DAR: Sheikh wa Mkoa, Mussa Alhad atangaza mwisho wa Mange Kimambi kutukana, kushughulika na JamiiForums kisheria

Alaf sio kila mbwa akubwekeae umrushie jiwe angetulia huyu Shekhe angechukua credit nyingi lakin kwa alichokifanya mmmmmmh
 
Da mange anawapa za kiukweli balaa.
Watanzania daini katiba mpya na tume huru vinginevyo mtapata tabu sana. Taifa limegawanyika kabisa
 
Sijawahi kuona shehe anaombea watu vifo...kiukweli huyu shehe kaharibu taswira ya uislamu
 
Aliyemshauri sheikh amjibu Mange amekosea sana! Huyo sheikh anajutia bila shaka!
 
Huo ni Mkutano wa CCM Temeke mwaka 2014 na yeye alienda pale kama Mgeni Mwalikwa! Na ulikuwa ni mkutano wa ndani wa kuchagua viongozi wa Jambo!!

Don't forget, huyu Sheikh carrer yake kaanzia Temeke.


Na hapa Shekh alikuwa kwenye kongamano la nin labda?...

Kwanin hamtaki kuukubali ukweli,Shekh ameambiwa ukweli yy aliwasema viongozi wenzake wa dini kuwa wasichanganye siasa na dini,ila yy anapoonekana kwenye majukwaa ya siasa anatangaza injili sio?!,
 
Aliyemshauri sheikh amjibu Mange amekosea sana! Huyo sheikh anajutia bila shaka!
Hata hivyo kuna ambao walimpa rai aache kumjibu huyo dada lakini hakutaka ushauri wao. Kuna tatizo mahala
 

Mkuu Chinge nimekusoma kwa uzuri kabisa..

Mimi simuungi mkono huyo mwanadada hata,kwani anachokifanya sio kitu kizuri na hakikubaliki kwa jamii zetu za watz .

Na pia siungi mkono kiongozi mkubwa na mwenye dhamana kuanza kumjibu huyo Dada kwasababu anajulikana tabia zake najua hata Shehk anamjua vizuri...,kinachotokea sasa ni muendelezo wa matusi kutoka kwa Mange,kwa jinsi ninavyomfahamu Mange hajawahi kuonesha unyonge pale anapokuwa Attacked na mtu yoyote yule na hili Shehk analijua..,sasa kitendo cha yeye kutokuonesha uvumilivu kitamgharimu sana tena saaanaa.

Kengine ambacho sijakipenda ni ile hali ya kujipa nafasi ya Mungu ya Kuhukumu na hapa naongelea kiimani zaidi na kwa mujibu wa sheria ni makosa..,hili ni kosa la Jinai maana ametishia.

Mkuu Chige huo ushauri wa yeye kushauriwa kukaa kimya alafu akakataa utamgharimu sana.
 
Mtazamo wako tu.Unashauriwa kwenda mbele zaidi ukijua kuwa hawa ni binadamu sio malaika
 
Nimeshaona mkuu.

Shehk kafanya kosa kumjibu huyu dada,angekaa kimya tuu ili kulinda heshima yake.
Halafu huyu sheikh sijaelewa povu limemtoka kwa sababu gani. Ndio maana msikitini kwake huwa siendi kusali. Amekaa kimjinimjini sana huyu sheikh.
 
Hii nayo ni double standard Mahakama ya kumshitaki Mange eti ipo mbiguni ambapo hakuna rushwa lakini ya JF ipo hapa hapa DSM maana yake mahakama za rushwa! au mimi ndo nimemuelewa vibaya huyu Kada wa sisiemu.
 
Utajiju kwa kweli
Mimi huwa nawa heshimu sana wakuu wa dini zote!
 
Heri yao wale wasioona lakini wanaamini!
 
Kma ni mtanzania ana haki ya kuwa mwanachama wa chama chochote anacho kiona kina faa na kma ni kada wa ccm ,sio kosa kisheria kumpigia kampeni mgombea wa ccm ,
 
Kma ni mtanzania ana haki ya kuwa mwanachama wa chama chochote anacho kiona kina faa na kma ni kada wa ccm ,sio kosa kisheria kumpigia kampeni mgombea wa ccm ,
Binafsi sioni mantiki ya Sheikh kulalamika labda kama ametukanwa!
 
Hao ulio wataja wamevurugana na serikali sio mtu binafsi!
Sijui kama unaipata point Yangu!
Hawa watu sio wa kugombana nao maana NI SAWA NA KUJIPALIA MKAA KICWANI AU KUFUNGIWA JIWE KIFUANI NA KUTUPWA BAHARINI!
BELIEVE ME!
 
...sheikh ubwabwa huyu anatumika Na watawala wa ccm...amejiharibia sana kuanza kulumbana Na mange..!yeye kama hapendi anachosema mange ana angalia kwanini page za insta za mange???kama anachosema mange si kweli kwanini ahangaike nae????

...ona sasa tumejua anapenda mku.ndu...haya amejitakia mwenyewe... Alafu anatishia mtu maisha....yeye amekuwa Mungu????..wachawi ndio wanaotishia vifo watu...
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] unahis mange kule hana security ya kutosha basi jidanganye

Hana chochote usidanganyike, umarekani ukitaka kula lazime ufanye kazi hakuna cha bure wala cha mjomba. Mlinzi bei yake waijua?

Kama ana uwezo asingenyanganywa watoto NA mtalaka wake. Umarekani mama kunyanganywa watoto ni mama mwenye malezi mabaya au mchafu kitabia NA blogs zake zinadhihirisha.

Hao wanao tukanwa wafanye maamuzi magumu.
 
Hivi huyu shekh si aliambiwa amuache asimjibu sasa ameona ubishe wake?
Duh insta mambo ni fire aieseee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…