technically
JF-Expert Member
- Jul 3, 2016
- 12,706
- 52,355
Tukifungwa lakini mpira ulionekana, ila leo tunafungwa na mpira tunachezewa.
Unayafahamu matokeo matatu ya mpira wa miguu?Tukifungwa lakini mpira ulionekana, ila leo tunafungwa na mpira tunachezewa.
Tatizo kuna mashabiki hampendi kwenda na uhalisia,mnapenda kuishi kwenye mazoea.Mnadhani hii ni Simba ileile?
Hii simba sio ile ya msimu uliyopita, benchi la ufundi lina kazi kubwa sana haswa kwenye backline na forward.
Nipo tayari kuitwa Utopolo ila ukweli nimeusema.
Sio mzembe,ule upande anacheza na Shabaan Djuma mtu mwenye uwezo mkubwa.Thsabalala anacheza kizembe sana utasema sio mchezaji mwandamizi
Full back zetu zote viwango vimedrop sio kama msimu uliopita. Wataimprove as game league goes on. Pengo la chama ni kubwa sanaThsabalala anacheza kizembe sana utasema sio mchezaji mwandamizi
Mugalu anaonekana kwenye faulo tu
I agree with you.Japokuwa Yanga anaongoza ila hii game bado kabisa coz upande wa kushoto wa Yanga hauna mtu sahihi na ndio goal litatokea huko
Naomba [emoji39]
Nilishadownload nikaona inanidai kadi no nikaachana nayo 7bu sina azam
Tutolee upimbi leo ndio unajua kuna matokeo matatu.Unayafahamu matokeo matatu ya mpira wa miguu?
Just relax, this is just football.
Hili lilionekana mapema kabisa tangia kwenye pre-season, team ilidraw karibia mechi zote na hizo draw zenyewe zilikuwa ni za magumashi ila tulipoongea humu tulionekana ni utopolo.
Pengo la Chama na Miquisone linaonekana wazi kabisa, hakuna watu wakuanzisha mashbulizi kama zamani Bwalya anaetegemewa ndo huyo kafichwa na Bangala.
Club bingwa msimu huu tushukuru kwakua hatukuanzia hatua za mwanzo kabisa.
Hii mechi hata kama tutashinda inatakiwa iwe wake-up call kwa benchi la Simba Sc, tunakoelekea ni kubaya.
Msimu uliopita hata kama tukifungwa,mpira tunakuwa tumeupiga haswaa, ila saivi hakuna ball kabisa.
Hakuna Mchezaji hapo, Utopolo wamepigwa vibayaAuchoππ»ππ»ππ»
ππππWawa aondoke tu baada ya huu msimu
Hujui mpiraHakuna Mchezaji hapo, Utopolo wamepigwa vibaya
Hizi ni dalili za mimba Dada.Hakuna Mchezaji hapo, Utopolo wamepigwa vibaya
Nimekuwa na bahati mbaya sana ya kuitwa utopolo na wewe Kila ninapoyasema madhaifu ya Simba Sc.Utopolo naona unahoroja tu hapa