Labda embassy waliita police kuna mtu hawamwelewi elewi nje ya embassy.
Halafu ukiwa na VISA ama uko resident ya EU utaomba je tena ukimbiza kwao, ndiyo maana hawakumuelewa. Maana hata system zao zitakataa kukupa huo ukimbizi.
Yeye angeenda embassy nje ya hizo, kama Korea Japan nk.
Halafu ukiwa na VISA ama uko resident ya EU utaomba je tena ukimbiza kwao, ndiyo maana hawakumuelewa. Maana hata system zao zitakataa kukupa huo ukimbizi.
Yeye angeenda embassy nje ya hizo, kama Korea Japan nk.