Dar: Simba 0 - 1 Yanga, Ngao ya hisani | Benjamin Mkapa

Dar: Simba 0 - 1 Yanga, Ngao ya hisani | Benjamin Mkapa

4DAE57FD-B433-4CBE-8292-3CF68AB17455.jpeg
 
Unayafahamu matokeo matatu ya mpira wa miguu?

Just relax, this is just football.
Sitaki kudeal na matokeo mkuu, huenda tukashinda lakini bado sijaridhishwa kabisa na huu uchezaji wa Simba Sc hasa backline na Forward zetu.
 
Nimekuwa na bahati mbaya sana ya kuitwa utopolo na wewe Kila ninapoyasema madhaifu ya Simba Sc.

Nimekuvumilia sana ila leo siwezi, kwani kuwa Simba ni kutokusema udhaifu unaoineka? Kuna kibaya au uongo wowote niliousema juu ya Simba? Kama hauwezi kujadili mpira nakuomba sana uwe unapita mbali na comment zangu.

Utopolo ni Mama yako mzazi, awe hai au ametangulia kuzimu.
Mkuu acha wasikuvurugie mood yako, wamepanic wasamehe bure tu.
 
Inaumiza sana sijui kwanini waliwauza na wameshindwa kupata mbadala.

Team inacheza vibaya, inaumiza sana basi tu.
Narudia tena, mbadala wa wachezaji tuliowauza bado haujapatikana.Ukitaka kuamini angalia Sub zetu hapo nje ni nani anaekupa matumaini ya ku-deliver tulichokuwa tunakipata kwa Chama na Miquisone?

Njooni mniueeeee.
 
Nimekuwa na bahati mbaya sana ya kuitwa utopolo na wewe Kila ninapoyasema madhaifu ya Simba Sc.

Nimekuvumilia sana ila leo siwezi, kwani kuwa Simba ni kutokusema udhaifu unaoineka? Kuna kibaya au uongo wowote niliousema juu ya Simba? Kama hauwezi kujadili mpira nakuomba sana uwe unapita mbali na comment zangu.

Utopolo ni Mama yako mzazi, awe hai au ametangulia kuzimu.

Msifike huko mwee
 
Inaumiza sana sijui kwanini waliwauza na wameshindwa kupata mbadala.

Team inacheza vibaya, inaumiza sana basi tu.
Kuna watu wanakera sana, Emb angalia anachokifanya Mugalu humo ndani, alafu ukisema Unaonekana utopolo.

Hivi tunafanikiwaje msimu huu kwa forward aina ya Mugalu?
Mkuu acha wasikuvurugie mood yako, wamepanic wasamehe bure tu.
 
Back
Top Bottom