Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 52,160
- 48,974
Tushachoka
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndiomkuu , la Karume washajenga ?
Majanga hayazoelekiMtazoea tu
Ova
safi wajina, chimbo langu la traki iloNdio
I like your satire 😁😁😁😁Yule Gaidi mchoma masoko yupo ndani na timu yake sasa Nani anapiga hii shoo
There’s something fishy going on. Serikali, Viongozi wa masoko na Wafanyabiashara shirikianeni kuamua njia ipi sahihi ya Teknolojia itayoweza kutumika katika usalama wa masoko. Mfano. CCTVs, Fire Detectors, n.k. Ikitumika vizuri kunyoosheana vidole wakati wa matukio kutaondoka.Soko la Rangitatu jimbo la Mbagala lawako moto usiku huu wa kuamkia leo.
View attachment 2117914View attachment 2117915View attachment 2117917
View attachment 2117944
Kwa tz inabdi tuyazoeeeMajanga hayazoeleki
Kwa hiyo kwenye vile viashiria ni kukata tu miti bado?Kwa tz inabdi tuyazoeee
Tu mkuu
Ova
TEAM GAIDI WACHUNGUZWE HAKUNA NAMNA!Soko la Rangitatu jimbo la Mbagala lawako moto usiku huu wa kuamkia leo.
View attachment 2117914View attachment 2117915View attachment 2117917
View attachment 2117944
Hapana hapa pana mkono mrefu, kwani tume ya kariakoo na ile ya karume wameishatoa mrejesho[emoji41]Wajitafakari.....kuna uzembe mahali...anzia connection umeme....usiku kucha wanaacha vitu vinatokota....etc
Basi uliyeleta umbea na uzushi yafaa tuanzie uchunguzi kwakoUsiwe unapita tena huko twita
Pita maeneo ya masoko holela jioni kigiza ndio kimeanza , utagundua Kila machinga ni fundi wa umeme, taa zinaungwa Ili mradi mwanga haijalishi, tahadhari yoyote wala usalama Nini ni, halafu tunalia ajira hakuna, wakati ntu yeyote anaweza kufanya kazi yoyote, hivyo nategemea hata pale moto unapowaka kila ntu afanye KAZI ya zimamoto hivyo masoko yasingeungua🏋️.Kila kazi mpe chinga na sii kazi ngumu apewe nyamwezi, Sasa tupewe chinga.Sasa imekuwa zaidi, kila siku masoko yanaungua
Acha wayajenge vizuri mkuuHizi ni ujuma ya wazi kabisa aiwezekeni moto uunguze masoko tuu tena siku ni zilezile jumamosi kuamkia jpili.