Atajua mwenyeweKwa hiyo wewe ni shuhuda wa yanayosema dhidi yake....?
Bado nasisitiza tena ni busara Jamiiforums ikajitenaga na huu upuuzi wa kina Mange na wafuasi wake....sioni mwisho mzuri
Mbona jamiiforums nayo kahituhumu kasema atapeleka malalamiko yake ili tushughulikiwe, huu ugomvi wala haukuhusu wewe kaa pembeni wachuane . Aliyelianzisha alimalize, period mimi nipo nimenunua kabisa mashine ya kutengeneza popcorn maana kununua kila siku napata hasara series ni ndefu sana hiiKwa hiyo wewe ni shuhuda wa yanayosema dhidi yake....?
Bado nasisitiza tena ni busara Jamiiforums ikajitenaga na huu upuuzi wa kina Mange na wafuasi wake....sioni mwisho mzuri
No! Mange Kimambi is right. Hivi Sheakh Alhad, sio jana tu ulipewa ushauri usijibizane na Mange? What did you do? Vumilia , and you must pay this bitter price. Hadi sasa umeshachafua CV ya kukubeba kuwa Sheakh Mkuu Mtarajiwa ambayo ulikuwa nayo, very poor of you. Usicheze na Mange bana that little girl is very smart upstairs.hahahaha albadil inamuhusu akiendeleaa
kinywa kichafu siku zote hunena mabaya na si mema.mange kimambi dada yetu [HASHTAG]#ukatubu[/HASHTAG]
mange anatumia jina gani jf? nasikia alishajitoa jfKwa hiyo wewe ni shuhuda wa yanayosema dhidi yake....?
Bado nasisitiza tena ni busara Jamiiforums ikajitenaga na huu upuuzi wa kina Mange na wafuasi wake....sioni mwisho mzuri
Kwanini mnapenda kumtetea mange ktk kila jambo? Ktk hili swala mange amekosea sana tena sana iwe sio shek iwe sio padri...yeye mange hana mamlaka wala chujio la kutuonyesha yupi shek na yupi padri.......hii ndio post ya mwanzo ya mange hapa alikuwa anataka kuaminisha watu kuwa shek yupo ktk siasa...wakati ukwel wa hio picha hao watu waccm wamekwenda ktk msiba wamekuta mashek wapo msibani hio sehem ya msiba aikuwa mbali na sehem zao za kampeni ..kukosea kwa Mange kunaanzia hapa kwanza
Kaaaazi kweli kweliMsichezee imani za watu, subirini muone. Kuna visomo kaka wewe au sijui dada wewe au ndio mange mwenyewe. Usicheze na Qur’an! Huyo Mange Sio kama atakufa ila ataacha kutukana Watu.
40 iko pale paleKwanini mnapenda kumtetea mange ktk kila jambo? Ktk hili swala mange amekosea sana tena sana iwe sio shek iwe sio padri...yeye mange hana mamlaka wala chujio la kutuonyesha yupi shek na yupi padri.......hii ndio post ya mwanzo ya mange hapa alikuwa anataka kuaminisha watu kuwa shek yupo ktk siasa...wakati ukwel wa hio picha hao watu waccm wamekwenda ktk msiba wamekuta mashek wapo msibani hio sehem ya msiba aikuwa mbali na sehem zao za kampeni ..kukosea kwa Mange kunaanzia hapa kwanza
yupo sana jf tena ni verify user,zamani alipewa life ban kwa maneno yake ya shombo,akawa anafungua ID tofauti tofaiti uongozi wa JF ukampa IP adress ban,2014 mwishoni sijui walielewana na uongozi JF nini akarudi kama verify user akawa mstaarabu sana ,fujo kahamishia Instragram........mange anatumia jina gani jf? nasikia alishajitoa jf
hapana.. atakuwa na id ya uongo.yupo sana jf tena ni verify user,zamani alipewa life ban kwa maneno yake ya shombo,akawa anafungua ID tofauti tofaiti uongozi wa JF ukampa IP adress ban,2014 mwishoni sijui walielewana na uongozi JF nini akarudi kama verify user akawa mstaarabu sana
ile fake id iliyokuwa kivuruge na kuunganishwa na zingine inasoma last seen Thursdayhapana.. atakuwa na id ya uongo.
duh!ile fake id iliyokuwa kivuruge na kuunganishwa na zingine inasoma last seen Thursday
WE NEED MANGE NOW !MORE THAN EVER Haaa haaaaaa! The voice of the voicelessYeah asante tatizo haya masimati foni matachi skrini, thanks anyway. Kiukweli kumtangazia mtu kuwa mwaka huu utakaa kimya ni kitisho kwa mtu yeyote ni as if wewe ndiye mwenye maamuzi na maisha ya huyo uliyemtakia. Sheikh alikosea alitakiwa ajinasibu kwanza yeye nwenyew b4 hajaenda kwenye press, Na yule dada nguvu yake ipo hukuhuku kwetu kwenye jamii yeye ni kioo tu, ndio maana anatoa evidence ya mambo ambayo hutegemei kayapatia wapi. Somtym hadi ndugu wanaweza wakatuma taarifa kwake ukahaibika.