Dar: Simba 0 - 1 Yanga, Ngao ya hisani | Benjamin Mkapa

Dar: Simba 0 - 1 Yanga, Ngao ya hisani | Benjamin Mkapa

Wazee was kuingia na matokeo mfukoniπŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Kwan walipokuwepo hatukufungwa??

Sent from my Infinix X572 using JamiiForums mobile app
Tukifungwa lakini mpira ulionekana, ila leo tunafungwa na mpira tunachezewa.

Tatizo kuna mashabiki hampendi kwenda na uhalisia,mnapenda kuishi kwenye mazoea.Mnadhani hii ni Simba ileile?

Hii simba sio ile ya msimu uliyopita, benchi la ufundi lina kazi kubwa sana haswa kwenye backline na forward.


Nipo tayari kuitwa Utopolo ila ukweli nimeusema.
 
Japokuwa Yanga anaongoza ila hii game bado kabisa coz upande wa kushoto wa Yanga hauna mtu sahihi na ndio goal litatokea huko
 
Tukifungwa lakini mpira ulionekana, ila leo tunafungwa na mpira tunachezewa.

Tatizo kuna mashabiki hampendi kwenda na uhalisia,mnapenda kuishi kwenye mazoea.Mnadhani hii ni Simba ileile?

Hii simba sio ile ya msimu uliyopita, benchi la ufundi lina kazi kubwa sana haswa kwenye backline na forward.


Nipo tayari kuitwa Utopolo ila ukweli nimeusema.
Unayafahamu matokeo matatu ya mpira wa miguu?

Just relax, this is just football.
 
Hili lilionekana mapema kabisa tangia kwenye pre-season, team ilidraw karibia mechi zote na hizo draw zenyewe zilikuwa ni za magumashi ila tulipoongea humu tulionekana ni utopolo.

Pengo la Chama na Miquisone linaonekana wazi kabisa, hakuna watu wakuanzisha mashbulizi kama zamani Bwalya anaetegemewa ndo huyo kafichwa na Bangala.

Club bingwa msimu huu tushukuru kwakua hatukuanzia hatua za mwanzo kabisa.

Hii mechi hata kama tutashinda inatakiwa iwe wake-up call kwa benchi la Simba Sc, tunakoelekea ni kubaya.

Msimu uliopita hata kama tukifungwa,mpira tunakuwa tumeupiga haswaa, ila saivi hakuna ball kabisa.

Inaumiza sana sijui kwanini waliwauza na wameshindwa kupata mbadala.

Team inacheza vibaya, inaumiza sana basi tu.
 
Utopolo naona unahoroja tu hapa
Nimekuwa na bahati mbaya sana ya kuitwa utopolo na wewe Kila ninapoyasema madhaifu ya Simba Sc.

Nimekuvumilia sana ila leo siwezi, kwani kuwa Simba ni kutokusema udhaifu unaoineka? Kuna kibaya au uongo wowote niliousema juu ya Simba? Kama hauwezi kujadili mpira nakuomba sana uwe unapita mbali na comment zangu.
 
Back
Top Bottom