Kindeena
JF-Expert Member
- Sep 27, 2017
- 11,462
- 21,124
Kwani Zakhiem ipo wapi?Ni soko la Mbagala au soko la Zakhiem? Fafanua vizuri.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani Zakhiem ipo wapi?Ni soko la Mbagala au soko la Zakhiem? Fafanua vizuri.
Usiwe unapita tena huko twitaNilipita huko Twitter nikaona kigogo kaandika Cdm yaani Pambalu na wenzake ndo "wanachoma" masoko.!
Anyway pole kwa wafanyabiashara wote!
Haya mambo siyo ya kuyafanyia mzaha.Kigogo kasema Pambalu na timu yake hao chadema ndo wanachoma. Nenda Twitter.
Na wewe ukalichukua km lilivyo....Nilipita huko Twitter nikaona kigogo kaandika Cdm yaani Pambalu na wenzake ndo "wanachoma" masoko.!
Anyway pole kwa wafanyabiashara wote!
Kitengo wanayachoma Ile kuwatafutia kesi kama ya mboweNilipita huko Twitter nikaona kigogo kaandika Cdm yaani Pambalu na wenzake ndo "wanachoma" masoko.!
Anyway pole kwa wafanyabiashara wote!
Huyo 'kisiki' tunajua analalia upande fulani toka awali.Kigogo kasema Pambalu na timu yake hao chadema ndo wanachoma. Nenda Twitter.
Utamaduni Umeshika KasiMasoko
Kama KawaidaJumba bovu ataangushiwa TEJA
Zakheim kuna soko?Kwani Zakhiem ipo wapi?
Kamati ndio zinazima? Au kuwasha moto?Nina mashaka na hizi kamati.
Kama zinafanya kazi ipasavyo ni vipi zimeshindwa okoa masoko yanayoendelea kuungua?
Hizi kamati ndiyo utasikia watu wanalipwa 100K+ per sitting wakati hata waziri husika akijifungia ofisini akakaa kikao na vijana walio field watampa njia za kujikinga na haya majanga.
Na hao vijana wataondoka wakiwa na furaha wamesaidia ofisi.
Kuboresha miundombinu kama ulivyoshauri ni miongoni mwa kingaKamati hazitasaidia kitu kaka.
Ccm iwe serious na iboreshe miundombinu ya zimamoto. Ajali hainaga kinga!