Ki Mun
JF-Expert Member
- Oct 6, 2014
- 3,442
- 4,388
Hahaha, huyu ni shehe wa CCM MkuuMtumishi Wa mungu anamtisha mtu badala kumwombea abadilike jamani au ni Mtumishi Wa ccm
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaha, huyu ni shehe wa CCM MkuuMtumishi Wa mungu anamtisha mtu badala kumwombea abadilike jamani au ni Mtumishi Wa ccm
Wakubwa wenyewe wapuuzi sasa wanafanya mambo yasiyolingana na huo "Ukubwa" waoNafikiri Mange ajitahidi kuendesha harakati zake bila kutusi wakubwa, lazima ajiulize mwisho wa haya ni nini?
Anawazingua Waislam wenye itikadi za CUF. Binadamu mweye Roho ya kuvumilia ni Jakaya Kikwete pekeee ambae unaweza ukamsema akakaushaILA huyu mkuu wa dini ni CCM haswa. Tunamfahamu sana hata baadhi ya Waislamu huwa hawamkubali kabisa kwa kuegemea kwenye siasa za CCM.
Hichi kiburi cha uzima kina cost sana maana ni kwa Rehema za Muumbaji Ndio tuna ishi sisi na vizazi vyetu!Na tena siyo ugomvi binafsi wa Shehe na Mange eti!
Mtu huvuna anayo yapanda!Nafikiri Mange ajitahidi kuendesha harakati zake bila kutusi wakubwa, lazima ajiulize mwisho wa haya ni nini?
“WHERE WE DARE TO TALK OPENLY”Jamiiforums tafadhali jitengeni kabisa na huu upuuzi wa kina Mange na kuchafua viongozi wa dini na taasisi......si jambo jema na si lengo la mtandao huuu
Msichezee imani za watu, subirini muone. Kuna visomo kaka wewe au sijui dada wewe au ndio mange mwenyewe. Usicheze na Qur’an! Huyo Mange Sio kama atakufa ila ataacha kutukana Watu.
Yeah asante tatizo haya masimati foni matachi skrini, thanks anyway. Kiukweli kumtangazia mtu kuwa mwaka huu utakaa kimya ni kitisho kwa mtu yeyote ni as if wewe ndiye mwenye maamuzi na maisha ya huyo uliyemtakia. Sheikh alikosea alitakiwa ajinasibu kwanza yeye nwenyew b4 hajaenda kwenye press, Na yule dada nguvu yake ipo hukuhuku kwetu kwenye jamii yeye ni kioo tu, ndio maana anatoa evidence ya mambo ambayo hutegemei kayapatia wapi. Somtym hadi ndugu wanaweza wakatuma taarifa kwake ukahaibika.Sentence ya mwisho katika msg yako ..."she has nothing to lose" ... Hivi kweli MAISHA YAMEKOSA THAMANI KIASI HICHO? ... Are we not VALUABLE BEINGS/CREATURES before God the Almighty? ... Kwa nini maisha yetu yakose THAMANI kiasi hicho ... ?
By the way, a little correction to that grammatical error in your sentence above ... "Loose > Lose ...
Acha aanikwe kwani kuna la uongo paleee?!!tunamjua vzr alhadJamiiforums tafadhali jitengeni kabisa na huu upuuzi wa kina Mange na kuchafua viongozi wa dini na taasisi......si jambo jema na si lengo la mtandao huuu
Akili kubwa tumeelewa. Dini zipo lakini asilimia kubwa atuzielewi na viongozi wengi wa dini wanapata vyeo vya Dini kwa kutumia ushirikinakipusy
Mkuu,
Sina shida na imani za watu hazinisaidii hata senti moja kwenye maisha yangu.
Ila siyo busara hata kidogo kiongozi yeyote yule awe wa Serikali ama dini au koo na mila kuhangaika na kabinti kadogo kama Mange Kimambi.
Any way, akili kubwa wananielwa.
Ila kwa wale wa akili za kuambiwa wote hawatanielewa.
Visomo hvyo ndo asome yule chakla hana ikhlas yoyote?labda asome albadiriMsichezee imani za watu, subirini muone. Kuna visomo kaka wewe au sijui dada wewe au ndio mange mwenyewe. Usicheze na Qur’an! Huyo Mange Sio kama atakufa ila ataacha kutukana Watu.
Kwa hiyo wewe ni shuhuda wa yanayosema dhidi yake....?Acha aanikwe kwani kuna la uongo paleee?!!tunamjua vzr alhad