Uchaguzi 2020 Dar: Tundu Lissu akamatwa na Polisi, aachiwa bila masharti

Uchaguzi 2020 Dar: Tundu Lissu akamatwa na Polisi, aachiwa bila masharti

Hapana, wapuuzi tu wanaoshinikiza mazezeta kuandamana. Mtu umeshindwa uchaguzi huru eti bado tu unalalamika kuhisi bado uko bungeni. Mazoea mabaya sana.
Uchaguzi upi? wapi? Maana Tanzania hakuna uchaguzi umefanyika bali CCM imeulawiti na kuubaka kuunajisi uchaguzi kwa njia haramu za kishetani
 
Labda embassy waliita police kuna mtu hawamwelewi elewi nje ya embassy.

Halafu ukiwa na VISA ya EU utaomba je tena ukimbiza kwao, ndiyo maana hawakumuelewa. Maana hata system zao zitakataa kukupa huo ukimbizi.

Yeye angeenda embassy nje ya hizo, kama Korea Japan nk.
 
Magufuli anafanya haya ili wale waoga wasalimu amri kwake na waunge mkono juhudi.

Lakini naamini wale waoga wa kufanya hivyo ndio wale tayari aliishawanunua ila ni sharti afadhali ajue kuwa hawa sio sampuli hiyo.
 
Watanzania wa wapi wameamua juu ya CCM? Maana watanzania wenye Akili timamu hawawezi kuipa CCM kura, Yaani wapinzani hawapo huru kwenda popote? mnawachagulia pa kutembelea?
Watanzania wengi walio na akili timamu ndiyo waliomchagua rais mpya na wabunge wao pia....mazezeta ndiyo wana wish tofauti. Mtu unahimiza watu kuja kuandamana kisha ukimbie ili iweje? Hii inaashiria kuwa wapinzani wamefanya makusudi kuandamana na wakikamatwa wakimbilie balozi za watu kuichafua nchi. Wapuuzi sana hawa maharamia, kamati mwizi man na tupa baharini kule wakaliwe na papa.
 
Wamepigwa mkwara gani hadi wakamwachia kwa haraka namna hiyo?
Umoja wa Balozi zote Nchini Tanzania umewapiga mkwara Polisiccm na ukawaambia ICC haipo mbali na Polisiccm wote wanaoshiriki vitendo vya hovyo vya kishamba kuwaonea wapinzani kwa njia haramu za kishetani
 
Holy Cow...look at what you did, LOOK AT WHAT YOU DID!!..

Afande 🥱..Do you remember early on I said you were bragging na unajaribu kuuza uoga? This is outrageous. Watu wa aina yako ni proud for nothing simpletons, halafu you mentioned umepita na JKT tena una nyota! Dang'it! Now I feel sorry for the 1000
Wakti ule ukimaliza form six unapita JKT halafu kama umeonekana ni wale wanofaa kwa muendelezo si waendelea Monduli mzee au?

Hao watu wangu 1000 ni katika shughuli ingine kabisa tofuti na Army mkuu.

Mimi sasa kwa Army ni reservist tu sina impact sana.

Wanifuatilia hapo?
 
Mkuu kaa kimia ,unaongea nini,?? Acha kabisa, organ za nchi lazima kupima kabla ya mahamuzi yoyote ,na bila shinikizo lolote,mnashabikia Mambo ambayo yatalighalim taifa? Alafu wakaa wasema we mzalendo?
MH KIONGOZI MH SIRRO ,IGP
Tanzania tuna viongozi wengi ,namanisha rais, viongozi wa upinzani, na wakuu wa vyombo vingi tu,ila Cha kushangaza binfsi wakati napewa maagizo ya kuliombea taifa nilionyeshwa wewe tu kukujumlisha kwenye maombi, na nilifanya hivyo na si mara ya kwanza kusema hili hapa,na mpaka Sasa sijui nini mungu amekuandalia huko mbele mpaka mda huu Sina majibu
Mwisho mkuu
Nakuomba kwa iyo nafasi uliyonayo bila kupesa macho ,hakikisha MH MBOWE ANAACHIWA wenda ikawa aiko ndani ya uwezo wako ila kwa nguvu ya mungu na mkono wake juu yako ni rahis ,NA IMEKUA,naongea na namanisha kiongozi sikujui hunijui ila neema ya mungu niliambiwa ipo juu yako ,mungu akutangulie
[emoji3][emoji3][emoji3],wameshindwa uchaguzi wakae kwa kutulia kama hawapendi kuwekwa ndani.tunahitaki Rais mteule aapishwe kwa amani mambo mengine ya maisha yasonge mbele,hawa wachumia tumbo wanatuchelewesha,waataachiwa baraza la mawaziri likishatangazwa hapo siku zijazo.
 
