Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna timu hapoHuyu kocha nilimuona kwenye picha ile ya GSM wakipata lucn ya pamoja na benchi la ufundi la yanga
Hili lilionekana mapema kabisa tangia kwenye pre-season, team ilidraw karibia mechi zote na hizo draw zenyewe zilikuwa ni za magumashi ila tulipoongea humu tulionekana ni utopolo.Simba tuna kazi kubwa sana kuna kila dalili ya kutolewa mapema Klabu Bingwa Afrika, pengo la Miquisone na Chama linaonekana
Kushinda mtashinda na njaa sio kupindua mezaHili lilionekana mapema kabisa tangia kwenye pre-season, team ilidraw karibia mechi zote na hizo draw zenyewe zilikuwa ni za magumashi ila tulipoongea humu tulionekana ni utopolo.
Pengo la Chama na Miquisone linaonekana wazi kabisa, hakuna watu wakuanzisha mashbulizi kama zamani Bwalya anaetegemewa ndo huyo kafichwa na Bangala.
Club bingwa msimu huu tushukuru kwakua hatukuanzia hatua za mwanzo kabisa.
Hii mechi hata kama tutashinda inatakiwa iwe wake-up call kwa benchi la Simba Sc, tunakoelekea ni kubaya.
Msimu uliopita hata kama tukifungwa,mpira tunakuwa tumeupiga haswaa, ila saivi hakuna ball kabisa.
Barbra ndio nuksiShida Kocha wa Simba hafanyi mabadiliko mapema mpaka dakika za mwisho.Ushauri fukuza Kocha mapema kabisa ikishindika na tunanza na Barbra.
Nina hasira mpaka natamani kugeuka Hamza [emoji23][emoji23][emoji23]Waache tuwanyooshe[emoji23][emoji23][emoji23]
Kwan walipokuwepo hatukufungwa??Hili lilionekana mapema kabisa tangia kwenye pre-season, team ilidraw karibia mechi zote na hizo draw zenyewe zilikuwa ni za magumashi ila tulipoongea humu tulionekana ni utopolo.
Pengo la Chama na Miquisone linaonekana wazi kabisa, hakuna watu wakuanzisha mashbulizi kama zamani Bwalya anaetegemewa ndo huyo kafichwa na Bangala.
Club bingwa msimu huu tushukuru kwakua hatukuanzia hatua za mwanzo kabisa.
Hii mechi hata kama tutashinda inatakiwa iwe wake-up call kwa benchi la Simba Sc, tunakoelekea ni kubaya.
Msimu uliopita hata kama tukifungwa,mpira tunakuwa tumeupiga haswaa, ila saivi hakuna ball kabisa.
Si kweli mbona kuna faulo nyingi tu wamefanyiwa Yanga lakini kaziacha tuHuyu refa anai favor yanga
Simba damu MkuuSio mwana simba wewe
naona unahoroja tu hapaHili lilionekana mapema kabisa tangia kwenye pre-season, team ilidraw karibia mechi zote na hizo draw zenyewe zilikuwa ni za magumashi ila tulipoongea humu tulionekana ni utopolo.
Pengo la Chama na Miquisone linaonekana wazi kabisa, hakuna watu wakuanzisha mashbulizi kama zamani Bwalya anaetegemewa ndo huyo kafichwa na Bangala.
Club bingwa msimu huu tushukuru kwakua hatukuanzia hatua za mwanzo kabisa.
Hii mechi hata kama tutashinda inatakiwa iwe wake-up call kwa benchi la Simba Sc, tunakoelekea ni kubaya.
Msimu uliopita hata kama tukifungwa,mpira tunakuwa tumeupiga haswaa, ila saivi hakuna ball kabisa.
Itabidi Chama na Luis warudiHili lilionekana mapema kabisa tangia kwenye pre-season, team ilidraw karibia mechi zote na hizo draw zenyewe zilikuwa ni za magumashi ila tulipoongea humu tulionekana ni utopolo.
Pengo la Chama na Miquisone linaonekana wazi kabisa, hakuna watu wakuanzisha mashbulizi kama zamani Bwalya anaetegemewa ndo huyo kafichwa na Bangala.
Club bingwa msimu huu tushukuru kwakua hatukuanzia hatua za mwanzo kabisa.
Hii mechi hata kama tutashinda inatakiwa iwe wake-up call kwa benchi la Simba Sc, tunakoelekea ni kubaya.
Msimu uliopita hata kama tukifungwa,mpira tunakuwa tumeupiga haswaa, ila saivi hakuna ball kabisa.
Makeke hakuna kabisa, kipa wa yanga hayuko busySimba tuna kazi kubwa sana kuna kila dalili ya kutolewa mapema Klabu Bingwa Afrika, pengo la Miquisone na Chama linaonekana
install konde tv app gemu liko liveNifanyie wepesi mkuu.
Huyu ni mchezaji pekee wa Simba anahenifanya niingie na hofu pindi ashikapo mpiraSadio Kanoute huyu mwamba hata vitani unaenda nae