NAJYUZ
JF-Expert Member
- May 10, 2021
- 1,981
- 3,475
Wakati tunawaambia mlikua mnaona sisi ni wajinga.Yes dear jinsi simba ilivocheza na tp mazembe ndio hivo hivo imecheza Leo, bado hatuna washambuliaji wa kuleta impact mugalu hovyo kabisa aisee, team inahitaji kujifua kwelikweli
Haya ndo matokeo yake sasa.