minyoo
JF-Expert Member
- May 25, 2013
- 22,405
- 21,100
Ebu fikiria washauri wakuu wa Serikali ni Le mutuz na cyprian Musiba unategemea nini hapo?Sana sana wanatengeneza mazingira mazuri yakuibuka insurgents.
Serikali imejaa wapumbavu watupu hii
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ebu fikiria washauri wakuu wa Serikali ni Le mutuz na cyprian Musiba unategemea nini hapo?Sana sana wanatengeneza mazingira mazuri yakuibuka insurgents.
Serikali imejaa wapumbavu watupu hii
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] etii le mutuzEbu fikiria washauri wakuu wa Serikali ni Le mutuz na cyprian Musiba unategemea nini hapo?
mshaurini mwenzenu hata kwa kisukuma mbona amemzidi Mu7 kwa mbaliiii sasa anachuana na Albashir na marehemu MobutuBad move!
Uchaguzi upi? wapi? Maana Tanzania hakuna uchaguzi umefanyika bali CCM imeulawiti na kuubaka kuunajisi uchaguzi kwa njia haramu za kishetaniHapana, wapuuzi tu wanaoshinikiza mazezeta kuandamana. Mtu umeshindwa uchaguzi huru eti bado tu unalalamika kuhisi bado uko bungeni. Mazoea mabaya sana.
Watanzania wengi walio na akili timamu ndiyo waliomchagua rais mpya na wabunge wao pia....mazezeta ndiyo wana wish tofauti. Mtu unahimiza watu kuja kuandamana kisha ukimbie ili iweje? Hii inaashiria kuwa wapinzani wamefanya makusudi kuandamana na wakikamatwa wakimbilie balozi za watu kuichafua nchi. Wapuuzi sana hawa maharamia, kamati mwizi man na tupa baharini kule wakaliwe na papa.Watanzania wa wapi wameamua juu ya CCM? Maana watanzania wenye Akili timamu hawawezi kuipa CCM kura, Yaani wapinzani hawapo huru kwenda popote? mnawachagulia pa kutembelea?
Umoja wa Balozi zote Nchini Tanzania umewapiga mkwara Polisiccm na ukawaambia ICC haipo mbali na Polisiccm wote wanaoshiriki vitendo vya hovyo vya kishamba kuwaonea wapinzani kwa njia haramu za kishetaniWamepigwa mkwara gani hadi wakamwachia kwa haraka namna hiyo?
Umeona enheeee, kwa kweli yule mpumbavu asiachiwe kiurahisi hivyo....inabidi asote kwanza ili ajifunze adabu.Upumbavu ni mzigo!
Wakti ule ukimaliza form six unapita JKT halafu kama umeonekana ni wale wanofaa kwa muendelezo si waendelea Monduli mzee au?Holy Cow...look at what you did, LOOK AT WHAT YOU DID!!..
Afande 🥱..Do you remember early on I said you were bragging na unajaribu kuuza uoga? This is outrageous. Watu wa aina yako ni proud for nothing simpletons, halafu you mentioned umepita na JKT tena una nyota! Dang'it! Now I feel sorry for the 1000
[emoji3][emoji3][emoji3],wameshindwa uchaguzi wakae kwa kutulia kama hawapendi kuwekwa ndani.tunahitaki Rais mteule aapishwe kwa amani mambo mengine ya maisha yasonge mbele,hawa wachumia tumbo wanatuchelewesha,waataachiwa baraza la mawaziri likishatangazwa hapo siku zijazo.Mkuu kaa kimia ,unaongea nini,?? Acha kabisa, organ za nchi lazima kupima kabla ya mahamuzi yoyote ,na bila shinikizo lolote,mnashabikia Mambo ambayo yatalighalim taifa? Alafu wakaa wasema we mzalendo?
