DAR: Sheikh wa Mkoa, Mussa Alhad atangaza mwisho wa Mange Kimambi kutukana, kushughulika na JamiiForums kisheria

naona anatafuta huruma ya waislamu...
ati mange katukana waislamu wote
 
Waliokuwa wakishangilia EL akitukanwa ndio haohao wanamhimiza sheikh na kumpamba ajibizane na "kichaa!!" Sheikh anaadhirika wao wako pembeni wanatazama sinema ya kutisha!!!
Sheikh amevukwa nguo ila utamu wa madaraka nao...
 
naona anatafuta huruma ya waislamu...
ati mange katukana waislamu wote
Da Mange anavyomfukunyua sasa...kila baada ya nusu saa anarusha bomu. Sheikh kaingia cha kike kumjibu chizi, bora angepiga kimya ona anavyodhalilika sasa!
 
Hapana hapa busara ni Shekh ni kuomba sluu haya mambo yaishe salama, yule dada katishiwa maisha yake ujue sasa anafanya lolote analojua ili q kweli maneno ya sheikh yakitimia na yeye kajilipizia kisasi. She has nothing to loose,
Sentence ya mwisho katika msg yako ..."she has nothing to lose" ... Hivi kweli MAISHA YAMEKOSA THAMANI KIASI HICHO? ... Are we not VALUABLE BEINGS/CREATURES before God the Almighty? ... Kwa nini maisha yetu yakose THAMANI kiasi hicho ... ?

By the way, a little correction to that grammatical error in your sentence above ... "Loose > Lose ...
 
Kwa kadri ya kumbukumbu zangu , HAKUNA MTU YETOTE ALIYEJARIBU KUPAMBANA NA JF NA AKASHINDA , labda huyu Musa Salum atakuwa wa kwanza .
 
huyu shekhe wa dar anapenda kula huyu si mchezo.sijui kwake hamna chakula
 
kisomo cha dhulma...habari nyingine kabisa
 
Mkuu,nimecheka mpaka mbavu zimeniuma!
 
Nadhani hakutakiwa kutoa tamko kama alilotoa hadharani..Tatizo alikuja kwa pupa mno..Alitakiwa kuwauliza hao wapambe wa chama kabla ya kutoa tamko la ku mu attack mrembo wa kule Amerika

Alitakiwa kumuuliza RC nini kilimkuta alipo jaribu kupambana na yule dada

Halafu angekuja kwa super brand a.k.a the nation pia angemuuliza pia..

Sasa kwa kashfa hizi zote sidhani kama waumuni watamuelewa..Ni vema akajivua gamba tuu..

Tatizo hachelewi kutuwekea video za dhambi alizokuwa anafanya…

Yule mrembo wa kule Amerika anaita kitu cha “HIROSHIMA”
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…