DAR: Sheikh wa Mkoa, Mussa Alhad atangaza mwisho wa Mange Kimambi kutukana, kushughulika na JamiiForums kisheria

Mkwara mbuzi huuuu! Huyu sheikhe ni punguani.chizi huyu. Kwani wewe ni mungu mkuu
 
Ni kweli mkuu najiulizaga sana hawa watu wanamtumia Mungu yupi hasa ambae wanakua na majibu tayari kwa kile ambacho Mungu huyo anaenda kufanya kiasi cha kukaa na kutangaza
 
shekhe kadondoshwa chini kwenye kila round za pambano mbaya zaidi final round ya 12 kapigwa technical knockout kalala mazima bila kuamka....hakika chizi fresh amebaki kuwa unbeaten mpaka sasa
 
Ushabiki wa kisiasa bado haujafikia na haupaswi kufikia hatua hiyo ya kuwatusi wanadamu wenzio ...
Ushabiki wa kisiasa kwa awamu hii ya 5 ni vita ya kweli. Silaha zote zinatumika kuumaliza upinzani. Hao wanaotumia matusi ni kwavile hawana uwezo wa kupata hizo silaha nyengine tu.
 
Nimecheka sana! Unajua bhana kipindi kile tukuwa bado wadogo na atukutembea kwenda nje ya nchi tuliamini sana na tulimezeshwa ujinga sana na watu wa madrassa kuhusu albadili sasa tumetoka na tumejua kwamba ni ujinga wa ovyo kabisa
 
Nimecheka sana! Unajua bhana kipindi kile tukuwa bado wadogo na atukutembea kwenda nje ya nchi tuliamini sana na tulimezeshwa ujinga sana na watu wa madrassa kuhusu albadili sasa tumetoka na tumejua kwamba ni ujinga wa ovyo kabisa
hujakutana na chuma wewe..ingia 18 za watu upigwe..ndo utaijua dunia
 
hujakutana na chuma wewe..ingia 18 za watu upigwe..ndo utaijua dunia
Huo ni uchawi wa kwababu na sio albadili ile wanao soma mashekhe ubwabwa wale wa madrassa siamini na sitoamini kwamba albadili inaweza ikamdhuru mtu maana mungu wakweli apendi mtu alibikiwe mpaka akapoteza akili yake kama akipoteza akili nani atamsujudia .ukitembea ukitoka hapo kwenu bongo ndio utaamini aya maneno yangu
 
Mkuu unachoongea umegeneralize sana,sijui kama unajua communication skills,sisi wengine tumeokoka tunaomba ushahidi wa wachungaji wetu inaonekana unawajua sana.Hapo nilipo highlight red,kwa jinsi unavyo andika unapotosha watu,kama kuna mchungaji amekosea au padre au sheikh deal naye personally usijumuishe na wengine.Tia ushaidi kwamba wachungaji wetu wanakesha wanawaombea watu mabaya.Biblia imetuagiza kuwapenda adui zetu sasa kama wewe umeshindwa kumpenda adui yako hiyo haibadilishi ambacho Mungu anataka tufanye.Nasubilia ushahidi wako au hao unaowajua wataje majina yako kuliko kujumuisha wote,that is very bad and shows lack of skills in public speaking.
 
Nisingeona comment yako ningejitoa jf ni mchangiaji mzuri sana Mkuu mchana mwema
 
Ushawahi muuliza kakobe kwanini anaona mapungufu ya SERIKALI tu na sio upinzani?

Kwa sababu Tamko la Rais linatuathiri wote watanzania, kinyume na tamko la Mbowe au Maalim wa CUF. Sina haja ya kukujibu mengi utafunuka tu.

Na huyu sheikh wako, mwambie afunge mdomo kabisa, kwa maana tumemuhifadhi tu vinginevyo kwa madhambi anayofanya ni sawa na kusema yupo uchi. Hatutaki kumvua nguo hapa hadharani, lakini akipanua mdomo tutaanika uchafu wake woteeeeeeee. Maana kama asipoenda motoni huyu sheikh basi hakuna wa kwenda motoni.

Nasikitika hakusikiliza ushauri nasaha wa watu wenye busara waliomshauri " ASIMJIBU MANGE" na yeye hakusikia. Kifupi hakumjibu MANGE ila aliwajibu waislamu wote waungwana walioamua kukaa kimya na kumdharau kwa maovu yote anayoyafanya. Sasa kachokoza waislam wote, eti Mange katukana waislamu wote- Hapana, waliotukanwa ni wale wanaoutusi na kuudhihaki uislam huku wenyewe wakijiita waislam kwa kutumia kivuli cha BAKWATA. Mwaga ugali nasi tumwage mboga!!!!!!!! Mange tulia huyu tuachie sisi.
 
Hata BAKWATA wenzake hawampendi ndio maana wakamshauri amjibu mange ili mambo yote yawe hadharani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…