TUJITEGEMEE
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 25,225
- 25,488
Tafuta chanzo cha kukamatwa kwao!Serekali haijawakamata kwa sababu ya maandamano.Kwani akina Mbowe na Lema walipokamatwa jana usiku walikuwa kwenye maandamano?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tafuta chanzo cha kukamatwa kwao!Serekali haijawakamata kwa sababu ya maandamano.Kwani akina Mbowe na Lema walipokamatwa jana usiku walikuwa kwenye maandamano?
UpupuNgoja nikuonyeshe ya kuwa hujajibu swali. Kwako wewe umechukulia ya kuwa alicho kifanya lisu ni katika shughuli yake. Hii haiwezi kuwa shughuli sababu sababu yuko chini ya dola na anachofanya ni uchochezi,na asiye tii mamlaka na mchochezi haki yake ni hiyo.
Hii mifumo ya kijinga watu wanadekezana sana, angalia nchi zilizo fikia utimilifu wa kiutawala watu wajinga na wachochezi na wasio kubali kushindwa na wenye kuhatarisha amani haki yake ni kuuwawa. Hakuna jambo adhimu kama Amani.
Uwezo wako wa kufikiri umefika mwisho? Niilikutegea nikuone tayari umenasa wewe mbumbumbu juha zuzu Tambua kuwa kipimo za uzezeta ufala hapa JF huwa ni kuisengenya ID ya JF ambayo haitokani na ubatizo msikitini wala kanisani ndiyo maana ID yako ni ya kishamba lakini hakuna anayehangaika nayo, wenye Akili timamu wapo busy na mada, wewe Mbona huna kazi na unakataa maandamano ya Amani? Uchaguzi upi umepita? Hakuna uchaguzi Tanzania zaidi ya vioja na maigizo ya kuuhadaa ulimwengu kuwa Tanzania kulikuwa na uchaguziDogo minyoo jipige vidole tu kutoa hiyo minyoo inayokumaliza akili....uchaguzi umepita, watu tunafanya kazi sasa. Lissu hana kazi, analazimisha watu wasio na akili kuandamana ili iweje?
Ni kweli, Lissu siyo matagatundu siyo mwananchi wetu, ...
Ndio maana kaachiwa bila mashartiLissu asifikiri anaogopwa
Hizi ni hisia zako!!! Umepata habari za dereva wa viongozi hao aliyelinusuru taifa kwa kuonyesha upendo wa hali ya juu kwa watanzania wenzake!? Ama bado!?Chanzo cha kukamatwa kwao ni serekali ya Magufuli imejaa hofu na haijiamini kwa sababu haijashinda uchaguzi kihalali
AiseeeeeeeWananchi wamemkataa kwa kura nyingi Sana ana hangaika nini huyu kibaraka wa mabeberu??
Ni kweli, Lissu siyo mataga
Ukishindwa kwenye pambano lolote lile usipokubali matokeo wewe utakuwa ni jeuri utajibiwa kwa jeuri. Usipotii matokea ukaleta mabavu utajibiwa kimabavu.Serikali ya Magufuli ina behave kama vile haijashinda!
Mabavu ya nini kama kweli wameshinda kihalali na hiyo mandate ya zaidi ya asilimia 80??
Lengo la CCM ni kuufuta mfumo wa vyama vingi ndiyo maana cyprian Musiba aliandaa njama za kuwateketeza wapinzani kwa njia haramu za kishetaniKwa hiyo wote ambao hawajachaguliwa waende jela?
Aliyetengenezwa siyo. Mbona single hizi tumezizoea? Kuanzia Ulimboka n.kHizi ni hisia zako!!! Umepata habari za dereva wa viongozi hao aliyelinusuru taifa kwa kuonyesha upendo wa hali ya juu kwa watanzania wenzake!? Ama bado!?
Tanzania Taratibu inaonyesha ukubwa wake kwa umakini!!!Dah! Huyu agent wa wazungu hana hata aibu
Kwenye fair play ndipo kuna kitu kama hicho siyo kuchezewa faulu kisha ulazimishwe kukubali matokeoUkishindwa kwenye pambano lolote lile usipokubali matokeo wewe utakuwa ni jeuri utajibiwa kwa jeuri. Usipotii matokea ukaleta mabavu utajibiwa kimabavu.
Bado unavuta Bangi hapo unaposhinda?Dah! Huyu agent wa wazungu hana hata aibu
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂Sasa utafanyaje mkuu,ndio imeisha hivyoo,na maandamano nayo yameshindikana,shida juu ya shida.muhula uliopita mlikuwa na wabunge kedekede,ruzuku ya kutosha,bado kwenye uchaguzi mkapitisha bakuli,sasa kwa sasa ruzuku hakuna sijui chama kitaendeshwaje.mnaelekea kufa asee,viongozi waandamizi wanakuwa kijiweni,hela ya kuendeshea maisha watapata kwenye biashara zao .ndio maana wamepaniki na matokeo,hawakutegemea.
Mzeee magu mtu m-bad.....[emoji3][emoji3][emoji119][emoji119]
So whatNachukia Demokrasia ya Vyama vingi kwa nchi changa kama hii.
Dah.... wamelegea!!Safi sana, akabidhi passport yetu, kibali chetu cha uwakili Tanzania.