Watanzania wengi walio na akili timamu ndiyo waliomchagua rais mpya na wabunge wao pia....mazezeta ndiyo wana wish tofauti. Mtu unahimiza watu kuja kuandamana kisha ukimbie ili iweje? Hii inaashiria kuwa wapinzani wamefanya makusudi kuandamana na wakikamatwa wakimbilie balozi za watu kuichafua nchi. Wapuuzi sana hawa maharamia, kamati mwizi man na tupa baharini kule wakaliwe na papa.
Mazezeta waliichagua CCM ndipo NECCCM Tumeccm na Polisiccm wakaamua kuubaka kuunajisi kuulawiti kwa njia haramu za kishetani, hakuna kufanya makusudi kuandamana kwani ni maandamano ya Amani yasiyo na fujo, Nchi ilishachafuka tayari ichafuke mara ngapi? Kitendo cha kuwa mnawabambikia kesi kesi kuwapiga risasi tayari mmeichafua Nchi
 
[emoji3][emoji3][emoji3],wameshindwa uchaguzi wakae kwa kutulia kama hawapendi kuwekwa ndani.tunahitaki Rais mteule aapishwe kwa amani mambo mengine ya maisha yasonge mbele,hawa wachumia tumbo wanatuchelewesha,waataachiwa baraza la mawaziri likishatangazwa hapo siku zijazo.
Wachumia tumbo wanufaika wa udikiteta na udhalimu wa CCM kwa Akili zenu ndogo eti mnadai mmeshinda uchaguzi? Uchaguzi upi? Wapi? Ni kweli Rais mteule wa NECCCM Tumeccm na Polisiccm siyo wa kuchaguliwa na wapiga kura
 
Wangeachana nae tu.. CCM tumeshinda sana, wamuache tu
 
Safi kabisa, maandamano ni uchochezi au mapambio ?

Pili, kwanini amekamatwa ?

Tatu, pumba hazitapikwi, jifunze matumizi mazuri ya maneno.
1.Maandamano si uchochezi

Maandamano ni sehemu ya civil liberties na ndio maana yanaruhusiwa kikatiba.

2. Kwa nini amekamatwa? Kakamatwa kwa sababu ya upumbavu wa serikali na kutokujiamini kwa Magufuli. Na kwa taarifa yako, keshaachiwa bila masharti yoyote yale. Ushahidi kwamba hawakuwa na sababu yoyote ile ya msingi, to begin with!

3.Okay, basi tu substitute pumba na matapishi! Unatapika matapishi tu hapa.
 
Uchaguzi upi? wapi? Maana Tanzania hakuna uchaguzi umefanyika bali CCM imeulawiti na kuubaka kuunajisi uchaguzi kwa njia haramu za kishetani
Mimi nili vote, wewe pia uli vote na watanzania walio wengi wame vote na tumechagua viongozi wetu....uchaguzi ulikuwa huru na wasimamizi wote wamekiri hivyo, kama wewe umeguswa pahala na hukupendezwa nao, nakushauri hama nchi kaishi Somalia, Yemen, Sudan, Afghanstan, Libya na nchi nyingine kama hizo zilizo na amani.
 
Back
Top Bottom