibuni, palizuka mgogoro baina ya raia wa China na Mtanzania wakigombea eneo la kupanga bidhaa zao.
Picha jongefu za tukio hilo zilisambaa kwa kasi kubwa kwenye mitaandao ya kijamii hatua iliyomshtua Rais Samia Suluhu Hassan, ambaye aliagiza mamlaka za serikali kuhakikisha raia wa kigeni wanafanyakazi kwa mujibu wa vibali vyao, huku akitaka kazi za Watanzania kulindwa.
Aidha, alitoa maelekezo kwa Waziri wa Viwanda na Biashara, Seleman Jafo, “Nimeona video Mchina akipigana na mwenyeji tena mwanamke, mchina mwanaume na mwenyeji mwanamke, ngumu za kweli kweli, nilipouliza kulikoni nikaambiwa yule Mchina naye anauza mitumba, biashara ya wenyeji, tena wenyeji vijana wetu. Hilo nalo kalitizame”.
“Kama biashara haifai kufanywa na watu wa nje wasifanye, sababu ni nini mpaka wanapewa leseni ya kufanyabiashara za aina ile, na kama hawapewi leseni kwanini wanafanyabiashara za aina ile.”
Umekurupuka ,rejea mjadalaWe jidanganye kuwa mchina ni mwenzako. Nionyeshe shule, hospital au miradi ya maji ili jengwa kwa msaada wa WACHINA ili iwasaidie wazawa.
Wabongo sahv wao kukata mauno tuking lion ni kampuni ya kichina, wameumiza kichwa wakaunda pikipiki na guta. wameweka branch hapa, unategemea wawaweke wabongo hawa longo longo kwenye sekta za juu? wewe ukienda china na kampuni yako ya kuuza maandazi au viazi mviringo (manake ndio uwezo wetu wa innovations ulipoishia) utamweka mchina juu? hukumu kwa haki.
wabongo wengi wezi, wavivu. kuna maeneo hata kwenye ujenzi huko wachina hadi huwa wanachapa watu viboko kwa uvivu, kuchelewa kazini, mademu nk. wakati mchina anawaza kazi muda wote na anafuata muda. ungekuwa wewe ndio mchina, ungemweka nani nafasi ya juu na yenye mshahara mnono.
Siku ukiwaona nistue tafadhaliNasubiri Makahaba wa kichina watavyojaa Sinza
Eti WANANCHI WASHITUSHWA,hakuna Mwananchi mwenye akili timamu atakayeshtushwa,machawa kama wewe na wenzako kina Lucas MWASHAMBWA ndio mnaoshtushwa maana hakuna mnachokijua zaidi ya kulamba makalio ya watawala kwenye mitandaoWawekezaji kutoka China wakiendelea na shughuli za uwekezaji wa biashara zao Jijini Dar.
Pia soma Samia: Msiruhusu Wageni Kufanya Biashara za Wenyeji
====
UNAPOTEMBEA katika Mitaa ya Agrey, Nyamwezi, Livingstone, Swahili na Congo jijini Dar es Salaam, ni kawaida kuona raia wa kigeni wakifanya kazi ambazo zinapaswa kufanywa na Watanzania na wao kufanya kazi za kitaalamu na uwekezaji.
Hawa wageni wanapaswa kuwapo katika kazi za kitaalam na uwekezaji mkubwa, huku wakitakiwa kutekeleza majukumu yao katika kazi za kitaaluma.
Raia hao wenye asili ya China hutumia mbinu mbalimbali zikiwamo kuwa na maduka ambayo huonyesha wanauza bidhaa kwa jumla, lakini hugeuka kuwa wauzaji wa rejareja na wakati mwingine huchuuza bidhaa kutoka eneo moja hadi jingine la jiji la Dar Es Salaam.
Hivi karibuni, palizuka mgogoro baina ya raia wa China na Mtanzania wakigombea eneo la kupanga bidhaa zao.
Picha jongefu za tukio hilo zilisambaa kwa kasi kubwa kwenye mitaandao ya kijamii hatua iliyomshtua Rais Samia Suluhu Hassan, ambaye aliagiza mamlaka za serikali kuhakikisha raia wa kigeni wanafanyakazi kwa mujibu wa vibali vyao, huku akitaka kazi za Watanzania kulindwa.
