zipompa
JF-Expert Member
- Aug 19, 2014
- 11,432
- 24,596
Basi usiitwe hivyo tena utaitwa koloYani kuna watu Wana maudhi Sana mkuu, Naitwa utopolo ilhali sijawahi kuwa hata na vinasaba vya Yanga😂😂.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Basi usiitwe hivyo tena utaitwa koloYani kuna watu Wana maudhi Sana mkuu, Naitwa utopolo ilhali sijawahi kuwa hata na vinasaba vya Yanga😂😂.
Kocha amtoe aingie matola
Yaan raha kinyama,simba kageuka nyauPira Biriani limehamia jangwani
Yaan raha kinyama,simba kageuka nyau
Wamjaribu kagere mzee wa power bankCaptain Bocco game imemkataa
Umri braza...Captain Bocco game imemkataa
Wamjaribu kagere mzee wa power bank
Taarifa ni kwamba kocha huwa anamwamkia boccoUmri braza...
Sawa tu,ipo siku yenu na nyinyi.Hata wao wanapenda iwe hivyo ila uwezo mdogo acha mfe nyau nyie
Daah acha tuSidhani Kagere angecheza vibaya vile kama Bocco na Mugalu leo
Ka konyagi leo kabaki lalamika tuKwa mara ya pili mabadiliko ya kocha hayaisaidii Simba. Aliyepaswa kubadilishwa mapema kabisa ni Kapombe