Msafirishaji
JF-Expert Member
- May 28, 2016
- 1,693
- 2,641
Huyo zaidi ya mahaba Hana analolijua Nkana wenyewe hawajalalamika kuhusu mwamuzi na interview zao zoteKasome sheria namba 15 ya fifa ambayo inahusu urushaji wa mpira, halafu uje tena kubwatuka...
mkuu mimi sihitaji kusoma, wewe kasome utakuta wanasema kushindwa kurusha mpira miguu miwili ikiwa chini, kwa mikono miwili tokea nyuma, kugusa ndani ya uwanja. hakuna sehemu wamesema kurushia sehemu isiyo sahihi basi haki inyang'anywe.Kasome sheria namba 15 ya fifa ambayo inahusu urushaji wa mpira, halafu uje tena kubwatuka...
ivi zile kadi za njano mwishoni zilitolewa kwa sababu gani?Huyo zaidi ya mahaba Hana analolijua Nkana wenyewe hawajalalamika kuhusu mwamuzi na interview zao zote
Huyu anajifanya ana uchungu na team Kama ndio kessy mwenyewe
Kutohitaji kwako kusoma ndio kunakufanya uzidi kuwa zwazwa!mkuu mimi sihitaji kusoma, wewe kasome utakuta wanasema kushindwa kurusha mpira miguu miwili ikiwa chini, kwa mikono miwili tokea nyuma, kugusa ndani ya uwanja. hakuna sehemu wamesema kurushia sehemu isiyo sahihi basi haki inyang'anywe.
pia sheria inasema kuna baadhi ya sheria hutoa nafasi ya 2 kwa mrushaji
hapa ungezungumza sheria za caf sio fifa
Miaka mitatu Yanga ilikuwa bingwa wa Tz mfulilizo hujui ilicheza lini?Yanga ulicheza makundi mwaka gani
Uliwahi kuona wapi referee anafokewa Kama mtoto?ivi zile kadi za njano mwishoni zilitolewa kwa sababu gani?
Mmmh. Uwezo gani wakati dkk za mwisho washambuliaji wa Nkana walipenya ngome yenu watakavyo. Bahati ile bana.
kwa nini alifokewa mkuu, mbona wakimbilia kwenye matokeo unakwepa mchakato (process).Uliwahi kuona wapi referee anafokewa Kama mtoto?
Mmezoea kupiga MA referee vichwa Kama tupo uwanja WA tandika mabatini
mkuu naomba sheria za caf plzzKutohitaji kwako kusoma ndio kunakufanya uzidi kuwa zwazwa!
Wewe huna lolote unalolijua zaidi ya kukariri tu hiyo mistari mitatu minne!
Tafsiri ya hiyo sentensi ya mwisho kwenye hiyo sheria unaielewa?
...View attachment 975929
Sheria za CAF sio zile zile sheria 17 za mpira wa miguu?. Au Una maana kanuni za mashindano?mkuu naomba sheria za caf plzz
Kwahiyo mwamuzi akifanya Kosa ndio ukamfokee mwamuzi Kuna namna ya kuongea nae Kuna captain kazi yake ni nini wewekwa nini alifokewa mkuu, mbona wakimbilia kwenye matokeo unakwepa mchakato (process).
kufokewa kwake kunatokana na upendeleo wa wazi alio onesha, hana tofauti na mac dean akiwa anachezesha mechi ya totern
Mpira wa miguu duniani unasimamiwa na sheria za fifa, hizo za caf ungezileta wewe ili hoja yako iwe na mashiko!...mkuu naomba sheria za caf plzz
iweke namna utakavyo poa naomba kanuni za caf kuhusu urushaji wa mpira.Sheria za CAF sio zile zile sheria 17 za mpira wa miguu?. Au Una maana kanuni za mashindano?
Sheria za mpira 17 ni kwa dunia nzima.
hakuna asiye jua ilo, ila fifa wameacha nafasi kwa vyama kuweka kanuni pia za uendeshajiMpira wa miguu duniani unasimamiwa na sheria za fifa, hizo za caf ungezileta wewe ili hoja yako iwe na mashiko!...
Hata kama ulicheza itakuwa ni miaka ya 70 hukoπππππWanachanganya makundi ya champions ligi na makundi ya shirikisho.