DAR: Sheikh wa Mkoa, Mussa Alhad atangaza mwisho wa Mange Kimambi kutukana, kushughulika na JamiiForums kisheria

hahahaaa magufuli alikuwa anapenda kusifiwa huyo[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]. Nyerere alikataa kuitwa mheshimiwa akasema anapenda aitwe mwalimu.kuna mmoja alisema eti Mungu amshukuru magufuli kwa kazi anayofanya

Walipitiliza misifa hadi wakaanza kukufuru.
 
hahahaaa magufuli alikuwa anapenda kusifiwa huyo[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]. Nyerere alikataa kuitwa mheshimiwa akasema anapenda aitwe mwalimu.kuna mmoja alisema eti Mungu amshukuru magufuli kwa kazi anayofanya
Yule aliyesema Mungu amshukuru Magufuli laana imeanza kumtafuna. Anajifanya mhubiri siku hizi lkn Kama tujuavyo dhambi ya kukufuru ukiwa na akili timamu Ni habari nyingine. Itamkula mpaka akawe na huyo aliyemsifia
 
Hahahaa Sheikh Ubwabwa imekula kwake.
Mange anadai sheikh anafumua sana marinda ya wanawake wenye makalio makubwa na anawalipa laki nne. Mange hadi akatoa picha zao ikabidi familia wamsihi mange akasitisha. Kuna mmoja mke wa mtu mange aliweka picha yake alhad alimtifua tope hadi nilimuonea wivu sheikh nikasema kwa nini sikuwa kwenye nafasi yake?
 

Ndio Maana Albadili ilidunda maana sheikh mwenyewe mtifua mitaro.
 
Yule aliyesema Mungu amshukuru Magufuli laana imeanza kumtafuna. Anajifanya mhubiri siku hizi lkn Kama tujuavyo dhambi ya kukufuru ukiwa na akili timamu Ni habari nyingine. Itamkula mpaka akawe na huyo aliyemsifia
ila tuseme tu ukweli jiwe alikuwa mshamba..au nasema uongo ndugu zangu?
 
.
 
Unaleta umbea. Haya mambo ameyasema zamani sana, kabla ya Ramadhani,na sasa labda ameshayasahau.
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sent from my TECNO P703 using JamiiForums mobile app
 
Angalizo! Kuweni na akiba ya Maneno! Muweke heshima kwa Ubwabwa wetu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…