Dar: Soko la Mbagala laungua moto

Dar: Soko la Mbagala laungua moto

Kigogo kasema Pambalu na timu yake hao chadema ndo wanachoma. Nenda Twitter.
Huyo kigogo aliwahi kugombea urais akafika hatua ya mtu Tano! Aliwahi kuwa waziri ofisi ya boss wake wa Sasa. Akishirikiana na walowahi kugombea nafasi Ile na Bado wanaitamani Wana mpango wa muda mrefu na mfupi wa kunyong'onyeza aliyepo Kwa kufungulia matukio ya hapa na pale ili Madame skate tamaa na kuiona nafasi Ile ni ngumu!
Walianza na ugaidi uchwara, ikafuata filamu ya kuchoma masokona mashule, na machinga kuvurushwa, ikaja ya mauaji ya jumla na rejareja na Sasa wamerudi kwenye moto kwenye masoko!
Lengo la mapichapicha haya ni kumvuruga Madame na kuhamisha kifikra hasa pale anapotaka kuwafukuza kazi! Wanajulikana wenye kazi hii na wamekalia ofisi nyeti za umma!
Nimpe ushauri wa Bure bi mkubwa kuwa, kikulacho ki maungoni mwako! Kaa mbali ni mkulugwa anayewalazimisha watu wahamie Burundi na huyo mtoto wa mzee wa ubatizo wa moto! Wanakuchezesha kistela wowowo bila wewe kung'amua! Ccm acheni kuwatia wananchi umaskini Kwa kuwachomea bidhaa zao, msiwasingizie cdm!
 
nashauri uchunguzi uwe unaanzia na wafuasi wa Gaidi Mboe.
wafuasi wake ni watu waovu na wahalifu.
kamateni hawa wahuni, mkiwabana mbavu lazima watatajana tu.
haya ndio mambo aliyo kuwa anawafundisha mwenyekiti wao.
Kwanini uchunguzi huo usianzie ccm na pale hazina Kwa madelu!
 
Ila huwa yanaungua jumamosi kuamkia jpili tuu
HiI siku kuwe na ulinzi wa kutosha kwenye masoko yetu tunarudishana nyuma sana kwenye maisha
 
Jmn dagaa tutapata wapi wakazi wa mbagala,kuku wale sipati picha na ule Moto walivyoteketea,Mungu mwenyezi tujibu katika ili.
 
Ifike mahala waTz waache kudanganywa na kuamini kila jambo.

[emoji117]Wapo wapuuzi wachache watakao sema na kusingizia kuwa kuna kundi fulani la wahuni wa sukuma gang/chadema team gaidi wanaohusika kuchoma moto masoko ili kumuharibia Rais samia CV yake.

Sas unabaki kushangaa na kujiuliza huyo rais ana Ushawishi gani kwa jamii mpka atake kuchafulika? Kama kupendwa ndio hivyo tena ushahidi mnao kuwa hana chembe zozote za mahaba ya kupendwa na waTz wengi kama marais waliopita, sas how come muwasingizie wengine kuwa wanamchafua? Kwa mema gani aliyofanya adi achafuliwe?, Hivi ukiwa mchafu unaweza kuchafuka?[emoji23][emoji23].

[emoji117]Kuna hawa hawa wahuni wengine wanasingizia hitirafu za umeme na uzembe wa baadhi ya watu kusababisha milipuko na moto, huu ni uongo mwingine usiovumilika, why izo hirirafu masokoni tu? Why ziwe usiku tuu mida ambayo hakuna shughuri wala wasababishaji wa huo moto ktk harakati za kutumia vifaa vya umeme?, Why kila matukio ni jmos kuamkia jpili?.

Majibu yote yapo kwa serikali yenu dharimu.

Mlimchukia yule bwana mwendazake ila kuna mambo aliwasave sana masikini, hakupenda upuuzi kama huu utendeke kwa raia wasio kuwa na mategemeo yoyote maishani mwao.

Uselessness this gvnt
 
Hapana hapa pana mkono mrefu, kwani tume ya kariakoo na ile ya karume wameishatoa mrejesho[emoji41]
Tume kibao tu kimya kimya bado ya mayai ya police ....muda ni mwalim bora kabisa
 
Back
Top Bottom