Dar: RC Makalla apingana na kauli ya Shaka kuhusu Machinga, asema machinga wote wamepangwa vizuri

Dar: RC Makalla apingana na kauli ya Shaka kuhusu Machinga, asema machinga wote wamepangwa vizuri

Huwezi kumpngia machinga ghorofani eti afanye biashara!!!

Walemavu, wagonjwa na wazee watafikaje huko juu kufuata bidhaa?

Huko miti mirefu ndio wapi watu hawajui!!!

Acha apingane naye mwisho wa siku atapendekeza mwondoeni mkuu wa mkoa anatukosesha kura maajabu ksweli.

Sasa hivi ni zamu ya kushughulikiana CCM wenyewe kwa wenyewe; kwa mwisho kumshughulikia mwingine atajilipua mwenyewe ili kukwepa aibu ya kuzomewa

Hakuna mwananchi wa kawaida anayefurahishwa na uongozi wa sasa

Ninavyojua na kuona majiji makubwa duniani huwezi kukuta wauzaji wadogowadogo wapo kwenye gorofa

Magorofa ni shopping malls
Hata supermarkets huwa ni majengo ya chini

Sasa muuza yeboyebo unamuweka gorofa la tatu kweli nitakuja kutafuta gorofani?

Hao wanatakiwa wawe kama uwanja wa mpira hivi ambapo wanakuwa wamo ndani na wote wamejipanga chini na kila mmoja anakuwa na meza yake au kibanda chake

Huo ni mfano tu wa kiwanja ila sina maana viwanja vya mpira wawekwe machinga hata kama hatung’ai kimataifa [emoji24]
 
Ninavyojua na kuona majiji makubwa duniani huwezi kukuta wauzaji wadogowadogo wapo kwenye gorofa

Magorofa ni shopping malls
Hata supermarkets huwa ni majengo ya chini

Sasa muuza yeboyebo unamuweka gorofa la tatu kweli nitakuja kutafuta gorofani?

Hao wanatakiwa wawe kama uwanja wa mpira hivi ambapo wanakuwa wamo ndani na wote wamejipanga chini na kila mmoja anakuwa na meza yake au kibanda chake

Huo ni mfano tu wa kiwanja ila sina maana viwanja vya mpira wawekwe machinga hata kama hatung’ai kimataifa [emoji24]
TFF wahame uwanja wa Karume na machinga wapangiwe hapo kufanya biashara zao
 
TFF wahame uwanja wa Karume na machinga wapangiwe hapo kufanya biashara zao

Ingekuwa bora zaidi kuliko machinga gorofani

Mikoani na wilaya zingine walishauza viwanja mpaka vya shule ifike mahali ardhi hizo zirudi

Na kuna viwanja vingine huwa wanajenga vibanda wakati wa SabaSaba tu na sikukuu ikiisha utakuta mbuzi wanachunga

Sasa ni bora wamachinga wapewe hizo sehemu au mnasemaje
 
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Amos Makalla amesema zoezi la kuwapanga vizuri Wamachinga katika Jiji la Dar es Salaam limeenda salama pasipo usumbufu wowote na kusema kwa sasa ameagiza maeneo walipoondoka Machinga yasafishwe na yafanyiwe ukarabati.

"Maelekezo ya Rais Samia yalikuwa zoezi lifanyike pasipo matumizi makubwa ya nguvu wala kudhalilisha Mtu, nashukuru maeneo yote mambo yameenda Vizuri".

Makalla amesema zoezi la kuwapanga Vizuri Machinga limekamilika na sasa hatua inayofuata ni usafi wa hali ya juu Dar es Salaam "Kikwazo cha usafi DSM ilikuwa biashara holela, nashukuru hili tumelikwamua, tujiandae kwa usafi endelevu"
Story yako haijabalance sawa na kichwa cha habari.... nilifikiri baada ya yale aliyosema Makala nilipaswa kusikia aliyosema Shaka yqnayompinga Makalla!!!
 
Huwezi kumpngia machinga ghorofani eti afanye biashara!!!

Walemavu, wagonjwa na wazee watafikaje huko juu kufuata bidhaa?

Huko miti mirefu ndio wapi watu hawajui!!!

Acha apingane naye mwisho wa siku atapendekeza mwondoeni mkuu wa mkoa anatukosesha kura maajabu ksweli.

Sasa hivi ni zamu ya kushughulikiana CCM wenyewe kwa wenyewe; kwa mwisho kumshughulikia mwingine atajilipua mwenyewe ili kukwepa aibu ya kuzomewa

Hakuna mwananchi wa kawaida anayefurahishwa na uongozi wa sasa
We fala nini?
Machinga ni eyesore ya Jiji wanaondolewa kistaarabu.
 
Mwambieni huyo anayejiita Sakala awaoneshe picha za hayo maeneo anayodai wamewaandalia hawa wanaowafukuza.
 
Back
Top Bottom