Baba Swalehe
JF-Expert Member
- Jun 6, 2017
- 20,178
- 39,641
Goli la chama , ndo ambalo madem weng wanalipenda siku hizi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaha hongereni sana mikia. Mtakutana na nani baada ya hapa?HAYA UMENIAMINI SASA?
PIGA KELELELEEEEEEEE
[emoji23] [emoji23] [emoji23]final score aggregate itasoma 4-3
hapo tutatoka na 3-1
limebaki gori 1 la kpnd cha 2
Yaani Wewe!!teh teh teh kwani nimekuuliza swali?
au kuna damushin mwengine?
Huoni au?Jmn ngapi huko?
Hanuni mtu hapa ila ndo hivyo tena.Chura churani wamenuuuuuuna ..hahaaaa mtanuna Sana mwaka huu!
Hahahahah limekushuka hahahahahahaHanuni mtu hapa ila ndo hivyo tena.
Hongereni mikia fc