Dar: Simba yafuzu hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika. Simba SC 3-1 Nkana FC

Wanateseka mpaka sauti hazitoki kuandika kumekuwa kugumu.Nkana mmewasononesha sana vyura. Mliwapa ahadi ya kuishi kwa matumaini mmewaachia kilio. Sasa wanateseka kuliko nyie mtakaoshiriki kombe la shirikisho.
Matumaini kweli neno baya kama uliyekuwa una matumaini naye kapigizwa kwa Mchina.
Inabidi ukubali kuteseka.
 
mkuu unazungumza nini nenda youtube kaangalie faulo ngapi za namna iyo (kuanza bila ya ruhusa ya refa zimkataliwa) ilo ni tatizo la refa eidha makusudi (mahaba niue) ama kwa ushawishi wa rushwa

ai tatizo la timu pinzani kama unavyo hamisha goli
Angalia mechi iliopita na hata hii. Nkana kwenye kurusha mipira, wachezaj wa simba wanakuwa hawajajipanga na wao nakuwa washarusha
 
Mtani mbona una roho mbaya ilo ndo kundi japesi
 
Hahaha we jamaa kukomoana huku sasa!!.
 
Zipompa nasi yanga leo tunamchapa tukuyu stars.... Tuungane ushindi wa mnyama usitukoseshe raha.

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…