Dar: Simba yafuzu hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika. Simba SC 3-1 Nkana FC

Dar: Simba yafuzu hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika. Simba SC 3-1 Nkana FC

Mwaka huu mtaomba sana.
Kwanza mliomba
Mbabane-out
Nkana-out
Kwanini usiombe mtokane na ukata na ujinga uliokithiri.
Jana kuna kiongozi wa matawi kutoka Zanzibar "amewalaani "wenye kupinga uchaguzi wenu.
Wewe uko kundi lipi?Isije ikawa upo kwenye kundi "lililolaaniwa"?
Mna matatizo kila kukicha lakini mpo obsessed na Simba.
Kama sio laana sijui ni nini?

Dah umeandika kwa uchungu kana kwamba huwa mnatuombea mema.
 
Bado unaamini dkk zinazocheleweshwa kwa namna ile ya kukosea kurusha au kipa kujiangusha na kulala na mpira (pasipo kuumizwa) zinafidiwa na refa? Basi kumbe tatizo ulilo nalo ni kubwa kuliko nlivyodhania.

wewe unaye jua mpira nambie dakika zinazo fidiwa ni zipi?

kama nkana walikubali kwa nini walimzonga refa (au kumzonga ndo tafsiri ya kukubali)

ulitaka wafanye nini zaidi ya kumlalamikia refa ujue hawajaridhika na maamuzi (zile kadi zilikuwa za kosa gani)
 
Nkana wamehojiwa baada ya mechi (sema tu ni vile wametumia english perhaps thats the reason you couldnt understand) hata kessy leo amehojiwa na EFM amesema simba wametengeneza nafasi wakazitumia wao walifanya makosa yakawagharimu.

Hakutaja habari za refa hata kidogo.sasa inashangaza wewe unayelalamika na refa unachezea team gan au unafundisha team gan.maana kama kessy kasema wanarud zambia kujipanga kombe la nafasi maalum.shirikisho. wamekubali wamepoteza...wewe yanga unatoa povu refa....refa... Siku nyingine basi mwambieni akili mali akachezeshe.

Bao tatu simba imeshinda hazina shida kabisa....si za kuotea si za nini. Yanga wanaumia sana. Na hakuna goli ambalo yanga linawatesa kama la chama.kwanini mnateseka ?
wewe unaye jua mpira nambie dakika zinazo fidiwa ni zipi?

kama nkana walikubali kwa nini walimzonga refa (au kumzonga ndo tafsiri ya kukubali)

ulitaka wafanye nini zaidi ya kumlalamikia refa ujue hawajaridhika na maamuzi (zile kadi zilikuwa za kosa gani)
 
We jamaa mbona una kosa akili hivi kwanini lakini?

1998 CAF Champions League group stage - Wikipedia
Mkuu ungeficha tu aibu ya kuwa timu ya kwanza na ya pekee kutoka Tanzania kufungwa goli 6 na Raja Casablanca ya Morocco. Katika mashindano ya klabu bingwa CAF hakuna klabu nyingine kutoka Tanzania iliyowahi kuvunja hiyo rekodi yenu ya kufungwa 6.
Unakuita huko kushiriki mlikuwa punching bags.
Mlikuwa wa mwisho kwa pointi 2 ya droo mbili hata kushinda mechi 1 iliwashinda?Au mechi za nyumbani mlichezea Burundi?
 
Bado unaamini dkk zinazocheleweshwa kwa namna ile ya kukosea kurusha au kipa kujiangusha na kulala na mpira (pasipo kuumizwa) zinafidiwa na refa? Basi kumbe tatizo ulilo nalo ni kubwa kuliko nlivyodhania.
ataziongeza vp ikiwa alisha weka mbeleko yake ana alichokitaka kishapatikana

unataka kunambia ile faulo iliyo anzishwa bila ya filimbi ilikuwa ni sahihi
 
Oohh, kumbe mmewahi 1969 na 1970. That was it!

One thing about me huwa sisemi kitu fulani hakijawahi kufanyika bila kufanya utafiti. Kwasababu huwa najisikia fedheha sana kupotosha watu na inanishushia hadhi brain yangu.

