Dar: Simba yafuzu hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika. Simba SC 3-1 Nkana FC

Dar: Simba yafuzu hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika. Simba SC 3-1 Nkana FC

Ligi ya Mabingwa Afrika uwanja wa Taifa

Simba SC 0-0 Nkana FC
 
ADUI MWOMBEE NJAA, sitaki unafiki niliwahi kuiombea heri SIMBA Kwa moyo wangu wote Mechi yake na ATLETICO SPORTS AVIACAO ya Angola mwaka 1993 Ile ya Kina Kanka wemba, Yanda, Abilio, Amanali, Bravo(c), libenge nk LEO NIKO NA NDUGU ZANGU TUNAOUNGANISHWA NA TAZARA.
Aaaa, mkuu umenikumbusha mbali sana. Lili Simba la wakati ule mtu ulikua unaenda uwanjani na uhakika

Hapo umenikumbusha kina Arlindo na yule winga mwenye matege na chenga za maudhi sijui ndio Libenge? Lakini Kanka Wemba ambaye ilikua ni mwiko kwenda kulokota mpira kunyavu akajikuta mwenyewe anasalimu amri kwa bao tatu kwa moja kutoka kwa marehemu Edward Chumila na Malota Soma

Mechi ya fainali wale Stella Artois walikua wetu lakini wadosi wakatuhanithi wakauza mechi ile bana, dah!
 
Back
Top Bottom