Dar: Sakata la Polisi kuuana wenyewe nje ya benki laacha sintofahamu

Niliwahi andika humu JF kuwa Kamanda wa Mafunzo nabOperations Polisi ni Kilaza.
Product za mafunzobya kipolisi ni hovyo kabisa.
No weledi.
 
Hili swala gumu,
Wanajeshi wana tabia ya kujiona sana,,na hao wengine nao lugha chafu coz of bangi,
 
Sio dharau bwana mdogo nakupa makavu ujue mwanaume kamili adharau kaz ya mwanaume mwenzie
...na mwanaume kamili halingishii uanaume wake kwa mwanaume mwenzake au vipi??
Ulienda mwenyewe polisi, hatukukutuma sisi, wewe fanya kazi yako kwa mujibu wa mkataba wako siyo kutisha tisha watu na uanaume wako
 
Ndo maana UN walisema kuna mapungufu katika mafunzo na vijana wa jwtz hili swala inatakiwa liangaliwe kwa jicho pevu sana

Hili tukio limitufumbua macho nidhamu ya vijana wetu wa jwtz
nimegundua huna ulijualo ww kasome tena UN walisemaje ?usiongopee watu nyie ndo mnaodanganyana vijiweni.
 
Hizi taasisi zote za serikali sijui nani alitumwa
 
Hivi vyombo viwili vya ulinzi hapa nchini sidhani kama iko siku vitapatana na kufanya kazi pamoja kwa moyo mmoja maana maisha yote
Polisi
Ye siku zote anajihisi anadharauliwa
Hajiamini
Silaha ndio mtetezi wake
Yuko juu ya sheria

Mwanajeshi
Ye siku zote anajihisi hawezi kudharauliwa na aliye chini yake
Anajiamini sana
Hata kama hana silaha
Anajua kama sheria zote zina mbana.

Sasa kwa sisi raia mara nyingi huwa tuko upande wa wanajeshi, na hii yote ni kutokana na matatizo tunayopata kwa kusababishiwa na polisi, kudhulumiwa, rushwa ndogo ndogo wanazochukua.
Ifike kipindi polisi waelewe majukumu yao na sio kutuonea sisi raia.
Ni imani yangu wakifanya kazi zao kwa mujibu wa sheria, sidhani kama kutatokea tena kudharauliana.
 
...na mwanaume kamili halingishii uanaume wake kwa mwanaume mwenzake au vipi??
Ulienda mwenyewe polisi, hatukukutuma sisi, wewe fanya kazi yako kwa mujibu wa mkataba wako siyo kutisha tisha watu na uanaume wako
Hakuna alie kwambia mtu ni polisi ila nakufundisha wew mtoto mlaini acha kudharau watu wanaokufanya utembeze hicho kibamia chako mtaani bwege wewe
 
Dah nchi hii POLISI hata wakienda kikosi kizima kupambana askari wa JWTZ tena PRIVATE asiye na silaha wanaweza kufa WOTE.
Na wanabahati mwenzetu hajafa maana tungewafuata palepale FFU-Ukonga tukitumia askari wa AIRWING 603KJ Au Gongo la mboto 511KJ

Na niwaambie ukweli mchungu wanaJF msioelewa haya mambo ya kijeshi kuwa mjeshi anatibiwa na akipona anarudi kuendelea na kazi kama kawaida na pongezi atapewa za kutosha na muda sio mrefu atapanda na cheo.

Huu ni kweli mchungu,msiamini mtakacho tangaziwa kuwa kapewa adhabu kali.Ni uongo mkuu hata kama kesi itafika kisutu!
 
nimegundua huna ulijualo ww kasome tena UN walisemaje ?usiongopee watu nyie ndo mnaodanganyana vijiweni.
Nahisi kama wewe ungekuwa unalo ulijualo ungelifafanua hapa nasio ngebe ulizoleta na pili hao watu si tunaishi nao mtaani nidhamu na umakini wao si tunauona wewe ndo ukarudie kusoma ile ripoti

Sent from my GT-I9082 using JamiiForums mobile app
 
Mh! Sheria za wapi mnatumia?
 
Nahisi kama wewe ungekuwa unalo ulijualo ungelifafanua hapa nasio ngebe ulizoleta na pili hao watu si tunaishi nao mtaani nidhamu na umakini wao si tunauona wewe ndo ukarudie kusoma ile ripoti

Sent from my GT-I9082 using JamiiForums mobile app
Mkuu wee kubali uhalisia kuwa ile lugha iliyotumika hukuelewa kabisa,usitake kujiona unajua uhalisia wa maisha halisi ya hao watu ngoja nikuache.
 
Mkuu wee kubali uhalisia kuwa ile lugha iliyotumika hukuelewa kabisa,usitake kujiona unajua uhalisia wa maisha halisi ya hao watu ngoja nikuache.
Wewe si ndo unajua lugha iliyotumika fafanua hapa
 
Hakuna alie kwambia mtu ni polisi ila nakufundisha wew mtoto mlaini acha kudharau watu wanaokufanya utembeze hicho kibamia chako mtaani bwege wewe
Utakuwa hauko vizuri upstair, mimi silindwi na askari wala sijawahi kupewa escort na askari na hata kwangu hawajawahi kukesha wananilinda, so zungumza kama mwanaume usizungumze kama mwanamke kusifia sifia wanaume...
 
Utakuwa hauko vizuri upstair, mimi silindwi na askari wala sijawahi kupewa escort na askari na hata kwangu hawajawahi kukesha wananilinda, so zungumza kama mwanaume usizungumze kama mwanamke kusifia sifia wanaume...
Haaaaaaaaaaaaaa haaaaaaaaa ngoja nicheke kwanza na elimu yako hyo ya 1+2= 12 ndio unajifanya uko juu bwana mdogo humu kila mtu akileta CV zake si utakimbia usimwambie mtu usiemjua hayuko vizuri upstair pambana na ujinga wako bwana mdogo

Jifunze kuheshimu kazi za watu na wewe utaheshimika,jifunze kutumia ulim vizuri nawe watu watatumia ulim wao vizuri juu yako

Ila inavyooneka wewe hakuna kitu kichwan mwako huwa unafikiria pale kibamia chako kinapo simama tu kisha lala hakuna jipya.
 
Usimwamin mtu yeyote ukiwa na silaha ya moto
Hivyo kwa kuwa hutakiwi kuamini inakupasa kumimina risasi tena hovyo...


Bora hata mngekuwa mnafahamu jinsi ya handle a gun na ku-hit a target....ona sasa mlivyojiabisha badala ya ku-hit target likaenda muua mwenzake...

Nyie polisi mlipjitokeza huku kutetea ndio mnaharibu kabisa.....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…