Ndugu yangu Mshahana Jr, hao wanatoa hukumu kwa watuhumiwa wenyewe ni watuhumiwa, hivyo hawana hiyo credibility ya kuwahukumu hao watahumiwa na ndio maana wale mafarisayo sijui walipompeleka yule mwanamke aliyetuhumiwa kwa uzinzi walipoambiwa na Yesu yeye aliyemsafi awe wa kwanza kutupa jiwe kila mtu aliingia mtini.
Kwa zana ya sahihi hivyi twende kwa ushahidi, kama jaji mkuu alikuwa hajalizika na hukumu, alikuwa na uwezo wa kukata rufaa, sasa kwa kuwafukuza kazi maana tayari wameshahukuniwa hapo mahakama imewakuta hawana hatia, hao watu wanatakiwa wanakate, rufaa.