Sasa hapo ushahidi ukwapi sentence Ina loop za kutosha hapo ..unajua Sheria?? Technicalities ñyingi hapo za kuondoa hiyo sentence huko ukofikiria itaweza kufaaa. kila MTU abaki sehemu yake.. Naheshimu sana tunguli zako.. Tawire.Boonge la ushahidi... Mange akipatwa na baya
Itapanda bombardier mpaka Nairobi, then mpaka Dubai, pale itasubiri kidogo kubadilisha ndege kama masaa manne then mpaka Los Angeles, sema sasa hapo itavuka bahari nyingi. Kuna India, Red Sea, Antlantic na Pacific kama sikosei, na maziwa hahahaha Huyu mbakwata Ana masikhara Sana, G.W. Bush alivyokuwa anachukiwa si kitambo wangemuondoa dunian kwa njia Yao ya jadi.Hv ikisomwa inavuka bahari????
Na statement za namna hii ya shekhe ndo zinafanya dini flani inadhihakiwa ovyo au wengine wanaiita dini ya kichawi (rejea aliyopata kunena Mtemi Deo Kisandu). Kwa mintaragu hii Waislam wanatakiwa kulikataa hafharani jambo alilosema shekhe na wabainishe kwamba dini ya kiislam haina maslahi na tishio la shekhe na kwamba hayo ni manung'uniko yake binafsi.Hicho anachokieleza kwamba Mange "ataondoka" ni kuwazia mambo yasiyowezekana! Katika nyakati zetu ni lazima kuacha kutumia matisho kama zamani kwamba ukimfanya hivi dhidi ya dini utadhurika. Kama anamaanisha kuwa Yeye Sheikh na viongozi wenzie watamuomba Mungu ili "amupumzishe" Kimange hilo ni jambo ambalo Mungu hawezi kufanya kabisa! Labda kama kuna Mungu tofauti na tunayemjua wengine. Ningeelewa zaidi ikiwa angemuombea Mange maisha marefu na kujaliwa moyo Wa kutambua makosa yake na kutubu.
Hahaha mbona tusio na ajira tupo wengi na tunazo qualifications za kujaza nafasi zao. Waje huku wote tukae benchi. Mtoa haki ukituhumiwa hata sio vizuri, acha nasisi tukajaze hizo nafasi wajifunze kwetu, next time wasirudie michezo michafu.Ndugu yangu Mshahana Jr, hao wanatoa hukumu kwa watuhumiwa wenyewe ni watuhumiwa, hivyo hawana hiyo credibility ya kuwahukumu hao watahumiwa na ndio maana wale mafarisayo sijui walipompeleka yule mwanamke aliyetuhumiwa kwa uzinzi walipoambiwa na Yesu yeye aliyemsafi awe wa kwanza kutupa jiwe kila mtu aliingia mtini.
Kwa zana ya sahihi hivyi twende kwa ushahidi, kama jaji mkuu alikuwa hajalizika na hukumu, alikuwa na uwezo wa kukata rufaa, sasa kwa kuwafukuza kazi maana tayari wameshahukuniwa hapo mahakama imewakuta hawana hatia, hao watu wanatakiwa wanakate, rufaa.
Na yeye angevunga tu , hapo sasa ndio ataharibu, bora atumie muda huo kupiga dua ya kuliombea taifa. Dhidi ya watu wasio litakia mema taifa hili
WACHA BWANAAAA,EHEEEEE ENDELEA NA HADITHI YAKOHuwa namwona huyu Sheikh ni mtulivu na hana makuu na watu wa imani zote na itikadi zote, rika zote na jinsia zote, si jambo zuri kabisa kumchafua kiongozi huyu. Mungu akuondolee maumivu uliyopata, tunakufahamu wewe si mtu wa namna uliyosemewa.
