Dar: Soko la Mbagala laungua moto

Dar: Soko la Mbagala laungua moto

Pole kwa wafanyabiashara wote, waliounguliwa na bidhaa zao, Mamlaka husika zijitafakari na zichukue hatua stahiki kutatua changamoto ya moto kwenye masoko yetu.

Manispaa ya Temeke, ifikirie kuwakopesha, mikopo isiyo na riba waathirika wote, kutoka kwenye bajeti ya asilimia 10, ya vijana,wanawake na walemavu.
 
Kuna hizi kamati zilizoundwa, Je, katika kazi yao zinatoa mapendekezo yoyote? Kwanini hatuoni kupungua kwa haya matukio?
 
Hao mateja warudi na kwenye vyoo vyetu vya nyasi wachome na tusiruhusiwe kuvitengeneza hadi pale sirikali itapotujengea vyoo vya kisasa
 
Nina mashaka na hizi kamati.

Kama zinafanya kazi ipasavyo ni vipi zimeshindwa okoa masoko yanayoendelea kuungua?

Hizi kamati ndiyo utasikia watu wanalipwa 100K+ per sitting wakati hata waziri husika akijifungia ofisini akakaa kikao na vijana walio field watampa njia za kujikinga na haya majanga.

Na hao vijana wataondoka wakiwa na furaha wamesaidia ofisi.
Kamati ndio zinazima? Au kuwasha moto?
 
Back
Top Bottom