MH KIONGOZI MH SIRRO ,IGP
Tanzania tuna viongozi wengi ,namanisha rais, viongozi wa upinzani, na wakuu wa vyombo vingi tu,ila Cha kushangaza binfsi wakati napewa maagizo ya kuliombea taifa nilionyeshwa wewe tu kukujumlisha kwenye maombi, na nilifanya hivyo na si mara ya kwanza kusema hili hapa,na mpaka Sasa sijui nini mungu amekuandalia huko mbele mpaka mda huu Sina majibu
Mwisho mkuu
Nakuomba kwa iyo nafasi uliyonayo bila kupesa macho ,hakikisha MH MBOWE ANAACHIWA wenda ikawa aiko ndani ya uwezo wako ila kwa nguvu ya mungu na mkono wake juu yako ni rahis ,NA IMEKUA,naongea na namanisha kiongozi sikujui hunijui ila neema ya mungu niliambiwa ipo juu yako ,mungu akutangulie
We will not be silent, tutaenda kuvamia vituo vya polisi
Mazezeta waliichagua CCM ndipo NECCCM Tumeccm na Polisiccm wakaamua kuubaka kuunajisi kuulawiti kwa njia haramu za kishetani, hakuna kufanya makusudi kuandamana kwani ni maandamano ya Amani yasiyo na fujo, Nchi ilishachafuka tayari ichafuke mara ngapi? Kitendo cha kuwa mnawabambikia kesi kesi kuwapiga risasi tayari mmeichafua NchiWatanzania wengi walio na akili timamu ndiyo waliomchagua rais mpya na wabunge wao pia....mazezeta ndiyo wana wish tofauti. Mtu unahimiza watu kuja kuandamana kisha ukimbie ili iweje? Hii inaashiria kuwa wapinzani wamefanya makusudi kuandamana na wakikamatwa wakimbilie balozi za watu kuichafua nchi. Wapuuzi sana hawa maharamia, kamati mwizi man na tupa baharini kule wakaliwe na papa.
Wachumia tumbo wanufaika wa udikiteta na udhalimu wa CCM kwa Akili zenu ndogo eti mnadai mmeshinda uchaguzi? Uchaguzi upi? Wapi? Ni kweli Rais mteule wa NECCCM Tumeccm na Polisiccm siyo wa kuchaguliwa na wapiga kura[emoji3][emoji3][emoji3],wameshindwa uchaguzi wakae kwa kutulia kama hawapendi kuwekwa ndani.tunahitaki Rais mteule aapishwe kwa amani mambo mengine ya maisha yasonge mbele,hawa wachumia tumbo wanatuchelewesha,waataachiwa baraza la mawaziri likishatangazwa hapo siku zijazo.
Kwa hiyo nchi sio ya wananchi tena bali ni ya nyie ccm pekee?!
Wewe mwelevu leo mbona hatujakuona kwenye maandamano?Usiwe mjinga kiasi hicho!
1.Maandamano si uchocheziSafi kabisa, maandamano ni uchochezi au mapambio ?
Pili, kwanini amekamatwa ?
Tatu, pumba hazitapikwi, jifunze matumizi mazuri ya maneno.
Mimi nili vote, wewe pia uli vote na watanzania walio wengi wame vote na tumechagua viongozi wetu....uchaguzi ulikuwa huru na wasimamizi wote wamekiri hivyo, kama wewe umeguswa pahala na hukupendezwa nao, nakushauri hama nchi kaishi Somalia, Yemen, Sudan, Afghanstan, Libya na nchi nyingine kama hizo zilizo na amani.Uchaguzi upi? wapi? Maana Tanzania hakuna uchaguzi umefanyika bali CCM imeulawiti na kuubaka kuunajisi uchaguzi kwa njia haramu za kishetani
Andaaa gunia la mahindi mkuu tunako kwenda ni giza nene kwa rocket man ni tofauti na sisi na Iran wao wana akili ndefuSio kuwauliza wakina Mr Rocket Man wale Macho madogo ( N.korea) 🤣