DAR: Sheikh wa Mkoa, Mussa Alhad atangaza mwisho wa Mange Kimambi kutukana, kushughulika na JamiiForums kisheria

Waislam huyu sheikh wa BAKWATA rafiki yake askofu mokiwa aliyepigwa chini kanisa anglikana kwa sababu hizo za kujitanabahisha na CCM. Mpigeni chini huyu ni hasara kufanya taasisi ya kiislam kuwa tawi la CCM
 
Mtazamo wako tu.Unashauriwa kwenda mbele zaidi ukijua kuwa hawa ni binadamu sio malaika
Nafahamu ndugu Yangu
Ustaarabu huwa unatafutwa kwa udi na uvumba
Mtu huvuna apandacho
Sasa wewe uanze kunyosheana vidole na mitusi kwa wakuu wa dini kisa kufurahisha kadamnasi!
Eeh Mola wangu nipitishe katika njia ya kukupendeza kwa ajili ya kizazi changu na taifa langu!
 
Mimi navijua vitabu vya dini na hata ishu ya Saul ni hekima tu ya Daudi iliyomwongoza kutomwua sawa na mtu mwingine yeyote anavyoweza kufanya lakini ni Daudi huyo huyo aliyeamuru kuuawa kwa URIA kisa kanogewa na penzi la mke wa Uria na Mungu alimwadhibu katika hilo so usimtumie kama mfano katika hili.
Mbali na hayo kama tunaamini hukumu aachiwe Mungu iweje huyu sheikh aamue kumtisha dada yule si amwachie Mungu kama kawaida basi?

Huyu sheikh ni mjinga kabisa ona sasa stori zake zote zimemwagwa hadharani ataweka wapi uso wake?
 
Hao ulio wataja wamevurugana na serikali sio mtu binafsi!
Sijui kama unaipata point Yangu!
Hawa watu sio wa kugombana nao maana NI SAWA NA KUJIPALIA MKAA KICWANI AU KUFUNGIWA JIWE KIFUANI NA KUTUPWA BAHARINI!
BELIEVE ME!
Siku hizi hata mawakala wa shetani wamejichomeka kuwa viongozi wa dini,sasa wewe endelea kumuamini kila anaejiita kiongozi wa dini ni mtumishi wa Mungu utakuja shangaa
 
Kwa sisi tuliosoma lugha,Ukipewa speech na kueleza nini hasa lengo/dhumuni la fanani kwa hii conference ya Sheikh ni Kumjibu Mange tu,nimeona amesema swala la kwanza ni kuhusu Mufti zuberi lakini amelipa dakika moja au mbili na dakika zaidi ya 10 akimuelezea mange.

Siungi mkono kitendo cha mange kumtukana Sheikh wa DAR kwamba ni Mngese na pia siungi mkono kitendo cha sheikh kumwambia mange mwisho wa kusema ni mwaka huu basi.

Kauli aliyoitoa Sheikh sio nzuri kabisa,what if Mange ndani ya mwaka huu akapata ukichaa? Unadhani watu watamuhisi vipi Sheikh? Kila binadau ana kichaa chake,nani alikuja kujua Kisando atakuja kuwa chizi? Tuondoe hilo,hatuombei mabaya mungu haepushie mbali,no one knows 2mrw,waht if Dada wa taifa kadondoka ndani ya mwaka huu,unadhani jamii itamchukuliaje Sheikh wa DAR?

Ukiangalia vizuri hiyo interview,Sheikh amejaa upepo sana,anaonyesha amekasirika sana,wakati vitabu vya dini vinasisitiza kusamehe hata 7 mara 70 lakini yeye kaonjeshwa kidogo tu na mange akawaka,viongozi wa dini huwa wanatufundisha tusamehe waliotukosea lkn kwa yeye naona hajataka kumsamehe bali ameenda mbali na kuwa na uhakika kabisa kwamba Mange Mwaka huu ndio wa Mwisho Kuongea how? Kwa wanaomjua mange hajaanza kutukana online leo,binasfi nimeanza kumfahamu miaka ya 2008 alivyoanza kuchambana na TK.

Namuomba Sheikh afute kauli yake aliyoitoa haiakisi hekima ya "Mtumishi wa Mungu" anavyotakiwa a-act pindi akiingizwa kwenye majaribu,aite tena waandishi afute kauli,ile kauli ni nzito sana,maana kitu chochote kitakachomtokea Mange watu wengi wataahisi Sheikh kafanya mambo,Je ikitokea hilo(Hatuombei litokee) unafikiri watu wake nao watatulia? Wakisema yeye amtumia mahakama ya Mungu na sisi tunatumia Sheria Mahakama ya mkononi hapo kutakuwa na Amani?

Theory of a karma,ukiua kwa upanga utakufa kwa upanga,what goes around comes around....To Every Action there is an equal and opposite reaction.
 
Nasikitika sheikh kutopewa maelekezo ya awali..kuhusu impact ya kuvuliwa kanzu na huyu dada wa mbele
 
Uria alikuwa ni askari
Sauli alikuwa ni mfalme na mpakwa mafuta wa Mwenye Enzi Mungu
Hapo ni tofauti kubwa sana kama unanielewa ninavyotofautisha kati ya wakuu wa dini na mtu wa kawaida!
Kwa Sheikh kuwa na nafasi hiyo sio kitu cha mchezo mchezo!
Ukiisoma Zaburi ya kwanza utanielewa zaidi!
Uwe na usiku mwema
 
Siku hizi hata mawakala wa shetani wamejichomeka kuwa viongozi wa dini,sasa wewe endelea kumuamini kila anaejiita kiongozi wa dini ni mtumishi wa Mungu utakuja shangaa
Sina muda wa kuwatukana au kujibizana nao
SI HERI MTU WA DINI KULIKO MUUZA BAR
HERI MISIKITI NA MAKANISA NA MA TEMPLE KULIKO MADISCO!
Ukiwa na watoto utanielewa!
Gd9t
 
Alipewa na hakuyasadiki akidhan vitisho vitamtisha dada angu mpenz
Amuulize mzee wa upako..alitishia mwandishi kuwa atakufa mwezi may..kwa kuanika habari zake za kunywa faru John aka Bapa kubwa..mwandishi hadi leo yupo hai..ni mwaka unaishi

Myths of the story..Mwanadamu huwezi mpangia mwenzio muda wa kuoshi
 
Mbona namna alivyokuwa akiongea inafanana na zile video za akina nanii kule wapi sijui tofauti tu hakuna ile kaniki.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…