Sasa niambie umejisikiaje uliponiita Mbumbumbu (ambalo kimsingi mna hati miliki ya hilo jina) halafu unakuja gundua ni kweli mwaka 1998 Yanga ilitinga hatua ya makundi ya klabu bingwa?! Sasa umeamini sisemi kitu kwa kubahatisha? Nikikuita Mbumbumbu maana yake nimefanya utafiti wa kutosha na umestahili hilo jina.
 
Kabisa hata ulaya zipo... Mbona nyingi tu hutokea? Na unajua chama ni mchezaji wa kimataifa?

ataziongeza vp ikiwa alisha weka mbeleko yake ana alichokitaka kishapatikana

unataka kunambia ile faulo iliyo anzishwa bila ya filimbi ilikuwa ni sahihi
 
zipompa wewe huichukii simba kama mimi ninavyoichukia. Lakini kwa jana tuseme tu ukweli mtani wetu alicheza na chama ni bonge la mchezaji. Hakukuwa na kosa lolote la mwamuzi. Tujipange tu na sisi yanga tuacheni ushabiki maandazi na kujidhalilisha. Simba mpira wa uwanjani ni wazuri sana.

Nmekusoma sana na yule demu sheedaye acheni mtatufanya yanga wote tuonekane vilaza.sikutaka simba washinde lakini jamaa wameshinda tena bila kokoro.chama kuna siku tutamsajili yanga.ni bonge la player

ataziongeza vp ikiwa alisha weka mbeleko yake ana alichokitaka kishapatikana

unataka kunambia ile faulo iliyo anzishwa bila ya filimbi ilikuwa ni sahihi
 
*Baada ya timu za Vipers ya Uganda, Gor Mahia ya Kenya, JKU ya Zanzibar, APR ya Rwanda na Le Messager ya Burundi KUTUPWA nje, SIMBA SC ya Tanganyika sasa itaiwakilisha JUMUIYA YA AFRIKA MASHARIKI katika hatua ya makundi CAF Champions League,*

Hii ni siri usiwaambie watu.

ataziongeza vp ikiwa alisha weka mbeleko yake ana alichokitaka kishapatikana

unataka kunambia ile faulo iliyo anzishwa bila ya filimbi ilikuwa ni sahihi
 
zipompa wewe huichukii simba kama mimi ninavyoichukia. Lakini kwa jana tuseme tu ukweli mtani wetu alicheza na chama ni bonge la mchezaji. Hakukuwa na kosa lolote la mwamuzi. Tujipange tu na sisi yanga tuacheni ushabiki maandazi na kujidhalilisha. Simba mpira wa uwanjani ni wazuri sana.

Nmekusoma sana na yule demu sheedaye acheni mtatufanya yanga wote tuonekane vilaza.sikutaka simba washinde lakini jamaa wameshinda tena bila kokoro.chama kuna siku tutamsajili yanga.ni bonge la player

ko nkana walilalamika wasicho kijua, zile kadi zilikua za nini?,

kwamba ni ruhusa mpira kuanzishwa kabla watu hawajajipanga wala kupigwa kwa filimbi ya ruhusa.

ficha ujinga wako wewe ni kilaza
 
One thing about me huwa sisemi kitu fulani hakijawahi kufanyika bila kufanya utafiti. Kwasababu huwa najisikia fedheha sana kupotosha watu na inanishushia hadhi brain yangu.

Sasa niambie umejisikiaje uliponiita Mbumbumbu (ambalo kimsingi mna hati miliki ya hilo jina) halafu unakuja gundua ni kweli mwaka 1998 Yanga ilitinga hatua ya makundi ya klabu bingwa?! Sasa umeamini sisemi kitu kwa kubahatisha? Nikikuita Mbumbumbu maana yake nimefanya utafiti wa kutosha na umestahili hilo jina.
Jana MNYAMA kashinda. Tusitoane kwenye reli. Tuko karne ya 21 wewe uko bize na records za karne ya ishirini.
 
  • Thanks
Reactions: Tui
We yanga mwenzangu lakini naona umeumia sana...😂😂😂 Kuliko hata nkana wenyewe. What could be a reason mwanayanga mwenzangu? Hili povu lote la nini?

