Its Pancho
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 15,966
- 26,404
Kwahiyo tufanyeje waliingia kufagia?Bocco in dilunga out
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwahiyo tufanyeje waliingia kufagia?Bocco in dilunga out
Simba 2 tofauti kabisa, yaani kipindi Cha pili hata kupiga pasi ilikuwa issue, Wawa Kila akipata anabutua mbele tu. Chama alikuwa anaamua Simba icheze vipi na alikuwa anatengenezaa minafasi kama yote watu wafunge tu.Kwa kiungo na forward gani tulizonazo?
Tatizo watu mlijiaminisha kwa mtazamo wa Simba ile ya msimu uliopita, Hii ni Simba Sc nyingine kabisa.
Moja ya sub mbovu kabisaBocco in dilunga out
si tulikubaliana nyie ni wa kimataifa?Moja ya sub mbovu kabisa
🤣🤣🤣Kabisaaa ila raha sana kumtandika simba vina mdomo domo sana
Hatulambi kitu kwa kweli, huwezi kuuza key players wawili ukabaki salama. Leo tumepigiwa pira biliani na utopolo.Na bado! Hamlambi kitu msimu huu😂😂
Kwani uwongo?si tulikubaliana nyie ni wa kimataifa?
Si tulikubaliana kounate na banda ni watu na nusu.. ?Hatulambi kitu kwa kweli, huwezi kuuza key players wawili ukabaki salama. Leo tumepigiwa pira biliani na utopolo.
Barbra na Mo wako busy kulamba mikataba minono badala ya kusajiri wachezaji wa maana.
Wakianzaga porojo zao huwa tunawaangalia tu.Kabisaaa ila raha sana kumtandika simba vina mdomo domo sana
Eti wajanja.Wewe umeweka hadi avatar ya Onyango utaelewa ninacho kisema?
Endeleeni tu kujifariji,sisi wajanja tulishauona udhaifu wa Simba Sc msimu tangu pre-season.
Ninachokiamini ni kwamba, ipo siku wote tutaongea kitu kimoja, ni swala la muda tu.
Kama sisi tuliotolewa ndio tumewanyandua hivi je huko mtamuweza nani?Kwani uwongo?
Pamoja na kwamba tumecheza vibaya Simba tupo champions league ndugu na nyie mmetolewa kabla mashindano hayajaanza[emoji847]
.
kwahiyo hutaki kolo mwenzio si anakwambia?Eti wajanja.
Unaongea vitu havipo,umejawa na lawama bila sababu za msingi.
Eti backline msimu huu ni mbovu . ( Na hakuna aliyeondoka kwenye beki).
Forwad ( Hakuna forwad hata mmoja aliyeondoka)
walidhani ni simba Day marioo atakuwepoYaani leo Simba mlikua mnaruka ruka tu uwanjani. Sijawaelewa kabisa yaani
Hata mwaka Jana mlitufunga na prison, na ruvu shooting walitufunga lakini tulifika robo fainali, Tena tuliongoza kundi alilokuwepo ahly na as vita. Unalingine?Kama sisi tuliotolewa ndio tumewanyandua hivi je huko mtamuweza nani?
Added minutes 4