Dar: Rayvanny afikishwa Kituo cha Polisi

Dar: Rayvanny afikishwa Kituo cha Polisi

Haya mambo ya kupelekwa polisi kila wakat rayvanny itam Cost na kumuaribia Cv ataonekana ako na shida sehemu, kila siku tu yeye polisi , naomba Mungu leo alale Hata I Night nitafurah sana hiz mbwa zimezid umbea, Boss wao aliyewatuma safar hii watanyooka
Kusimamiwa n jembe mmakonde atafeli,jembecmwenyewe vyote alivyoanzisha,jembe beach,skylight band zimekufa imebaki redio inasuasua...alitakiwa awe n meneja kma 7 mosha anajua hilo game za mziki sio muuza sura
 
Konde anaishi Kwa Kiki , kashajitengenezea hyo dhana , kila linalotokea yeye analigeuza liwe Kiki , na ili Kiki yake ipate nguvu inabid awahusishe Wasafi either kupitia watu wake akina , mwijaku , Hbaba au yeye mwenyewe , , Rayvanny kumpsot Paula ilikuwa ratiba yake tuu , atengeneze attention basi life liende , ghafula bin vuu mmakonde kafura huko , kaenda mahakamani , mara kwenye media , huyoo katangaza atafanya maandamano mpak Wasafi , daaah ...

Wamemfinya kidogo ameanza kulalama tena ooh wanataka wanishushe duh....

Kwa mtu mwenye akili timamu , baada ya Rayvanny kupost konde angetulia tuuu, na baada ya picha Kuvuja , angetulia pia badae ndipo sasa achukue hatua stahiki , ingemake sense sana, huyoo kakimbilia kutoa wimbo , kamuita chinga dogo toa wimbo , picha zimevuja anajipiga picha bafuni anauliza mashabiki ni tango au kibamia , nao wakampa anachotaka kusikia......

Anakuja kukumbuka kuna kitu beyond fanbase and popularity kipo damaged ndo anawaza kushitaki , too late
Yule mmakonde hana maana kwa sasa.. anaeathirika zaidi ni yeye maana utupu ni wake sio wa rayvany.
 
Kusimamiwa n jembe mmakonde atafeli,jembecmwenyewe vyote alivyoanzisha,jembe beach,skylight band zimekufa imebaki redio inasuasua...alitakiwa awe n meneja kma 7 mosha anajua hilo game za mziki sio muuza sura
Uwekezaji wa jembe beach si mchezo.
Lakini jamaa anafeli wapi?
 
Back
Top Bottom