jingalao
JF-Expert Member
- Oct 12, 2011
- 36,197
- 29,717
Punguza hasiraJinga tu wewe!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Punguza hasiraJinga tu wewe!
You don't listen what you are writing but I know your trying to dig out a bit about me.Namna ya uandishi wako inaonyesha you lack a very basic human character "Msimamo" I sincerely told you in my past reply "I will keep (that particular post) in my Vaults"
Na ninachoamini, heri ya hao wanaoshiba utasema ni wabinafsi wanaotetea matumbo lakini am very sure wengine ni malofa wenzetu tu wanaoishi kwa dada zao, na wale wanaokaa kwao basi ni kwenye chumba kimoja choo nje kama sie wengine!mkuu kwa wakati huu bado kuna baadhi yetu wanashiba. utafika muda kila mtu ana njaa but it will be too late. acha washangilie shida za wengine ila utafika muda yanakufika. Katili na dikteta hana rafiki wa kudumu.
Hekaya za abunuwasiNakumbuka kisa cha Kiburi cha Farao kwa Mungu dhidi ya Wanaisrael
Mwisho wa siku itakua sio tu mibavicha kupoteana, huu utakua mpoteano wa wananchi wote tutatafutana sana huko mbeleni kwa sasa fikira zetu zimefungwa ndio maana tunaona watu dhaifu kama wewe mnashangilia anguko la upinzini. Muda unasonga wakati utafika.Mibavicha imepoteana, hakuna maandamano na Lissu wao kakamatwa. Leo na kesho atalala chini
Wakati upi wa CCM mlikubali ulikuwa na utawala bora?Hivi CCM mlimtoa wapi huyu rais anayedhalilisha legacy ya utawala bora wa Taifa letu?
So you sayYou are not proud of the country you are proud of the totalitarian regime
Wanufaika wa mfumo kandamizi kipindi kama hiki hunufaika kupita blackmail kuwabambikia kesi watu mbalimbali kutengeneza Rushwa na pia kuwakomoa watu humo humo, mfano ni tabia ya TRA kuwabambikia kodi kubwa wafanyabiashara na baadhi kupewa kesi za uhujumu uchumi na pia BOT kuwapora wafanyabiashara pesa zao kuwatishia kesi za utakatishaji fedha mpaka kupelekea wafanyabiashara wengi kufungua A/C kenya Uganda Zambia ambapo Benk kuu za huko hazina uonevu kwa wafanyabiashara.Ni kweli wapo wanufaika wa mfumo but amini usiamini, majority ya hawa wa JF ni malofa wenzetu tu wasio na mbele wala nyuma, huku wakiwa wanaishi kwenye chumba kimoja cha kupanga Uswahilini na choo cha nje!!!
Wengine hata kazi zenyewe hawana, yaani mabwege tu huku wengine kwavile Rais ni Ngosha na wao ni Ngosha, ndo basi tena... wanachukulia ni urais wa akina Ngosha na kwahiyo wana wajibu wa kumtetea Ngosha mwenzao hata kwa mambo ya kijinga!!!
Ngoja nikuonyeshe ya kuwa hujajibu swali. Kwako wewe umechukulia ya kuwa alicho kifanya lisu ni katika shughuli yake. Hii haiwezi kuwa shughuli sababu sababu yuko chini ya dola na anachofanya ni uchochezi,na asiye tii mamlaka na mchochezi haki yake ni hiyo.Nimejibu.
Sema hujaelewa.
Uzalendo wa CCM ya sasa ni kuwabambikia kesi kesi unyanyasaji uonevu matesa kwa wapinzaniWewe ni takataka narudia tena, hao jamaa wako hapo Mozambique mwaka wa tatu sasa
Haya majibu ya kijinga mnapofeli sehem mnasingizia uzalendo , sijui mabeberu , mnajifanya kua victim, ujinga mtupu, mkijadili huko lumumba acheni huko huko lumumba msije jiabisha mbele za watu, shenz
Jamani napinga hili la Lissu kuachiliwa baada ya kukamatwa.....nakata rufaa. Huyu mtu inabidi arudishwe jela tu. Hana tena thamani kwetu kwani tumeshamchagua rais tumtakaye.
Na bado, hizi mbwa za Chadema akili zitawakaa tuBulshit,
Lakini yote yana mwisho haya, na mwisho wa ubaya always ni aibu!Wanufaika wa mfumo kandamizi kipindi kama hiki hunufaika kupita blackmail kuwabambikia kesi watu mbalimbali kutengeneza Rushwa na pia kuwakomoa watu humo humo, mfano ni tabia ya TRA kuwabambikia kodi kubwa wafanyabiashara na baadhi kupewa kesi za uhujumu uchumi na pia BOT kuwapora wafanyabiashara pesa zao kuwatishia kesi za utakatishaji fedha mpaka kupelekea wafanyabiashara wengi kufungua A/C kenya Uganda Zambia ambapo Benk kuu za huko hazina uonevu kwa wafanyabiashara.
Acha kukariri sana, hata waliowamwagia mipesa mliwatukanaKati ya marais watakaokuja kukumbukwa kwa mabaya zaidi kuliko mazuri. Fortunately yeye mwenyewe analijua hilo ndio maana anakazana kujenga vitu na kununua vitu ili watu wakiviona wamkumbuke ila hajui kuwa material things ni vyakupita tu real legacy haijengwi kwa material things.
Lissu kachochea nini?Ngoja nikuonyeshe ya kuwa hujajibu swali. Kwako wewe umechukulia ya kuwa alicho kifanya lisu ni katika shughuli yake. Hii haiwezi kuwa shughuli sababu sababu yuko chini ya dola na anachofanya ni uchochezi,na asiye tii mamlaka na mchochezi haki yake ni hiyo.
Hii mifumo ya kijinga watu wanadekezana sana, angalia nchi zilizo fikia utimilifu wa kiutawala watu wajinga na wachochezi na wasio kubali kushindwa na wenye kuhatarisha amani haki yake ni kuuwawa. Hakuna jambo adhimu kama Amani.