Mbona hutaji Boko haram, Al kaida na al shabab hao wanayofanya ni halali? Je Yemen wanauawa na nani kama siyo waislam wenzao wa Saudia? Je, Taliban wanaowaua ndugu zao ni wamarekani? Albadili ya shekh amesema itatupata hata sisi member wa JF. Yeye ameingiaje kama siyo member basi na yeye tutakufa naye.Zingekuwa na nguvu wangedhurika wanajeshi wa marekani au waisrael kwa dhuluma wanazotenda middle east na Afghanistan,
Imposibo, pamoja na kwamba inawezekana leoleo karogwa sanaNadhani huyu mange atafwariki ulimwengu very very soon, na akifyarikyi basi itakuwa mbegu ya shetani imekufa kabisa kabisa, maana kuna watu walijidai wao ni CCM na wao ni nchi ila leo hii tunashuhudia hawapo kabisa na kila mtanzania anajivunia kuwa mwana CCM.
You are right. Ila nchi hii imeombewa sana lakini tunaendelea kurudi nyuma hatua mia moja........Tuangalie hao waombeaji wanaweza kuwa ndio tatizo. Huyu sheikh naona ana mambo yake mengi sana hayaeleweki....uchafu uchafu tu.Na yeye angevunga tu , hapo sasa ndio ataharibu, bora atumie muda huo kupiga dua ya kuliombea taifa. Dhidi ya watu wasio litakia mema taifa hili
Anatakiwa aendelee kuwepoInasikitisha sana, huyu dada ni kazi ndogo sana kumrekebisha, hao anaowaumiza kwa matusi ambao wana uwezo, si wanfanye mpango wawalipe wamexican ama gege la BROTHERS nao watamshughulikia vizuri sana.
America kila kitu kinawezekana.
HahahahahaAfungue akaunti insta ili ajibizane nae kama Le Mutuz
Atakaye ua kwa upanga atakufa kwa upangalabda kama tuna imani tofauti... mungu anakupa kwa hitaji lako... hata ukitaka kuua...! au mpaka tukupe aya mkuu...! mungu sio wako pekee... ni wawote... wabaya, watakatifu... nk wanyama...
Nashukuru huku kwetu, ukipigwa shavu la kulia una geuza na kushoto. Ila huko visasi na husuda.Na hizo Nguvu hazipo kama zinavyoelezwa.
na maji ya afya pembeni
Tatizo hamuelewi nini maana ya kuchanganya dini na siasa! Hakuna sheria inayokataza viongozi wa dini kushiriki siasa! Tumeshaona hata CHADEMA kwenye mikutano yao kukiwa na viongozi wa dini!
Na hapa Shekh alikuwa kwenye kongamano la nin labda?...
Kwanin hamtaki kuukubali ukweli,Shekh ameambiwa ukweli yy aliwasema viongozi wenzake wa dini kuwa wasichanganye siasa na dini,ila yy anapoonekana kwenye majukwaa ya siasa anatangaza injili sio?!,
mjomba ukibishana na mpumbavu na wewe utakuwa hivyo hivyo sheikh angetumia busara zake kama kiongozi wa dini kuonyesha mfano kama kiongozi wa dini kwa wafuasi wake
lakini sio kwa kupovuka na vitisho
umetokea sura gani maalim?
Dada anajua kuwatoa watu mapovu yuuulemange anatisha
Mi nadhani tunamlisha maneno Sheikh Alhad!huyu shehe ni kama alicheza kamari kwa kumtisha Mange kuwa atakufa asipofunga mdomo wake ili atishike asiwatukane tena viongozi na anajua Mange ni muislam angeogopa....lakini kwa bahati mbaya ni kama amechochea moto kwenye kuni Mange ndio kazidi kumporomoshea matusi....inabidi awe mpole tu kama ni vita ameshashindwa
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji144] [emoji144] [emoji144] [emoji144] [emoji144] [emoji144]Hahaha mbona tusio na ajira tupo wengi na tunazo qualifications za kujaza nafasi zao. Waje huku wote tukae benchi. Mtoa haki ukituhumiwa hata sio vizuri, acha nasisi tukajaze hizo nafasi wajifunze kwetu, next time wasirudie michezo michafu.