Chukwu emeka
JF-Expert Member
- Jan 12, 2018
- 24,314
- 38,919
Nadhani kamati zinazoundwa wanazingua tu,Makala baada ya lile la Karume alisema ni teja......saizi sijui atakuja na hoja gani tena
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kinachofuata Emeka kuwa wanakamati, kwani tinasema mchawi mpe mwanao akulelelee.Nadhani kamati zinazoundwa wanazingua tu,Makala baada ya lile la Karume alisema ni teja......saizi sijui atakuja na hoja gani tena
Mara mia basi uwaambie wapishe mfanye huo unaouita ujenzi kuliko kuwaunguzia watu mali zao,Acha wayajenge vizuri mkuu
Na mengineyo hapo
Ova
Basi chinga nao wasiwe wakuchungwa kama mbuzi, pengine hayo Yana gharama , pengine gharama ya hama ya lazima ni nafuu kuliko hama ya hiari🏃.Mara mia basi uwaambie wapishe mfanye huo unaouita ujenzi kuliko kuwaunguzia watu mali zao,
ATI zamu ya wanyonge kuishi Ka mashwetani😂😂😂😂🤣Awamu hii ya sita ni zamu ya wanyonge kuishi kama mashetani
Wakunbuke wao ndio waliotamani matajiri waishi kama shetani⛹️.ATI zamu ya wanyonge kuishi Ka mashwetani😂😂😂😂🤣
Agenda gani🤔.Agenda Setting
Au ya kesi michongo tinaisuburi, kesho sii mbali🤔Agenda gani🤔.
Karma is a B...aisee😂😂🤣🤣Wakunbuke wao ndio waliotamani matajiri waishi kama shetani⛹️.
Nyie ndio mliochomaMbagala hakuna soko ule ni uchafu ni kiangazi lakini muda wote soko linanuka matope kila sehemu'ikifika masika ndio balaa.halafu wanajiunganishia umeme kiholela sana utakuta waya unaelea kwenye maji wala habari hawana.
Halmashauri sijui zinafanya kazi gani
Kigogo ni Nani?Kigogo kasema Pambalu na timu yake hao chadema ndo wanachoma. Nenda Twitter.
Mana ukienda kwnye soko la karume ssa hiv njia za kupita wa2 na mizigo zimekuwa kubw na mm ndo nilicho kiona kipya
Hapo umenena vyema, wakati wa jioni huwa wanaunganisha nyaya ili wapate mwanga na ni vema wangekuwa wanatumia taa zenye mionzi ya jua (solar lamps)Pita maeneo ya masoko holela jioni kigiza ndio kimeanza , utagundua Kila machinga ni fundi wa umeme, taa zinaungwa Ili mradi mwanga haijalishi, tahadhari yoyote wala usalama Nini ni, halafu tunalia ajira hakuna, wakati ntu yeyote anaweza kufanya kazi yoyote, hivyo nategemea hata pale moto unapowaka kila ntu afanye KAZI ya zimamoto hivyo masoko yasingeungua🏋️.Kila kazi mpe chinga na sii kazi ngumu apewe nyamwezi, Sasa tupewe chinga.
Sababu za msingi wanaziacha hata bila kufanya utafiti.......Kinachofuata Emeka kuwa wanakamati, kwani tinasema mchawi mpe mwanao akulelelee.