Dar: Simba 0 - 1 Yanga, Ngao ya hisani | Benjamin Mkapa

Dar: Simba 0 - 1 Yanga, Ngao ya hisani | Benjamin Mkapa

Ameingiza pesa, umeambiwa kuna pesa imechotwa? au ile team unataka ijiendeshaje kama haiingizi hela ?....
Beki ni ile ile ...
Forwad ni ile ile.....
Wameondoka winga mmoja na kiungo mmoja. Unasema hauna team ya ushindani, aseee.
Wewe umeweka hadi avatar ya Onyango utaelewa ninacho kisema?

Endeleeni tu kujifariji,sisi wajanja tulishauona udhaifu wa Simba Sc msimu tangu pre-season.

Ninachokiamini ni kwamba, ipo siku wote tutaongea kitu kimoja, ni swala la muda tu.
 
Ameingiza pesa, umeambiwa kuna pesa imechotwa? au ile team unataka ijiendeshaje kama haiingizi hela ?....
Beki ni ile ile ...
Forwad ni ile ile.....
Wameondoka winga mmoja na kiungo mmoja. Unasema hauna team ya ushindani, aseee.
Hebu kuwa na aibu, unatetea vitu vya ajabu sana.Simba leo imecheza mpira wa hovyo mno.Msimu huu tutapata tabu sana kwenye ligi ya TPL na CAFCL. Timu haina kiungo mchezeshaji wa maana.
 
2 games hatujafunga goli hata moja[emoji35][emoji35][emoji35][emoji35][emoji35][emoji35][emoji35][emoji35][emoji35][emoji35][emoji35][emoji35][emoji35][emoji35][emoji35][emoji35][emoji35][emoji35][emoji35][emoji35]
Ntakuwa mmefunga kutofunga mkuu
 
2 games hatujafunga goli hata moja[emoji35][emoji35][emoji35][emoji35][emoji35][emoji35][emoji35][emoji35][emoji35][emoji35][emoji35][emoji35][emoji35][emoji35][emoji35][emoji35][emoji35][emoji35][emoji35][emoji35]
Kwa kiungo na forward gani tulizonazo?


Tatizo watu mlijiaminisha kwa mtazamo wa Simba ile ya msimu uliopita, Hii ni Simba Sc nyingine kabisa.
 
Back
Top Bottom