DAR: Sheikh wa Mkoa, Mussa Alhad atangaza mwisho wa Mange Kimambi kutukana, kushughulika na JamiiForums kisheria

DAR: Sheikh wa Mkoa, Mussa Alhad atangaza mwisho wa Mange Kimambi kutukana, kushughulika na JamiiForums kisheria

Huyu alikuwa anajuwa baba mkwe hawezi kumgusa
Ndomana alikuwa anatamba

Ova

Usipingane na Baraza La Ulamaa, wamemla kichwa mapema sana sasa wale masheikh sharif majini na mwaipopo waliokua wanamtukana sheikh kabeke wameishia wapi?
 
Usipingane na Baraza La Ulamaa, wamemla kichwa mapema sana sasa wale masheikh sharif majini na mwaipopo waliokua wanamtukana sheikh kabeke wameishia wapi?
Bado wanaongea halafu wanaitana chawa bila aibu
Hawa watu sijui nani aliwafundisha dini
Hawana staha wala heshima na maadili hawana
Dini inachezewa na wahuni
Kwa kuangalia maneno yao utaona kuna mvutano kama Chama cha kisiasa tu

Dini inataka watu wenye Hekima hata wanapozungumza wawe na staha bila jazba na matusi sasa hawa ni kama wachawi tu
 
Back
Top Bottom