Uchaguzi 2020 Dar: Tundu Lissu akamatwa na Polisi, aachiwa bila masharti

Nakusikitikia sana, narudia...jipige vidole kwa kishindo utokwe na povu....hasira zako zitaisha tu. Wananchi tuliojiandikisha tulipiga kura, kama wewe hujapiga ni shida yako.....hupendezwi hama nchi.
 
Shukuru CCM inawaletea maendeleo hayo finyu na kukamata makinikia na mali mlizokuwa mnaibiwa huko nyuma...wangekuwa hawa wapinzani ndiyo wameshika nchi basi mngelia sana.
 
Wewe ni dictator Nani auliwe maana hata wewe ni mubishi Sana kwa hyo uuliwe.?
 
Shukuru CCM inawaletea maendeleo hayo finyu na kukamata makinikia na mali mlizokuwa mnaibiwa huko nyuma...wangekuwa hawa wapinzani ndiyo wameshika nchi basi mngelia sana.
JPM Mara kampeni, Barrick wamelipa 100m, $, nyingine watalipa kwa awamu in some years , UDSM 5m ,elimu madini, barabara.......plus 16% share ( Jua awali tulikiwa na 15 haohao ccm wakaziuza ) hiyo toka 300$ pekee, hakuongelea zile trillion 490!

Wala ajia zaidi 2000 Watanzania wamepoteza saga makinikia, viwanda ,biashara,....hiyo $300M, ni kama pato la mwezi pekee migodi ikiwa ktk fully operation.Tumepoteza Barrick, pia tumepoteza imani wawekezaji wakubwa wapya!! Watanzania wwnzetu walipoteza ajira na maisha wategemezi.....hasara ni zaidi ya faida alizodai!!!
 

Ww Utakuwa Mama Wa Nyumbani. Umeandika Pumba Tupu Tena Kutegemea Huyo Shoga Amsterdam Kajitu Ambako Hakana Msaada Wowote Zaid Ya Kushinda Twitwer
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…