Nyie ndo mnasababisha ionekane yanga tunateseka? BAO LA CHAMA NI BONGE LA BAO.... Mwanayanga mwezangu.

ko nkana walilalamika wasicho kijua, zile kadi zilikua za nini?,

kwamba ni ruhusa mpira kuanzishwa kabla watu hawajajipanga wala kupigwa kwa filimbi ya ruhusa.

ficha ujingea wako wewe ni kilaza
 
zipompa wewe huichukii simba kama mimi ninavyoichukia. Lakini kwa jana tuseme tu ukweli mtani wetu alicheza na chama ni bonge la mchezaji. Hakukuwa na kosa lolote la mwamuzi. Tujipange tu na sisi yanga tuacheni ushabiki maandazi na kujidhalilisha. Simba mpira wa uwanjani ni wazuri sana.

Nmekusoma sana na yule demu sheedaye acheni mtatufanya yanga wote tuonekane vilaza.sikutaka simba washinde lakini jamaa wameshinda tena bila kokoro.chama kuna siku tutamsajili yanga.ni bonge la player
Mkuu heshima kwako kwa kusema ukweli ingawa mchungu.
Kweli wewe sio shabiki maandazi kama hao wengine.
Ukweli humuacha mtu huru.Kudos mtani wangu.Heshima tele kwako.
 
Zipompa pompa...eeeh zipompele pampa pampaah...

Zipompa pompa..... Eeehhh
Zamani sana ilikuwa...😂😂😂
Kiukweli simba wametutoa kimaso maso jumuiya ya afrika mashariki. Maana tungekosa mwakilishi. Mpira waliocheza jana ulikuwa ni mpira wa kufa na kupona na matunda tumeyaona.sasa nyie nkana endeleeni KUTESEKA.

we wajua stori za mtanange tu

hujui hata dk zinazofidiwa ni zipi

peter weweru kakuma aliwaokoa jana
 
ko nkana walilalamika wasicho kijua, zile kadi zilikua za nini?,

kwamba ni ruhusa mpira kuanzishwa kabla watu hawajajipanga wala kupigwa kwa filimbi ya ruhusa.

ficha ujinga wako wewe ni kilaza
We jamaa kiazi sana. Timu iliyochezewa faulo inapewa advantage ya kuanza quick free kick au kawaida. Slow thinking Nkana na quick thinking ya Simba isiwe mchawi. Tatizo lako ni exposure!
 
  • Thanks
Reactions: Tui
Mi msomi kaka sina roho mbaya ya kwa nini kama wenzangu. Mi naufahamu mpira toka miaka ya 70. Hawa watoto hawaujui mpira ndo maana wanateseka.😂😂😂😂

Mkuu heshima kwako kwa kusema ukweli ingawa mchungu.
Kweli wewe sio shabiki maandazi kama hao wengine.
Ukweli humuacha mtu huru.Kudos mtani wangu.Heshima tele kwako.
 
Mkuu umemaliza ubishi. Kuangalia mpira kwenye vibanda umiza kuna athari zake.
 
Nenda youtube ka search quick free kick goal. Itakuonesha. Utagundua unabisha kitu usichokifahamu. Wanafunga ulaya mpira ulikoanzia na sheria itakuwa hapa bongo?

Pole ndo mpira huo.pia utagundua kuwa hukujipanga kulichukia goal la chama


ataziongeza vp ikiwa alisha weka mbeleko yake ana alichokitaka kishapatikana

unataka kunambia ile faulo iliyo anzishwa bila ya filimbi ilikuwa ni sahihi
 
We jamaa kiazi sana. Timu iliyochezewa faulo inapewa advantage ya kuanza quick free kick au kawaida. Slow thinking Nkana na quick thinking ya Simba isiwe mchawi. Tatizo lako ni exposure!
nilijua unakuja kujibu hoja kumbe unaokota ujinga mtandaoni kuja kusapoti mbeleko

Shida si haraka wala polepole katika upigahi/uanzishaji wa faulo shida ni haki/halali

tizama upya video zako magoli yote yamelalamikiwa (wajua kwa nini) kwamba timu zote ziko slow

ficha mahaba yako
 
Back
Top Bottom