Aidha, alitoa maelekezo kwa Waziri wa Viwanda na Biashara, Seleman Jafo, “Nimeona video Mchina akipigana na mwenyeji tena mwanamke, mchina mwanaume na mwenyeji mwanamke, ngumu za kweli kweli, nilipouliza kulikoni nikaambiwa yule Mchina naye anauza mitumba, biashara ya wenyeji, tena wenyeji vijana wetu. Hilo nalo kalitizame”.
“Kama biashara haifai kufanywa na watu wa nje wasifanye, sababu ni nini mpaka wanapewa leseni ya kufanyabiashara za aina ile, na kama hawapewi leseni kwanini wanafanyabiashara za aina ile.”
Sijauona umachinga kwenye hizo picha.Wawekezaji kutoka China wakiendelea na shughuli za uwekezaji wa biashara zao Jijini Dar.
Pia soma Samia: Msiruhusu Wageni Kufanya Biashara za Wenyeji
====
UNAPOTEMBEA katika Mitaa ya Agrey, Nyamwezi, Livingstone, Swahili na Congo jijini Dar es Salaam, ni kawaida kuona raia wa kigeni wakifanya kazi ambazo zinapaswa kufanywa na Watanzania na wao kufanya kazi za kitaalamu na uwekezaji.
Hawa wageni wanapaswa kuwapo katika kazi za kitaalam na uwekezaji mkubwa, huku wakitakiwa kutekeleza majukumu yao katika kazi za kitaaluma.
Raia hao wenye asili ya China hutumia mbinu mbalimbali zikiwamo kuwa na maduka ambayo huonyesha wanauza bidhaa kwa jumla, lakini hugeuka kuwa wauzaji wa rejareja na wakati mwingine huchuuza bidhaa kutoka eneo moja hadi jingine la jiji la Dar Es Salaam.
Hivi karibuni, palizuka mgogoro baina ya raia wa China na Mtanzania wakigombea eneo la kupanga bidhaa zao.
Picha jongefu za tukio hilo zilisambaa kwa kasi kubwa kwenye mitaandao ya kijamii hatua iliyomshtua Rais Samia Suluhu Hassan, ambaye aliagiza mamlaka za serikali kuhakikisha raia wa kigeni wanafanyakazi kwa mujibu wa vibali vyao, huku akitaka kazi za Watanzania kulindwa.
Aidha, alitoa maelekezo kwa Waziri wa Viwanda na Biashara, Seleman Jafo, “Nimeona video Mchina akipigana na mwenyeji tena mwanamke, mchina mwanaume na mwenyeji mwanamke, ngumu za kweli kweli, nilipouliza kulikoni nikaambiwa yule Mchina naye anauza mitumba, biashara ya wenyeji, tena wenyeji vijana wetu. Hilo nalo kalitizame”.
“Kama biashara haifai kufanywa na watu wa nje wasifanye, sababu ni nini mpaka wanapewa leseni ya kufanyabiashara za aina ile, na kama hawapewi leseni kwanini wanafanyabiashara za aina ile.”
Mkuu na kuunga mkono kwa mtazamo huu, serikali ilitakiwa Kuboresha maslahi ya watumishi wake na kuweka mazingira rafiki kwa sekta binafsi kutoboa na wenyeji kutoka ili kila mtanzania awe na shughuli inayomuingizia kipato cha kizuri.binafsi sioni shida yeyote mchina akiuza hata chips.
Mkuu Inashangaza sana!😅😅😅 watanzania wanalilia kufanya kazi za kimanamba
Mkuu huku Kanda ya Ziwa wakenya,wanyarwanda na waganda wanatufikia Hadi mashambani kijijini wakinunua nyanya,vitunguu,na dengu!! Najiuliza ukienda Rwanda unaweza ingia Hadi kijijini kweli kufuata mazao? Wazawa watafanya issue Gani Sasa. Mimi nalima nyanya na wateja wangu wanyarwanda wanakuja kijijini wanalala mashambani huko Bila wasiwasi. Chato yote wateja ni kutoka Uganda. Wanunua dengu maeneo sarawe nk wateja wao ni wakenya!Nchi imekuwa shamba la Bwana heri 😄😄😄
hawakolei kivile hivyo soko la dada zetu kwa upande huo wa ile biashara ya yale mambo yetu yale, liko salama!ngozi nyeusi kwenye ile biashara ndio inatawala soko, hata Zanzibar,Dubai hadi China!。Nasubiri Makahaba wa kichina watavyojaa Sinza